US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

Data gani na zipi wakati dola iko juu kuliko alipoikuta huyo mama yako mtenda miujiza? So simple mwanangu. Ni uchawa kutoliona hili wala kuona hali za wananchi walio wengi wanaotaabika.
Tunaongelea dola dhidi ya shilingi, kutupeleka kwa wanaotaabika unatutoa inje ya mada,

Kutoka 2850/= mpaka 2375/= usiku huu si jambo la kitoto,

Mama anastahili pongezi za hali ya juu

Hili inabidi liandikwe kwa wino wa dhahabu kwenye historia ya inchi hii
 
Unakuta mtu yupo Nanjilinji huko ndanindani sijui Nanguruwe anakuja hapa na Habari za dola🤔
Bwashee dola ndio mpango mzima, huku uswekani tulipo tunalipa kodi na baadhi ya huduma kwa us dola kama ulikua hujui

Samia anastahili pongezi zake
 
Kwa kuwa tu hutaki kumsifu Samia? Mbona ilipopanda mlimponda?

Samia ni mpaka achoke mwenyewe
Nani alimponda na nani hajamsifu anafanya vizuri tatizo karuhusu mianya ya rushwa mnoo.ila ni avarage president msimsifu ambavyo havipo alikuta dola 2300 ikapanda hadi 2800 kurudi 2400 ndo kuupiga mwingi? Et mauzo ya korosho hahahahah
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza

Kwani SSH ana uwezo wa ku-control dollar ya USA au mama amekuwa mama hadi mnaachana na akili zenu.

USA imeshusha interest rate hivyo hiyo ndiyo impact yake world wide
 
Zambia wana shida gani mkuu? Naona hata Kwacha vs Tsh iko hoi mno. Hela yao imeporomoka thamani kwa kiwango cha kutisha.
ZAmbia wapo hoi kila sehemu hawana umeme kwa masaa zaidi ya 18 kwa siku
Hawana chakula ,yani wapo kwenye mateso makubwa sana ndio maana wamegoma lubgu asigombee tena, upinzani umefeli vibaya wanamkumbuka lungu
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Niko Nairobi,huku usd zimejaa Hadi mama lishe, wanazo
 
Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .

Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Hawa ujinga wao ni wa kurithi kutoka ktk koo hadi familia zao. Wasamehe bure.
 
Currency value appreciation sio instrumental factor ya ukujaji wa uchumi, acha ushamba wewe... Kuna sababu nyingi sana zinazoweza kupelekea thamani ya sarafu kupanda ama kushuka ikiwemo uchumi wa nchi husika ya sarafu unayojilinganisha nao!

Kwanza unashingilia nini? Eti hakuna kama Samia, huyo Samia si alikuta $1 ni sawa na 2,370/=? Kwenye awamu yake hii ameipandisha mpaka 2,800/= haya leo hii imeshuka hadi 2,460/= halafu unaanza kumsifia?

Ndio Yale Yale ya kufuta bima ya toto Afya kisha kuirudisha halafu mnataka mpigiwe makofi.
Ujinga ni kufanya jambo fulani kwa njia ile ile, (akili zile zile), halafu ukitegemea matokeo chanya
 
ZAmbia wapo hoi kila sehemu hawana umeme kwa masaa zaidi ya 18 kwa siku
Hawana chakula ,yani wapo kwenye mateso makubwa sana ndio maana wamegoma lubgu asigombee tena, upinzani umefeli vibaya wanamkumbuka lungu
Sawa. Ila tatizo lao nini kwenye USD?
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Misukule ya mzee Mbowe itaanza kutoa mapovu balaa
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza

Nini kimetokea maana wana nzengo wanaleta tetesi kuwa kuna kampuni moja kwa siku inauza dola kwa winging karibu kila siku😂😂😂😂😍😍😍😍

Zimewadodea walikuwa wametunza😂😂😂😂
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Jiulize wakati wanaingia madarakani dola ilikuwa sh ngapi kulinganisha na sasa. Wote hao ni wezimadisadi
 
Jiulize wakati wanaingia madarakani dola ilikuwa sh ngapi kulinganisha na sasa. Wote hao ni wezimadisadi
Ilikuwa 2300/=, ikapanda mpaka 2850/=
Na sasa Mama ameishusha mpaka 2375/= na bado inaendelea kushuka,
Matarajio ni 2100/=
 
Nani alimponda na nani hajamsifu anafanya vizuri tatizo karuhusu mianya ya rushwa mnoo.ila ni avarage president msimsifu ambavyo havipo alikuta dola 2300 ikapanda hadi 2800 kurudi 2400 ndo kuupiga mwingi? Et mauzo ya korosho hahahahah
Misukule ya mzee mbowe mmelaniwa aisee
 
Kwani SSH ana uwezo wa ku-control dollar ya USA au mama amekuwa mama hadi mnaachana na akili zenu.

USA imeshusha interest rate hivyo hiyo ndiyo impact yake world wide
Basi na iwe hivi, hata ikipanda asilaumiwe,
Iwe ni us wamepandisha interest
 
Back
Top Bottom