US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Hili taifa kupata maendeleo ni ndoto maana linawatu wengi wajinga kama wewe, dola ilitoka 2300-2850 leo imeshuka 2550 unashangilia tena, waliosababisha ikapanda ni akikana nani? kama siyo ujinga wako unakusumbua.
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Acheni uchawa jamani hii nchi ni kubwa watu wanapambana mchana na usiku maisha yabadilike lakini mifumo inawakataa kwani ni watu wachache wanafaidi katika mfumo huu,watu wenye koneksheni
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Eheee kumbe rais anashusha dolla? kama ana uwezo huo basi aishushe ifike 1usd = 5 Tsh mpaka Shilingi tano ikaitwa DALA...rejea "Dala dala" nauli ilikuwa Tsh 5.
 
Currency value appreciation sio instrumental factor ya ukujaji wa uchumi, acha ushamba wewe... Kuna sababu nyingi sana zinazoweza kupelekea thamani ya sarafu kupanda ama kushuka ikiwemo uchumi wa nchi husika ya sarafu unayojilinganisha nao!

Kwanza unashingilia nini? Eti hakuna kama Samia, huyo Samia si alikuta $1 ni sawa na 2,370/=? Kwenye awamu yake hii ameipandisha mpaka 2,800/= haya leo hii imeshuka hadi 2,460/= halafu unaanza kumsifia?

Ndio Yale Yale ya kufuta bima ya toto Afya kisha kuirudisha halafu mnataka mpigiwe makofi.
Nani alisababisha ikapanda? hawa watu ni wapumbavu sn huwa wanashangilia vitu vya kijinga, taifa la watu wapumbavu kama hili usitegemee maendeleo yoyote
 
Nani alisababisha ikapanda? hawa watu ni wapumbavu sn huwa wanashangilia vitu vya kijinga, taifa la watu wapumbavu kama hili usitegemee maendeleo yoyote
Nafikiri ChoiceVariable na makummers wenzie akina mwashamba wanaweza kutupa majibu ni akina nani waliipandisha au nini kilipekea $ ikapanda dhidi ya Tsh.
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Mama is next level ,saizi imeshuka tena 😁😁👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDepiy9sRSZ/?igsh=MXRjanMzdnYxa2l5bQ==

Ingawa mnashangilia ila kuimarika Kwa Shilingi kunafanya mauzo ya bidhaa zetu Nje kuwa na bei kubwa so exporters wataanza kulia sio mda.
 
Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .

Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Ni bora ufanye biashara ya "Forex"
 
Kuna jamii imeumia sana humu, mpaka wengine wanatukana matusi ya nguoni humu, kisa tu mama ameinua uchumi wa Tanzania

Basi badooo, mtaumia sana

NA
Hakuna raisi aliwahi kuishusha us dola Tanzania tangu tupate uhuru isipokua Samia pekee
Kabla hajaishusha, ilikokuwa imepanda huko nani aliipandisha?
 
Kabla hajaishusha, ilikokuwa imepanda huko nani kaipandisha?
Ni yeye, wakamsemaaaa weeeee, sasa na saa hii tunasubiri wamsifu ila wanasema eti imeshuka yenyewe
😇😇😇😇🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yaani eti kupanda anapandisha, ila kushuka ni yenyewe inashuka, kama sio chuki ni nini?
 
Back
Top Bottom