The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Yaan sijui nani anawaambia kisa tunachati chati humu basi wajingaNi kweli kabisa na sio mda mrefu yaani mwakani 2025- 2026 itarudi hiyo chenji ya zamani
Eti sh imepanda thamani what a joke
Kwa mauzo gani ya nje kwa ajira gani