US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

Yaani naona wapinga maendeleo walivyoumia, sema nini? Mama anawajibu kwa vitendo tu

Kweli samia ni kiboko

Na kuanzia january tunanua petrol 1600/= kwa lita

Yaani mpaka mseme
kwamba hii usd inashuka tz tu
acha kujidanganya kijana usd inashuka karibu nchi zote ama na huko yupo huyo unaye mpigia mapambio
 
Kupanda ni sababu ya uzembe tumeshazoea ila kushuka asipewe mtu sifa za uongo maana yupo ofisini kwa miaka miwili na haikuwahi kushuka.
Kuna walikaa madarakani miaka 20 na ushee na hawakuwahi kuishusha hata mara moja,

Mama amejaribu sana
 
Unalaana wewe utaendelea kuongozwa na watu wa kuja mpka lini? kwenye ukoo/Wilaya/Mkoa wenu hakuna mwenye akili timamu anaweza kugombea mpaka muongozwe na mzanzibar?
Samia ni mtanzania, Tanganyika haipo, ikiwepo tutaangalia la kufanya
Ila kwa sasa habari ya mjini ni samia na dola kushuka, Mama kaupiga mwingi sana,
We endelea kulaani tu
 
Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .

Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Hata pound na euro zimeshuka
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Ondoa mwigulu hapo
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Nitashangaa kama mtu mmoja anaye ruka katiikati mwashamba asipotia timu hapa kupuliza saxafone
 
Ngoja silaha za mwendazake Laurence Mafuru ziishe muone . Mwigulu ni mweupe upstairs . Mtu anakopa kwenda kulipa deni at PHD
 
Back
Top Bottom