US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .

Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Ni kweli kabisa na sio mda mrefu yaani mwakani 2025- 2026 itarudi hiyo chenji ya zamani
Eti sh imepanda thamani what a joke
Kwa mauzo gani ya nje kwa ajira gani
 
Kwa hili namuunga mkono maana tulikuwa tunapata shida ya kuagiza bidhaa kutokana na uhaba wa dola.

Ila wale mawakala wa forodha waliopakia mzigo mwezi wa kumi na kumi na moja ni hasara tupu
 
Wa Tanzania ni shida sana, yaani mimi nimepongeza baada ya kushuka kama mlivyoponda baada ya kupanda, sasa tatizo nini? Mbona kama mnateseka?
 
Kwa hili namuunga mkono maana tulikuwa tunapata shida ya kuagiza bidhaa kutokana na uhaba wa dola.

Ila wale mawakala wa forodha waliopakia mzigo mwezi wa kumi na kumi na moja ni hasara tupu
Nani alisababisha ikapanda?
 
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?

Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?

Mama na akae mpaka achoke

NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Duh nimecheka Leo jmn🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom