Kinachozifanya nchi kuwa hivi zilivyo bila kuvuragana sana katika kuvamiana na kubadilisha mipaka kwa vita na nguvu ni treaties za miaka ya 40s.Sasa ushindwe vita kwasbabu ya treaties za miaka ya 40s
Alinacha na ndoto zakeKuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:
a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara
Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.
Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.
USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation
Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.
Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.
Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.
Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?
Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?
Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake
Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Sio kwamba ukiwaua viongozi ndio vzr mana kunakuwa hakuna order kwenda kwa Watu wa chini/jeshi?Vita vyote vya uvamizi huwa vinaisha kwa kukaa chini na kuafikiana kati ya mvamizi na anayevamiwa kwa hiyo haisaidii sana ukiwaua hao viongozi ambao mtatakiwa mkae nao chini baadaye kuafikiana.
ana uwezo wa kuiangamiza dunia nzima kutokana na vifaa vyake. na USA amejipanga na kujiandaa vizuri kwa hilo. ila kupigana vita kama vita hataweza hata kidogo. labda akae ndani ajifungie then atume makombora ya nyukliaKuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:
a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara
Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.
Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.
USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation
Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.
Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.
Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.
Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?
Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?
Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake
Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Watoto ni nyie ambao mnadhani mnayoyaona kwenye movie za akina rambo ndio uhalisia. Utoto ni kukataa data zao wenywe zinazoonyesha walipeleka personel zaidi ya milion 3 vietnam na bado vita ikawashinda wakaondoka bila kutimiza kilichopeleka.wacha utoto...japo utoto raha sometimes
Kushindwa kivipiMifano ya marekani kushindwa vita mbona ipo mingi sana mkuu. Vietnam na Cambodia walishindwa , Afghanistan wameshindwa Somalia hapo jirani zetu operation Black hawk down walichinjwa kama njiwa miili ilitapakaa Mogadishu mpaka leo marekani hajawahi kukanyaga Somalia. Mifano ni mingi sijui unazungumzia vita gani
Zile filamu za Rambo,Missing in action zimeathiri ubongo wako.Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:
a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara
Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.
Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.
USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation
Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.
Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.
Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.
Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?
Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?
Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake
Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Ile ilikuwa Zoezi la Medani!Sasa ushindwe vita kwasbabu ya treaties za miaka ya 40s
Nimeamini Ashki ni wazimu!Mifano ya marekani kushindwa vita mbona ipo mingi sana mkuu. Vietnam na Cambodia walishindwa , Afghanistan wameshindwa Somalia hapo jirani zetu operation Black hawk down walichinjwa kama njiwa miili ilitapakaa Mogadishu mpaka leo marekani hajawahi kukanyaga Somalia. Mifano ni mingi sijui unazungumzia vita gani
Dogo movi za Hollywood za marekani kuibuka kidefea vimekufukirisha mpaka umekuja na huu upuuzi wako..Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:
a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara
Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.
Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.
USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation
Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.
Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.
Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.
Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?
Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?
Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake
Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Begining jeshi la Hitler halikua na branches yaani bases au?Watu wanaakili ndogo hawajui maana ya vita na mapambano dhidi ya kikundi fulani.
Kwa mfano USA angekuwa ametangaza vita kamili dhidi ya vietnam tungekuwa tunaongeea kitu kingine.
Kvp? Kwenye vita kamili haki za binadamu,sijui huyu ni mwanajeshi huyu sio hamnaga wanachang'anywa wote.
Ni hivyo hivyo kwa Russia akiamua kupiga ukraine bila kujali sijui raia nakadhalika hata bakiza kitu.
Tuje upande wa US vs Russia hapa ni mbingu na ardhi!
Hitler tu na jeshi lake ambalo halikuwa na branches wala nn liliimidi vita miaka 6?
Mwenye akili ajiulize je? Vp US wenye military bases all over the world?
Siitakuwa balaa plus uchumi plus well intergrated intelligence agencies.
Ebu tuanze alikuwa na bases kwenye nchi zipi??Begining jeshi la Hitler halikua na branches yaani bases au?
Are you serious.
Kwa kipindi hicho Ulaya nzima aliyekuwa na upinzani wa kweli kwenye technology, military technology, civiliantech nk dhidi ya Nazi German alikuwa ni mwingereza tu.
Ndio maana Kwa ukubwa na organized army ya Hitler iliweza kumkalisha ufaransa , ubelgiji na Poland Kwa miezi kadhaa. Eg ufaransa alisarenda baada ya miezi sita ya kichapo hapo June 1940. Poland alinukishiwa mwaka wa 1939 akapigwa akakalishwa, vilevile Ubelgiji na Balkan countries zote zikasanda game.
Wajerumani mwaka wa 1941 walivunja mkataba wa kuisogelea Soviet Russia. Kumbuka mpaka mwaka wa 1940 wakati Poland anatandikwa German na usoviet walikuwa pamoja wakimla Poland.
Ghafla Ujerumani ikaanza kuipiga Soviet Russia. Wakaisogelea Urusi Hadi karibu kabisa na Moscow inasemwa ilikuwa umbali wa km 22 kufika mjini hapo. Ghafla upepo ukabadilika Ujerumani ikaanza kupigika nyuma na mbele. Mashariki Mrusi magharibi alipotoka Marekani na Alies wake. Vita hii ikapiganwa Kwa miaka Minne.
Mataifa zaidi ya 20 yakaligana na Ujerumani ilivyokuwa na allies kadhaa.
Eti Leo wasema Ujerumani haikuwa na branch. Au ulimaanisha nini
Yaani ni kama alivyoenda Afghanistan, Iraq na Libya.Lakini kumbuka US alipeleka troops pale akaweka kambi yani alishiriki hiyo vita moja kwa moja na kwa kuipiga mabomu North Vietnam. Yani ile vita ilikuwa yake alishiriki moja kwa moja na bado ikamshinda akaondoka. Hadi Senator John McCain alikamatwa na kushikiliwa mateka akiwa kama mwanajeshi katika vita hii.
US alikuwa direct involved kwenye hiyo vita tena ni tofauti na Ukraine kusema labada anatoa msaada wa silaha na mafunzo, bali yeye alikuwa on the ground. Ndiyo maana hata movies zao za propaganda zinazohusu vita ya Vietnam wanaonyesha kabisa ni kama wao walikuwa wanapigana moja kwa moja.
Kuna sino- japanese war mbili unless unadhani China kaanza kupambana na Japan baada ya marekani kushambuliwa.😂😂😂Walikuwa wapi kujiokoa kabla Japan hajaanza kuwa bize kupigana na wakubwa?
Ukweli ni kuwa China alikuwa anatandikwa unaikumbuka manchukuo😂😂Kuna sino- japanese war mbili unless unadhani China kaanza kupambana na Japan baada ya marekani kushambuliwa.
So far Japan kaangia baadhi ya maeneo ya China kwa vita kakaa kwa vita na kaondoshwa kwa vita na wachina wenyewe.
Marekani alihusika baadae kwenye vita vya China na Japan baada ya marekani naye Japan kuwa adui yake.
Marekani kawakuta China na Japan wanatandikana sana tu.
Hiyo Sino- Japanese war imegawanyika pande mbili kutandikwa kwa China na kutandikwa kwa Japan na China kuwa fukuza Japan.Ukweli ni kuwa China alikuwa anatandikwa unaikumbuka manchukuo😂😂
Tena Japan aliikuta China iliyo paranganyika na vita za wenyewe kwa wenyewe ilikuwa dhoofu li hariUkweli ni kuwa China alikuwa anatandikwa unaikumbuka manchukuo😂😂