Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwahio ushaona nafaidi kupewa like tu kweliiTangu lini watu wa kongo wanaimba taarabu? Hiyo ni jadi yenu watu wa pwani
Umefungasha watu hapo juu na wanakumwagia like na kamba zako
Nashangaa hao wanaokupa like kwa hizo kamba na ulivyo mweupe kichwaniKwahio ushaona nafaidi kupewa like tu kwelii
Jamaa kama like tu zinakuuma roho inaonekana una roho mbaya sana wewe jamaa khaaa
Yaani like tu imekuumiza [emoji1787][emoji3][emoji1787]
Swali lako ni invalid sababu duniani hapa hakuna nchi ya kuivamia wala kuishambulia Marekani kwenye ardhi yake. Ni nchi za kizembe kama Russia ndio zikikupiga nazo unapiga kwao.Taja taifa moja ambalo china au us amepigana nalo ambalo lina nguvu walau nusu tu ya ukraine
Kupigana na Afghanistan libya na iraq unataka wazamishe meli
Wanazamisha meli kwa silaha gani walizokua nazo???
Us akiingia vitani na nchi yenye uwezo nusu tu ya Ukraine nakuhakikishia lazma angetumia nyuklia
Kama pearl harbor alitumia nyuklia basi atatumia nyuklia zaidi ya mbili
Hem ntajie nchi ipi alopigana nayo us ambayo ingeweza kuzamisha meli yake hata moja
Leo hii iibuke vita kati ya uchina na taiwan utashuhudia maajabu zaidi ya uloyaona pale russia
Russia kapambana sana yaani kapata hasara ndogo sana sana sana kulinganisha na opponents wake na anapopigana napo pale alipo
Israhell hamas tu alishindwa kuzuia makombora yakaponda ponda huko ndani kwake sueze kiev
Kama vita vyote alivyopigana alishindwa,wazamishe carrier za nini? Kama wakiona nguvu hana,wanahangaika na zo za nini sasa?Taja taifa moja ambalo china au us amepigana nalo ambalo lina nguvu walau nusu tu ya ukraine
Kupigana na Afghanistan libya na iraq unataka wazamishe meli
Wanazamisha meli kwa silaha gani walizokua nazo???
Us akiingia vitani na nchi yenye uwezo nusu tu ya Ukraine nakuhakikishia lazma angetumia nyuklia
Kama pearl harbor alitumia nyuklia basi atatumia nyuklia zaidi ya mbili
Hem ntajie nchi ipi alopigana nayo us ambayo ingeweza kuzamisha meli yake hata moja
Leo hii iibuke vita kati ya uchina na taiwan utashuhudia maajabu zaidi ya uloyaona pale russia
Russia kapambana sana yaani kapata hasara ndogo sana sana sana kulinganisha na opponents wake na anapopigana napo pale alipo
Israhell hamas tu alishindwa kuzuia makombora yakaponda ponda huko ndani kwake sueze kiev
Unataka kusema kwamba hilo kombora lilipita kusalimia NATO kwanza ndo likaenda kulipukaKwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Aliosema kama wanataka kuifuta syria sio mimi ni Hillary Clinton mie nimenukuu tu maneno yakeNani alikwambia Marekani ina mpango wa kufuta hao wagonjwa wa Kwashiorkor? Wangekuwa na mpango huo si kwanza wangeacha kuwalisha au hujui US inachangia kuwanusuru njaa? Mwaka jana imetoa zaidi ya $1 wasinyauke, leo unasema inataka iwafute. Au ni kama michezo ya uswahilini kumnyeshwa mwizi energy drink apate nguvu ili mumpige.
Wewe unawapangia Marekani cha kufanya? Lini walitaka kuifuta Houthi?
Wewe umeitaja Houthi, ghafla hutaki nikujibu kuhusu Houthi. Aya chagua nikujibu kwa kipimo gani.
Elezea North Korea au Iran zinawezaje piga aircraft carrier. Mara ya mwisho US Navy kupigana na Iranian Navy kwenye Operation Playing Mantis Operation Praying Mantis - Wikipedia US iliua wanajeshi 55 wa Iran na ikazamisha meli zao 5. Wao wakatoka kapa. Walete tena wahesabu maumivu
Unajifariji mkuu. Pigs flying
Aiseee na wewe uliona kabisa wajerumani wakichanganyikiwa?Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Huna hoja yaaani pinga kwa hoja acha wivu na likeNashangaa hao wanaokupa like kwa hizo kamba na ulivyo mweupe kichwani
Unajiandikia tu
Thusy niliandika hapo mwanzo ni stori za gahwa kutoka kwa mnyamani
Kama hakuna sasa alikua analilia lia nini cuba ilivyotaka kupelekewa nyuklia missile na ussr si angekaa tuuuSwali lako ni invalid sababu duniani hapa hakuna nchi ya kuivamia wala kuishambulia Marekani kwenye ardhi yake. Ni nchi za kizembe kama Russia ndio zikikupiga nazo unapiga kwao.
Marekani haijawahi piga mtu akajibu kijeshi kwenye ardhi ya Marekani miaka nenda miaka rudi. Last time superpower anajitutumua alifanikiwa kuishtukiza Marekani mara moja ikiwa haipo kwenye state of war, Pearl Harbor attack 1940s.
Una hoja gani we mvaa kobazi kajitwarishe ukapige adhana uamshe majini yenu muende gaza mkapigane vitaHuna hoja yaaani pinga kwa hoja acha wivu na like
Basi waambie wasi like uridhike
Us ndio magaidi wenyewe yaaniKwa kifupi,usuper power wa USA upo kwenye movie kuliko ulivyo kwenye uwanja wa vita.
Mara sniper,mara Ninja,ila mbona hata na kwenye movie bado makopo yanadundwa tu.
Misifa teleee. Ni kama kitu gani USA anakiweza zaidi ya mauwaji?
Binafsi naona na taifa la USA halina tofauti na magaidi wengine,labda nani atamke tu basi
Ova
Naona umeanza taarabu [emoji3]Una hoja gani we mvaa kobazi kajitwarishe ukapige adhana uamshe majini yenu muende gaza mkapigane vita
Wakongo hatuna taarabuNaona umeanza taarabu [emoji3]
Hizo taarabu tushazizoea njo na twaarab mpya mdogo wangu
Mie mavumbi ya nn wakat mie mwenyewe vumbi toshaWakongo hatuna taarabu
Tuna vumbi la kongo njoo nikupatie bure uachane na gahawa
Haya kale urojoMie mavumbi ya nn wakat mie mwenyewe vumbi tosha
Pole kijana vumbi la kongo ni hatari kwa afya yakoHaya kale urojo
Hakulialia, alizuia Soviet kuweka silaha Cuba. Na Soviet Union ilimtii Marekani, kama ingebisha ingelazimika kupigana na meli za Marekani zilizoizuia isipeleke silaha pale.Kama hakuna sasa alikua analilia lia nini cuba ilivyotaka kupelekewa nyuklia missile na ussr si angekaa tuuu
Nimesema kwa sasa, tafuta mtu ufundishwe tofauti ya past, present na future tense.Yaani hakuna wakat huo huo unasema ilitokea sasa hakuna ama ipo
Hapa sasa unaleta ubishi wa kijinga kama jobless usiye na majukumu ya kufanya. Umetolewa kwenye reli unaanza kuandika pumba.Us anaiogopa Cuba tu kanchi kadogo halaf unataka kutwambia nn?
Mara hii umekimbilia kuizungumzia Syria tena. Na ulitoka Syria ukaenda Cuba. Vipi ya Yemen umeona yanakushinda?Aliosema kama wanataka kuifuta syria sio mimi ni Hillary Clinton mie nimenukuu tu maneno yake
Assad Must Go
Unajua mwaka wanaiba mafuta ya kiasi gani hapo Syria hapo hawajawachangia wameregesha sehem chache ya pesa nyingi walizoiba
Kama hawakutaka kuifuta sasa walikua wanaiundia muungano pale red sea wakazi gani si wangewaacha
Kama walikua hawana nia ya kuifuta sasa waliindia coalition Us Uk Saudia Israhell na shost zao kwasababu gani wakawa wanaipiga kwa miaka tisa na bado wakaishia kuchemka
Wewe kua huru taja yeyote mzee unayotaka kutaja na itajibiwa ipasavyo kama haijajibiwa unikumbushe mzee ntaijibu
Hio operations ilikua vita ya mwaka gani mie nakwambia vita sijataka SMO kama ya RUSSIA pale kiev
Kama operation hata Iran waliteka mgambo kibao wa us wangetaka kuwachinja wangewachinja safi kabisa ila wakaona wawasamehe
Zitazamishwa kama zitakavyoenda kushambulia mkuu
Hakuna pakujifariji nakupa fact tupu
Jifunze kupangilia maneno na hoja kisha uje kunibishia. Hata kupangilia maneno hujui, hujui unabisha nini, wala hujui unachokiandika.Huo umasikini na mpango vinatoka wapi? Wakati hayo madude yanaanza kuundwa,ni miaka mingapi? Na lengo lilikuwa nini! Leo hii hata USA ikiacha kihelehele,inayapeleka yakafanye nini? Kila ndege inayotua hapo,kuna uwezekano wa kuitungua.
Karibia kila kona,ina base za kijeshi kuhifadhia. Kwa maana kutoka kila kona,ina uwezo wa kurusha ndege au makombola na ndege zikarudi.
Hata wapinzani wake wako hivyo. North Korea ana ngapi? Mbona ameshakuwa moto wa kuotea mbali? Hayo ni mavitu,yapo na yameshapitwa na wakati. Sasa unapoongelea ubora,au uwingi,hautakuwa na msaada. Sasa hivi wababe,kila kona ya dunia wanaweza kurusha kitu wakiwa wamekaa kwao. Gharama zote, si la kutengeneza miaka chini ya 5,au na zaidi? La nini? Hayo yanafaa TZ kupigia picha tu. Sasa hivi wote wanahangaika kuweka ulinzi wa ardhi tu,maana kila mmoja ameshaona kila akijaribu hili,mwenzake anaibuka na mtambo balaa. Kama alivyosema mdau mmoja, USA bila NATO yake,si chochote. Na ilivyosemekana sijui kitu gani kilitoka Russia,kikaenda Poland,kikageuza kurudi Ukraine, huo si uvamizi tayari? Mbona hawakuyapeleka! NATO si wanayo mengi! Hangaikeni na unga na mchele, mengine tuyaachie wanaoyataka.