USA vs China Aircraft carrier

USA vs China Aircraft carrier

Tangu lini watu wa kongo wanaimba taarabu? Hiyo ni jadi yenu watu wa pwani
Umefungasha watu hapo juu na wanakumwagia like na kamba zako
Kwahio ushaona nafaidi kupewa like tu kwelii

Jamaa kama like tu zinakuuma roho inaonekana una roho mbaya sana wewe jamaa khaaa

Yaani like tu imekuumiza [emoji1787][emoji3][emoji1787]
 
Kwahio ushaona nafaidi kupewa like tu kwelii

Jamaa kama like tu zinakuuma roho inaonekana una roho mbaya sana wewe jamaa khaaa

Yaani like tu imekuumiza [emoji1787][emoji3][emoji1787]
Nashangaa hao wanaokupa like kwa hizo kamba na ulivyo mweupe kichwani
Unajiandikia tu
Thusy niliandika hapo mwanzo ni stori za gahwa kutoka kwa mnyamani
 
Taja taifa moja ambalo china au us amepigana nalo ambalo lina nguvu walau nusu tu ya ukraine

Kupigana na Afghanistan libya na iraq unataka wazamishe meli

Wanazamisha meli kwa silaha gani walizokua nazo???

Us akiingia vitani na nchi yenye uwezo nusu tu ya Ukraine nakuhakikishia lazma angetumia nyuklia

Kama pearl harbor alitumia nyuklia basi atatumia nyuklia zaidi ya mbili

Hem ntajie nchi ipi alopigana nayo us ambayo ingeweza kuzamisha meli yake hata moja

Leo hii iibuke vita kati ya uchina na taiwan utashuhudia maajabu zaidi ya uloyaona pale russia

Russia kapambana sana yaani kapata hasara ndogo sana sana sana kulinganisha na opponents wake na anapopigana napo pale alipo

Israhell hamas tu alishindwa kuzuia makombora yakaponda ponda huko ndani kwake sueze kiev
Swali lako ni invalid sababu duniani hapa hakuna nchi ya kuivamia wala kuishambulia Marekani kwenye ardhi yake. Ni nchi za kizembe kama Russia ndio zikikupiga nazo unapiga kwao.

Marekani haijawahi piga mtu akajibu kijeshi kwenye ardhi ya Marekani miaka nenda miaka rudi. Last time superpower anajitutumua alifanikiwa kuishtukiza Marekani mara moja ikiwa haipo kwenye state of war, Pearl Harbor attack 1940s.
 
Taja taifa moja ambalo china au us amepigana nalo ambalo lina nguvu walau nusu tu ya ukraine

Kupigana na Afghanistan libya na iraq unataka wazamishe meli

Wanazamisha meli kwa silaha gani walizokua nazo???

Us akiingia vitani na nchi yenye uwezo nusu tu ya Ukraine nakuhakikishia lazma angetumia nyuklia

Kama pearl harbor alitumia nyuklia basi atatumia nyuklia zaidi ya mbili

Hem ntajie nchi ipi alopigana nayo us ambayo ingeweza kuzamisha meli yake hata moja

Leo hii iibuke vita kati ya uchina na taiwan utashuhudia maajabu zaidi ya uloyaona pale russia

Russia kapambana sana yaani kapata hasara ndogo sana sana sana kulinganisha na opponents wake na anapopigana napo pale alipo

Israhell hamas tu alishindwa kuzuia makombora yakaponda ponda huko ndani kwake sueze kiev
Kama vita vyote alivyopigana alishindwa,wazamishe carrier za nini? Kama wakiona nguvu hana,wanahangaika na zo za nini sasa?
 
Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Unataka kusema kwamba hilo kombora lilipita kusalimia NATO kwanza ndo likaenda kulipuka


Hizi strungi za leo naomba mniache hapo mbele nyie nendeni tu😂😂
 
Nani alikwambia Marekani ina mpango wa kufuta hao wagonjwa wa Kwashiorkor? Wangekuwa na mpango huo si kwanza wangeacha kuwalisha au hujui US inachangia kuwanusuru njaa? Mwaka jana imetoa zaidi ya $1 wasinyauke, leo unasema inataka iwafute. Au ni kama michezo ya uswahilini kumnyeshwa mwizi energy drink apate nguvu ili mumpige.

Wewe unawapangia Marekani cha kufanya? Lini walitaka kuifuta Houthi?

Wewe umeitaja Houthi, ghafla hutaki nikujibu kuhusu Houthi. Aya chagua nikujibu kwa kipimo gani.

Elezea North Korea au Iran zinawezaje piga aircraft carrier. Mara ya mwisho US Navy kupigana na Iranian Navy kwenye Operation Playing Mantis Operation Praying Mantis - Wikipedia US iliua wanajeshi 55 wa Iran na ikazamisha meli zao 5. Wao wakatoka kapa. Walete tena wahesabu maumivu

Unajifariji mkuu. Pigs flying
Aliosema kama wanataka kuifuta syria sio mimi ni Hillary Clinton mie nimenukuu tu maneno yake
Assad Must Go
Unajua mwaka wanaiba mafuta ya kiasi gani hapo Syria hapo hawajawachangia wameregesha sehem chache ya pesa nyingi walizoiba

Kama hawakutaka kuifuta sasa walikua wanaiundia muungano pale red sea wakazi gani si wangewaacha

Kama walikua hawana nia ya kuifuta sasa waliindia coalition Us Uk Saudia Israhell na shost zao kwasababu gani wakawa wanaipiga kwa miaka tisa na bado wakaishia kuchemka

Wewe kua huru taja yeyote mzee unayotaka kutaja na itajibiwa ipasavyo kama haijajibiwa unikumbushe mzee ntaijibu

Hio operations ilikua vita ya mwaka gani mie nakwambia vita sijataka SMO kama ya RUSSIA pale kiev

Kama operation hata Iran waliteka mgambo kibao wa us wangetaka kuwachinja wangewachinja safi kabisa ila wakaona wawasamehe

Zitazamishwa kama zitakavyoenda kushambulia mkuu

Hakuna pakujifariji nakupa fact tupu
 
Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Aiseee na wewe uliona kabisa wajerumani wakichanganyikiwa?
 
Kwa kifupi,usuper power wa USA upo kwenye movie kuliko ulivyo kwenye uwanja wa vita.
Mara sniper,mara Ninja,ila mbona hata na kwenye movie bado makopo yanadundwa tu.
Misifa teleee. Ni kama kitu gani USA anakiweza zaidi ya mauwaji?
Binafsi naona na taifa la USA halina tofauti na magaidi wengine. Maana hata ukiangalia hizo ISIS na upupu mwigine, wameanzisha wao kwa lengo tu la kuvuruga amani. Mbona ujinga wake hapeleki kwa Kim Jong Un? Siku wakiibukiana ndo mtajua super power ni nani. USA ni taifa gaidi zaidi ya magaidi wote duniani.
Ova
 
Swali lako ni invalid sababu duniani hapa hakuna nchi ya kuivamia wala kuishambulia Marekani kwenye ardhi yake. Ni nchi za kizembe kama Russia ndio zikikupiga nazo unapiga kwao.

Marekani haijawahi piga mtu akajibu kijeshi kwenye ardhi ya Marekani miaka nenda miaka rudi. Last time superpower anajitutumua alifanikiwa kuishtukiza Marekani mara moja ikiwa haipo kwenye state of war, Pearl Harbor attack 1940s.
Kama hakuna sasa alikua analilia lia nini cuba ilivyotaka kupelekewa nyuklia missile na ussr si angekaa tuuu

Yaani hakuna wakat huo huo unasema ilitokea sasa hakuna ama ipo

Us anaiogopa Cuba tu kanchi kadogo halaf unataka kutwambia nn?
 
Kwa kifupi,usuper power wa USA upo kwenye movie kuliko ulivyo kwenye uwanja wa vita.
Mara sniper,mara Ninja,ila mbona hata na kwenye movie bado makopo yanadundwa tu.
Misifa teleee. Ni kama kitu gani USA anakiweza zaidi ya mauwaji?
Binafsi naona na taifa la USA halina tofauti na magaidi wengine,labda nani atamke tu basi
Ova
Us ndio magaidi wenyewe yaani
 
Kama hakuna sasa alikua analilia lia nini cuba ilivyotaka kupelekewa nyuklia missile na ussr si angekaa tuuu
Hakulialia, alizuia Soviet kuweka silaha Cuba. Na Soviet Union ilimtii Marekani, kama ingebisha ingelazimika kupigana na meli za Marekani zilizoizuia isipeleke silaha pale.

Marekani alileta ubabe na USSR ikaufyata
1000193968.jpg

Yaani hakuna wakat huo huo unasema ilitokea sasa hakuna ama ipo
Nimesema kwa sasa, tafuta mtu ufundishwe tofauti ya past, present na future tense.
Us anaiogopa Cuba tu kanchi kadogo halaf unataka kutwambia nn?
Hapa sasa unaleta ubishi wa kijinga kama jobless usiye na majukumu ya kufanya. Umetolewa kwenye reli unaanza kuandika pumba.
 
Aliosema kama wanataka kuifuta syria sio mimi ni Hillary Clinton mie nimenukuu tu maneno yake
Assad Must Go
Unajua mwaka wanaiba mafuta ya kiasi gani hapo Syria hapo hawajawachangia wameregesha sehem chache ya pesa nyingi walizoiba

Kama hawakutaka kuifuta sasa walikua wanaiundia muungano pale red sea wakazi gani si wangewaacha

Kama walikua hawana nia ya kuifuta sasa waliindia coalition Us Uk Saudia Israhell na shost zao kwasababu gani wakawa wanaipiga kwa miaka tisa na bado wakaishia kuchemka

Wewe kua huru taja yeyote mzee unayotaka kutaja na itajibiwa ipasavyo kama haijajibiwa unikumbushe mzee ntaijibu

Hio operations ilikua vita ya mwaka gani mie nakwambia vita sijataka SMO kama ya RUSSIA pale kiev

Kama operation hata Iran waliteka mgambo kibao wa us wangetaka kuwachinja wangewachinja safi kabisa ila wakaona wawasamehe

Zitazamishwa kama zitakavyoenda kushambulia mkuu

Hakuna pakujifariji nakupa fact tupu
Mara hii umekimbilia kuizungumzia Syria tena. Na ulitoka Syria ukaenda Cuba. Vipi ya Yemen umeona yanakushinda?
 
Huo umasikini na mpango vinatoka wapi? Wakati hayo madude yanaanza kuundwa,ni miaka mingapi? Na lengo lilikuwa nini! Leo hii hata USA ikiacha kihelehele,inayapeleka yakafanye nini? Kila ndege inayotua hapo,kuna uwezekano wa kuitungua.
Karibia kila kona,ina base za kijeshi kuhifadhia. Kwa maana kutoka kila kona,ina uwezo wa kurusha ndege au makombola na ndege zikarudi.
Hata wapinzani wake wako hivyo. North Korea ana ngapi? Mbona ameshakuwa moto wa kuotea mbali? Hayo ni mavitu,yapo na yameshapitwa na wakati. Sasa unapoongelea ubora,au uwingi,hautakuwa na msaada. Sasa hivi wababe,kila kona ya dunia wanaweza kurusha kitu wakiwa wamekaa kwao. Gharama zote, si la kutengeneza miaka chini ya 5,au na zaidi? La nini? Hayo yanafaa TZ kupigia picha tu. Sasa hivi wote wanahangaika kuweka ulinzi wa ardhi tu,maana kila mmoja ameshaona kila akijaribu hili,mwenzake anaibuka na mtambo balaa. Kama alivyosema mdau mmoja, USA bila NATO yake,si chochote. Na ilivyosemekana sijui kitu gani kilitoka Russia,kikaenda Poland,kikageuza kurudi Ukraine, huo si uvamizi tayari? Mbona hawakuyapeleka! NATO si wanayo mengi! Hangaikeni na unga na mchele, mengine tuyaachie wanaoyataka.
Jifunze kupangilia maneno na hoja kisha uje kunibishia. Hata kupangilia maneno hujui, hujui unabisha nini, wala hujui unachokiandika.

Hata username yako umekosea jina utajulia wapi mambo ya kijeshi na geopolitics.
 
Back
Top Bottom