Mkuu.Vp kuhusu ARV's aka Njugumawe?
Sio poa kabisa kuwasengenya Batanzania wenziwako.
You can do better.
Umeona ARV ndicho kipo kwenye Mada?
Naona ww ni Platinum member ikiwa na maana unachangia JF. CHANGIA ARV bandugu.
πSasa Mimi umenijumuisha hapo nina kosa gani ππ
Ww ni muzeyi. Shikamoo.Mkuu.
Sio kwamba nasengenya mtu, U.S ndio mtengenezaji, muuzaji na msambazaji wa ARV's chini ya PEPFAR, usitishwaji wa misaada ni wazi pia PEPFAR itaathirika.
Mimi ni Platinum member ndio, na nipo hapa JF toka enzi za jamboforums. π
Hiki ni Kiama...Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Nitachangia mtajiNaona Kuna Kila dalili baadae zitakuwa zinauzwa elfu 7 hizo ngoja nijipange nifungue kiwanda hapa kigamboni au ephen_ unasemaje nakala kwa Poor Brain na mshamba_hachekwi Cc min -me
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Tupunguze mambo ya Starehe na anasa tutaishi.
Waende zao tu, Dr Samia anao uwezo wa kuziba hilo pengo la misaada kwani anagharamia kila kitu nchini bila kutetereka, BIG UP MAMA.Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada wote wa nje unalingana na ajenda ya sera ya nje ya Rais Donald Trump ukitarajiwa kutolewa ndani ya siku 30, uhakiki huu unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 85 kuanzia Januari 24, 2025.
Kutokana na hilo, USAID imewaagiza maofisa wote kusimamisha kazi, mishahara, na safari kwa asasi na taasisi zote zilizopokea misaada kupitia shirika hilo.
Hayo yamebainishwa kupitia barua rasmi kwa maofisa wa mikataba na makubaliano ya USAID na washirika wake, iliyotolewa na shirika hilo Januari 24, 2025.
Barua hiyo, iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Manunuzi wa USAID, Jami J. Rodgers, imeeleza uamuzi huo unatokana na utekelezaji wa agizo la Rais Trump la kurejelea na kurekebisha misaada ya nje ya Marekani.
Soma kwa undani katika tovuti ya Mwananchi.
View attachment 3215692
Unajidanganya SanaWaende zao tu, Dr Samia anao uwezo wa kuziba hilo pengo la misaada kwani anagharamia kila kitu nchini bila kutetereka, BIG UP MAMA.
Neti mnavulia samaki na kufugia kuku nakadhalika, umenikumbusha pia kuhusu food for war
Ni juzi tu mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Chalamila alisema tunatumia dawa za Dr. Samia.Unajidanganya Sana
π π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π₯Ίπ₯Ίπ₯ΊππΏππΏππππΏππΏππΏ
Tufe tuHakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari
Kuna hatari maambukizi mapya ya HIV kushamiri miongoni mwa Watanzania
Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani
Ipigwe tu MnadaKuna haja turudie zile Siasa enzi za Mwalimu
"Ujamaa na kujitegemea"
Vinginevyo tutakopa ili kufidia bajeti za Serikali hadi Nchi ipigwe mnada π
Naona mmarekani mweusi umetoa la moyoni. We ulimpigia kura uyo kamala?Safi sana,wakati tunampigia debe Kamala,mkasema mwanamke hafai kuongoza kabisa,sasa jiandaeni kuanguka kwa H..IV na kufa kama kuku wa kideri