Shortcut jiambukize UKIMWI halafu uone "UWEZO WA MWILI WENYEWE KUPANDISHA KINGA.".Kumbe akili unazo, sawa. Tuendelee..
Unafahamu kwamba ARV’s haziongezi kinga ya mwili wala kuua virusi vya Ukimwi? Unajua kwamba mwili unauwezo wa kupandisha kinga zake yenyewe? Unajua nini mwili kinahitaji ili kupandisha kinga ya mwili? Nikwambie?
Kina haja ya kuachana na biashara ya kula vya nje, hatari inayokuja ni kubwa.Hakutakuwa na ArVs za bure tena huko mbele ya safari
Kuna hatari maambukizi mapya ya HIV kushamiri miongoni mwa Watanzania
Hii itapelekea Serikali kutumia gharama kubwa kuyanunua hayo madawa, otherwise tutarajie ule Ukimwi aliouimba Ferouz kwenye nyimbo ya "Starehe" kurudi tena Mtaani
Ndio mkuu, imagine mtu anaionya serikali ya Marekani kutokea Ukerewe.Duh!Na wanakuwa wakali kabisa?
Au anapiga kampeni za Kamala Harris akitokea Kaboya kule Kagera.Ndio mkuu, imagine mtu anaionya serikali ya Marekani kutokea Ukerewe.
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID)
Net was business from someone,dawa ilikua kuua vyanzo vya mazalia ya mbu na wadudu wanaotambaa,mengine yote ni upigaji tuKuna haja turudie zile Siasa enzi za Mwalimu
"Ujamaa na kujitegemea"
Vinginevyo tutakopa ili kufidia bajeti za Serikali hadi Nchi ipigwe mnada 🙌
Wagonjwa Tayari wapo, na wanapandisha kinga zao kwa njia hii muda wote..,Shortcut jiambukize UKIMWI halafu uone "UWEZO WA MWILI WENYEWE KUPANDISHA KINGA.".
Usisahau kuleta mrejesho.
totatoboa mashuka😂😂
Adabu zitaturudia vichwani.Hata thamani ya vyandarua watu walijidai hawajui.Unakuta wanafugia kuku kama fensi na kuzungushia bustani za mchicha.totatoboa mashuka😂😂
ndo shida ya sisi maskini, tukizoea misaada, tunaona ni haki yetu kusaidiwa,...Adabu zitaturudia vichwani.Hata thamani ya vyandarua watu walijidai hawajui.Unakuta wanafugia kuku kama fensi na kuzungushia bustani za mchicha.
Mbona wale wagonjwa wa 90s walishindwa kupandisha kinga zao wenyewe, wakawa wanakauka kama mti uliopigwa radi.Wagonjwa Tayari wapo, na wanapandisha kinga zao kwa njia hii muda wote..,
Acha uchawa utaoleewaWagonjwa Tayari wapo, na wanapandisha kinga zao kwa njia hii muda wote..,
Kikwete alisema wazungu wanatoa mahela ya bure ni kujitahidi kuyachota tu.Naamini saa hizi anatuandalia neno la kujizatiti na dhahma ijayo ya kukosa mahela ya bure.Hata hivyo,huwa tunawadharau sana USA na kuwaita ni mashoga.Ni muda muafaka tujikite kubanana na China na Urusi.ndo shida ya sisi maskini, tukizoea misaada, tunaona ni haki yetu kusaidiwa,...
Hahahaha 😂 😂 😂 babuuuu nna mashaka na ujana wakoMuda wa Kufunga zipu
Wanawake pia waache kucheza vikoba Kwa kutegemea mauzo ya Pussy cat