Ila bana bestie ki soka la Tanzania Tanzania hao viongozi wanaeza ona pia kumchukua tena kuna mtu wanamkomoa. 🙁Ni ujinga mkubwa kwa yanga kumsajili tena marrison
Mmh unapotosha, nia haikuwa kumrejesha bana. Nia ilikuwa kupata haki inayoambatana na kulipwa faini, yaan wapate mpunga kwa simba na kwa Morrison mwenyeweLakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?
Umetoka home umebeba mapanga na mimbwa kibao kwenda kuwinda sungura , umefika huko machakani umezurura umepoteza muda wako mwingi na hujapata chochote, halafu unafika home unakuta kumbe ulivyotoa uliacha mlango wazi una shangaa unamuona swala anajizungusha zungusha hana pa kwenda, utamuacha?
Sidhani kama viongozi watafanya ujinga huo.Ila bana bestie ki soka la Tanzania Tanzania hao viongozi wanaeza ona pia kumchukua tena kuna mtu wanamkomoa. 🙁
Sasa mzee kama ulienda kuwinda sungura na siyo swala utamchukuaje swala kwa kukosa sungura?Lakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?
Umetoka home umebeba mapanga na mimbwa kibao kwenda kuwinda sungura , umefika huko machakani umezurura umepoteza muda wako mwingi na hujapata chochote, halafu unafika home unakuta kumbe ulivyotoa uliacha mlango wazi una shangaa unamuona swala anajizungusha zungusha hana pa kwenda, utamuacha?
Hao wanaofikiria kumrudisha huyo jamaa Yanga wanawaza/wanafikiri kwa kutumia akili kweli au?Jana hata kabla ya Simba kutoa taarifa kuhusu kumsimamisha Bernard Morrison nilieleza kuwa mchezaji huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoroka kambini.
Baadaye Morrison akapost kwenye pages zake kuwa kuna kitu kikubwa kinakuja akiwa ameweka picha ameshika mabegi kama mtu anayesafiri.
Sasa taarifa za ndani ya Simba zinaeleza kuwa klabu hiyo haina mpango wa kuendelea kuwa na mchezaji huyo, hivyo wanachosubiri ni kumalizika kwa mkataba wake ambao umesalia miezi mitano, kisha wamalizane naye kwa kuwa hajaonyesha uwezo walioutarajia.
Mbali na hapo inaelezwa kuwa kuna kigogo wa Klabu ya Yanga yupo tayari kusimamia shoo ili mchezaji huyo arejee Jangwani, jambo ambalo limewagawa baadhi ya viongozi.
Kwa hatua iliyopo ni kuwa Morrison anaweza kufanya mazungumzo na klabu nyingine yoyote kwa kuwa kanuni inamruhusu na ikiwezekana kusaini mkataba wa awali.
Hakuondoka Yanga vizuri, hiyo ni hoja ya baadhi ya viongozi wanaopinga kurejea kwake klabuni hapo wakionekana watakuwa wanamrudisha mtu aliyewakosea heshima, lakini wale wanaounga mkono kurejea kwake wanataka arejee ili wawaumize wapinzani wao wa jadi, Simba.
Hivyo, ni suala la muda kusubiri nini kitatokea, Simba wapo kwenye presha ya matokeo na kiwango bora, je, wataendelea kumfikiria Morrison au watapuuzia na kumuacha akiondoka ikiwezekana kwenda Yanga kirahisi? Muda utazungumza ila suala la Morrison kuondoka Simba hilo halikwepeki kwa sasa.
We umesahau nugaz kwenye tamasha la wananchi alipokuwa anatambulisha wachezaji alimtaja na morrison akisema ni mchezaji halali wa yanga na ni swala la muda tu atarejea jangwani na mashabiki wakapiga kelele za shangwe?Mmh unapotosha, nia haikuwa kumrejesha bana. Nia ilikuwa kupata haki inayoambatana na kulipwa faini, yaan wapate mpunga kwa simba na kwa Morrison mwenyewe
Mnajitekenya na kucheka wenyewe komaeni nalo hilo furushi lenu la mavi.Jana hata kabla ya Simba kutoa taarifa kuhusu kumsimamisha Bernard Morrison nilieleza kuwa mchezaji huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoroka kambini.
Baadaye Morrison akapost kwenye pages zake kuwa kuna kitu kikubwa kinakuja akiwa ameweka picha ameshika mabegi kama mtu anayesafiri.
Sasa taarifa za ndani ya Simba zinaeleza kuwa klabu hiyo haina mpango wa kuendelea kuwa na mchezaji huyo, hivyo wanachosubiri ni kumalizika kwa mkataba wake ambao umesalia miezi mitano, kisha wamalizane naye kwa kuwa hajaonyesha uwezo walioutarajia.
Mbali na hapo inaelezwa kuwa kuna kigogo wa Klabu ya Yanga yupo tayari kusimamia shoo ili mchezaji huyo arejee Jangwani, jambo ambalo limewagawa baadhi ya viongozi.
Kwa hatua iliyopo ni kuwa Morrison anaweza kufanya mazungumzo na klabu nyingine yoyote kwa kuwa kanuni inamruhusu na ikiwezekana kusaini mkataba wa awali.
Hakuondoka Yanga vizuri, hiyo ni hoja ya baadhi ya viongozi wanaopinga kurejea kwake klabuni hapo wakionekana watakuwa wanamrudisha mtu aliyewakosea heshima, lakini wale wanaounga mkono kurejea kwake wanataka arejee ili wawaumize wapinzani wao wa jadi, Simba.
Hivyo, ni suala la muda kusubiri nini kitatokea, Simba wapo kwenye presha ya matokeo na kiwango bora, je, wataendelea kumfikiria Morrison au watapuuzia na kumuacha akiondoka ikiwezekana kwenda Yanga kirahisi? Muda utazungumza ila suala la Morrison kuondoka Simba hilo halikwepeki kwa sasa.
Ila bana bestie ki soka la Tanzania Tanzania hao viongozi wanaeza ona pia kumchukua tena kuna mtu wanamkomoa. 🙁
Huo mvutano uko wapi, hakuna kiongozi yoyote wayanga ambaye amezungumza kumuhusu Morrison hata hozo taarifa tumezipata mtandaoniJana hata kabla ya Simba kutoa taarifa kuhusu kumsimamisha Bernard Morrison nilieleza kuwa mchezaji huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoroka kambini.
Baadaye Morrison akapost kwenye pages zake kuwa kuna kitu kikubwa kinakuja akiwa ameweka picha ameshika mabegi kama mtu anayesafiri.
Sasa taarifa za ndani ya Simba zinaeleza kuwa klabu hiyo haina mpango wa kuendelea kuwa na mchezaji huyo, hivyo wanachosubiri ni kumalizika kwa mkataba wake ambao umesalia miezi mitano, kisha wamalizane naye kwa kuwa hajaonyesha uwezo walioutarajia.
Mbali na hapo inaelezwa kuwa kuna kigogo wa Klabu ya Yanga yupo tayari kusimamia shoo ili mchezaji huyo arejee Jangwani, jambo ambalo limewagawa baadhi ya viongozi.
Kwa hatua iliyopo ni kuwa Morrison anaweza kufanya mazungumzo na klabu nyingine yoyote kwa kuwa kanuni inamruhusu na ikiwezekana kusaini mkataba wa awali.
Hakuondoka Yanga vizuri, hiyo ni hoja ya baadhi ya viongozi wanaopinga kurejea kwake klabuni hapo wakionekana watakuwa wanamrudisha mtu aliyewakosea heshima, lakini wale wanaounga mkono kurejea kwake wanataka arejee ili wawaumize wapinzani wao wa jadi, Simba.
Hivyo, ni suala la muda kusubiri nini kitatokea, Simba wapo kwenye presha ya matokeo na kiwango bora, je, wataendelea kumfikiria Morrison au watapuuzia na kumuacha akiondoka ikiwezekana kwenda Yanga kirahisi? Muda utazungumza ila suala la Morrison kuondoka Simba hilo halikwepeki kwa sasa.
Huoni ukiwa na swala unakuwa una double profit kwasababu pengine huyo sungura angeku save kwa njaa ya siku moja tu?Sasa mzee kama ulienda kuwinda sungura na siyo swala utamchukuaje swala kwa kukosa sungura?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We umesahau nugaz kwenye tamasha la wananchi alipokuwa anatambulisha wachezaji alimtaja na morrison akisema ni mchezaji halali wa yanga na ni swala la muda tu atarejea jangwani na mashabiki wakapiga kelele za shangwe?
Wasifanye aisee Shem kama na sisi tusivyopenda ifanyike.Sidhani kama viongozi watafanya ujinga huo.
Umeonaee. Na wenyewe pia wanalijua hilo kwamba watu hawamfurahii Manara ni hiyo basi tu.Hapo ndipo wanapotudondosha mashabiki. Bado suala la manara kukaribishwa kwa mbwembwe zoote halijapoa(inauma hii wala hana umuhim)
Lakini haji manara saizi si mshazoea na kum treat kama mwenzenu, kwani bado wale wenye kinyongo naye wakimtazama kua ni mamluki bado wapo?
We kwa upande wako haji unamchukuiaje?
Ni mtu fulani mwenye mapenzi ya kweli na club au yuko hapo kwa ajili ya maslahi tu na sio mshabiki wa kweli?
Umeonaee. Na wenyewe pia wanalijua hilo kwamba watu hawamfurahii Manara ni hiyo basi tu.
Tuwaombe wasituangushe kwa kweli hilo pira (morison) wawaachie hao hao 5imba wahangaike nalo. 😀