kiukweli ni haki na halali hao jamaa wakiwa matajiri, lakini sio utajiri wa kuchukua pesa kitapeli toka kwa wananchi masikini ambao hawana hata watu wa kuwasemea. wewe kama mmojawapo, hauna tofauti na jambazi na mwizi wa kawaida tu. ulistahili sasahivi wakati tunaongea uwe gerezani. na hivyo ndivyo mnavyowarubuni waumini kwamba nabii kuwapokonya pesa kwa uwongo yeye atajirike, ni sahihi.Acha mentality za kimasikini na wivu wa kike,kwahiyo ulitaka hao manabii na mitume wawe masikini watembelee yeboyebo na suruali zilizotoboka matakoni ndio ufurahie?
Get a job acha wivu wa kike.
nauli ya kwendea pale watu wanakopa, na hela ya kumpa nabii. halafu kama yule wa arusha, anawaita wachache anawagawia milioni kadha kadhaa zilezile ambazo masikini wa palepale wametoa sadaka. anasema anawasaidia, si awasaidie wale waliokuja pale kanisani kwa kuomba nauli? kwanini anafanya selection ya watu wachache atoe mfano? mara kampa mchungaji mashimo,mara mashee mara nani wakati pale kuna watu wamekuja kanisani hawajala hata chakula. tuwe wakweli toka moyoni. hivi kweli hili jambo tutanyamaza hadi lini?Makanisa wanao umia ni masikini.
Ukifika Kawe Jumapili unawaonea watu huruma
mojawapo ya kinachopotoshwa ni pale mtu anasema duniani hakuna dhambi, yani wewe fanya chochote upendacho. pia anasema BIBLIA NI KITABU CHA KAWAIDA KAMA VITABU VINGINE TU na kilikusanywa na kuitwa biblia kwa matakwa ya watu tu, na hata ukiiongezea vitu vyako sio kosa. kuna mengi. tangu nianze kumsikia huwa anahubiri kupinga biblia na ukristo, sasa ijulikane kanisa lake amesajili kama kanisa la kikristo au la, ili tujue kama ni mganga wa kienyeji akajisajili huko, asijiweke kweney wakristo sote tukahesabika kwenye kapu lake.Haujawa specific ni nini hasa katika biblia kinachopotoshwa na kinapelekea madhara gani jumuishi na mtambuka kwa nchi,jamii na mtu mmoja mmoja. Weka bayana kero zianishwe hapa umepopoma tu kiholela
yanapiga ukirisito kwani yeye anasema kuwa yesu sio mungu?Unashangaa dhehebu!! Watu wanajiita mitume kabisa .
sasa ni wajibu wa serikali kuwakomboa hao watu walioshikwa masikio. hao manabii wengine wanaenda hadi kwenye ushirikina ili kuwakamata waumini masikio, ndio maana leo hii ukimwambia mtu mtume wako anawadanganya anaweza hata kukupiga ngumi kwasababu sio yeye, akili yake yote ameiacha kwa mtume.Iyo dini ni upumbavu mtupu na wanaofuata ni makondoo akili hawana hata .
Yaani hayo masharti ni ya waganga kabisa sema wao wanavaa suti sijui uje na kucha, mara kitambaa cheupe ..Majitu Haina akili ya kudadavua mambo kwamba hao ni waganga kisa wanavaa suti na hapo nyuma Kuna disco na pombe watu wanakunywa huko kweny kanisa.
Yaani umeongea mengi lakini hakuna mahali umeonesha ubaya wa mzee wa Neema.Tatizo la wakristo wengi pamoja na huyu mleta uzi ni wanafiki sana.
Wamekuwa kama wale mafarisayo kujidai watakatifu hadi wakamsulubisha Yesu kwa kumuita ametenda dhambi nyingi lakini mbaya zaidi ni ya kukufuru.
Mzee wa Neema amekuwa mtu muhimu sana kwani anawafundisha watu wawe na ufahamu.Na kweli inawaweka huru kweli kweli.
Leo huwezi kuwa na amani kwenda kanisani kwa haya makanisa ya mafarisayo kama umeachana na mkeo,maana wewe utaonekana mtenda dhambi unayestahili hukumu tu.Utanyanyapaliwa na hutakuwa na amani.
Unatakiwa uwe mnafiki mkubwa ili ukubalike kwenye haya makanisa.Kuna vijana wengi wazinifu,lakini wanafanya kwa siri na kanisani wanaonekana watakatifu.
Kubalini kuwa wanafunzi wa Yesu ili mjifunze mengi mwe huru .Injili lazima itahubiriwa kwa watu wote
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
hivi mtu aliyejiita mchungaji wa kikristo, kusimama na kusema kwamba BIBLIA NI KITABU CHA KAWAIDA KAMA VITABU VINGINE TU, maana yake ukichukua Biblia na zile novel za Shigongo vipo level sawa. hapo kweli hana kosa? icho kikundi chake alikisajili kama ni cha kikristo au cha uganga? au cha upinga kristo? pia, ukichukulia kwamba Tanzania kuna wakristo wengi,wanakereka na mafundisho yake isijetokea siku moja wakajichukulia sheria mkononi, serikali inatakiwa iangalie mbali sio wote wanaosali ni wanyoofu wengine wanaweza kufanya jambo dhidi yake, ili kuleta amani ndio maana hseria na regulations zipo, anayefungua kanisa ahakikishe haleti taharuki zisizo na mantiki kwa wenzake. sasa kweli mtu anaamka leo anasema Biblia ni kitabu cha kawaida tu unategemea wakristo Tanzania wajisikie vizuri tu? na amani iendelee kuwepo tu?kati yao na yeye?Yaani umeongea mengi lakini hakuna mahali umeonesha ubaya wa mzee wa Neema.
Ninachokiona ni wewe unasukumwa na hisia za chuki tu bila kuwa na ushahidi wala uelewa wa kile anachofanya mzee wa Neema.
Ukristo wa leo umejaa unafiki,ubabaishaji,roho mbaya,connection,ukabila,ubaguzi,majivuno,kiburi,na ujuaji usio na maana.
Ninyi humo makanisani ipo siku mtakuwa kuni za ku mchoma moto shetani maana mmejijengea ufalme unaowazuia wengi kuingia humo.Kazi yenu kuhukumu tu nafsi za watu Yesu aliowafia msalabani.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Pesa inaongea kashahonga kila mahalina wachungaji wengi wamekuwa wakilalamika sana huko makanisani dhidi yake, hawana pa kusemea tu, hadi wamembatiza jina kuwa ni MPINGA KRISTO.
Mtu anasoma mstari 1 wa Bible anafungua Kanisa.Mwenye kanisa, elimu ya chini ni degree ya Theology kutoka chuo kinachotambulika, ikiwezekana na somo la falsafa. Tuige mfano wa Rwanda.
Ondokeni wote mkachangamke Kiroho, ambako hamuendi kutoa Sadaka. Fuateni Miujiza."Waumini wakianza kuyakimbia makanisa yenu yaliyopoa kiroho na kwenda kwenye makanisa yenye upako sadaka zenu zina pungua na kuanzisha bifu. Hizo conflict of interest baina yenu pambaneni nazo wenyewe." 😀😀
Ondokeni wote mkachangamke Kiroho, ambako hamuendi kutoa Sadaka. Fuateni Miujiza.
Ndio, waislam wamesajiliwa na wanapojenga msikiti huwa hawajengi bila vibali, wakatoliki pia hivyohivyo, walutherani pia, waanglican pia, wasabato pia, wapentecost pia, shida hi haya manabii na maapostle ambao wanataka kucha, nywele, .... hao pia wanatakiwa kusajili. ndio maana suguye amesimamishwa kanisa lake kwasababu pamoja na kuomba watu wampelekee nywele kumbe hata usajili hakuwa nao. na huyu mzee wa Neema pia tuhakikishiwe kama ana usajili au la.Hivi waislamu wamesajiliwa, wakatoliki wamesajiliwa? Au usajili unawahusu watu flani tu, Kama Katiba inatoa Uhuru wa kuabudu na Uhuru wa kukusanyika usajili wa nini, nikinyimwa usajili si nimenyimwa Uhuru wangu wa kuabudu ninavyotaka niliopewa na Katiba?
Hivi mtu Kama anaabudu kuku wewe unakerwa na nini hadi unataka azuiliwe, kwa nini usimuhubiri tu aje kwenye dini yako sahihi.
Tumekubaliana serikali Haina dini. Haki ya kuabudu inavuka mpaka pale tu inapoishambulia ibada ya wenzao
Tukiendelea kuruhusu serikali kusimamia Imani za watu kuna siku tutapoteana
Uko sahihi then ana dini yake tofauti na ukristo, hilo ni kosa huyo ni Mamluki ndani ya ukristo ili aangamize ukristomojawapo ya kinachopotoshwa ni pale mtu anasema duniani hakuna dhambi, yani wewe fanya chochote upendacho. pia anasema BIBLIA NI KITABU CHA KAWAIDA KAMA VITABU VINGINE TU na kilikusanywa na kuitwa biblia kwa matakwa ya watu tu, na hata ukiiongezea vitu vyako sio kosa. kuna mengi. tangu nianze kumsikia huwa anahubiri kupinga biblia na ukristo, sasa ijulikane kanisa lake amesajili kama kanisa la kikristo au la, ili tujue kama ni mganga wa kienyeji akajisajili huko, asijiweke kweney wakristo sote tukahesabika kwenye kapu lake.