Usajili wa ‘Kanisa la Neema’ uchunguzwe

Uko sahihi then ana dini yake tofauti na ukristo, hilo ni kosa huyo ni Mamluki ndani ya ukristo ili aangamize ukristo
na kama ana dini yake tofauti, hiyo dini yake ndio alitakiwa kusajili kule wizara ya mambo ya ndani kitengo cha usajili wa makanisa/taasisi. wenzake mbona wapo wengi tu, wengine wamejisajili kama waganga wa kienyeji wa kuagua kabisa, sheria imewatambua hivyo, wengine wanauza madawa ya kienyeji etc. na sheria haitegemei waganga wa kienyeji waende kinyume na vile walivyojisajili. ndio maana ya usajili ili ijulikane nini unakifanya. sasa yeye kajiweka kama mkristo wakati sio mkristo, ni mpinga kristo. kama iyo ni dini mpya akarekebishe usajili kule ili serikali imruhusu atambulike hivyo na imfuatilie nyendo zake ikijua ni mtu wa aina hiyo. la sivyo, anatukera wakristo, anatuchafua na anaumiza mioyo yetu hasa pale anapoongea kuwa BIBLIA NI KITABU CHA KAWAIDA TU. kifupi ni kwamba hatutaki hata kumwona akihubiri mapotofu.
 
asilimia kubwa wanaotoa thread za kutukana makanisa na wachungaji na huduma zao ni waislamu! wanakuja humu kila siku kulalamikia utapeli wa makanisa lakini ukizungumzia misikiti wanalipuka kama vifutu!na nyinyi wakristo mnapoona makanisa yanatukanwa mnakenua tu
 
wengi tunaomlalamikia huyu antichrist sio waislam, ni wakristo kabisa, hakuna muislam atamlalamikia huyu jamaa wa neema, kwasababu yeye kwanza kanisa lake hata halina watu wengi, popularity yake kubwa ni kwa njia ya tv ile ambayo yeye na mkewe wanatangaza bidhaa za grace zoazoa. majority ya wakristo wanaumia na mahubiri ya huyu jamaa. pia, hakuna maana kuwa na wakristo waliopotea, unajifanya mchungaji, nabii au apostle uwapeleke watu motoni. kuna maana gani kutetea ukristo wa mtu anayesema BIBLIA NI KITABU CHA KAWAID AKABISA. wewe upo tayari utetee dini kuliko kutetea biblia. ni walewale.
 
Angejaribu kudhiahaki kile kutabu cha wavaa kubazi siku iyo iyo pangepigwa moto nae angejikuta futi sita chini, wakristo wapole mno
 
Angejaribu kudhiahaki kile kutabu cha wavaa kubazi siku iyo iyo pangepigwa moto nae angejikuta futi sita chini, wakristo wapole mno
anahubiri kwamba BIBLIA NI KITABU CHA KAWAIDA TU, na kwamba duniani hakuna kutenda dhambi kwasababu Yesu alishachukua dhambi. ni mpinga Kristo kabisa, kuifananisha Biblia na vitabu vya shigongo. anakera sana.
 
anahubiri kwamba BIBLIA NI KITABU CHA KAWAIDA TU, na kwamba duniani hakuna kutenda dhambi kwasababu Yesu alishachukua dhambi. ni mpinga Kristo kabisa, kuifananisha Biblia na vitabu vya shigongo. anakera sana.
Mpuuzi sana kwaiyo anatumia nini kufundishia watu, mi hayo makanisa siwezi tia mguu
 
hizi ni siku za mwisho, manabii na wapotoshaji ni wengi kwelikweli.kama Yesu alisema mmepata bure, toeni bure, inakuwaje wao wanauza vipawa vya MUngu,
Leo nilikuwa naangalia hiyo channel yake hao sijui ndo praise and worship team walikuwa wanaimba
eti "Kama siyo mimi top plus ingetoka wapi
nimejawa na rehema na neema tele[emoji849][emoji849]

nikasema aloo mbona hatari hii

Halafu mdada kavaa hicho kimini uwii
 
Mwisho walimkalisha lakini kabakia na stress anakunywa Konyagi tu kwenye fukwe 🤣🤣🤣
 
Kwani uongo mkuu? Si watu waliokusanya na kuamua kitabugani kiwe ndani na kipi kisiwemo? Gospel ya maria magdalena haimo, kitabu cha enoch na vitabu vingine 12 havimo.
Hayo yalikuwa maamuzi ya mkutano wa hippo mwaka 397 AD. Na wakakubaliana kuwa Mungu ndiye amewaongoza kuchagua hivyo vutabu. Kwa hiyo ni kazi ya mwanadamu
 
Mwisho walimkalisha lakini kabakia na stress anakunywa Konyagi tu kwenye fukwe 🤣🤣🤣
Mzee wa upako ana stress na ngwajima maana alikuwa anamkandia sana kuwa hawezi kushindana na serikali ila sasa anaona jamaa anaenda tu. Yanj ngwaji boy alikuwa adui yake namba moja. Mimi nimewah sali kwake miaka ya 2016/17 akawa akikuona hakufahamu anawatuma watu wakulete mbele anakuuliza we umetumwa na ngwajima wewe? Ngwajma anatuma watu waniibie waumini 🤣🤣🤣
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kumbe mzee wa Upako alikuwa fara hivyo.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kumbe mzee wa Upako alikuwa fara hivyo.
Yani jamaa anaburudisha. Siku akitoka kwake kagombana na mkewe anaanza kumchana madhabahuni sema mkewe na watoto wake kasoro mmoja ndiye nliwahi mwona pale. Wengine sikuwahi kuwaona hata mara 1 wanakuja kusali pale.
Na alikuwa anamkubali lowassa hadi anamkandia magu kwenye ibada. Magu akaona usinitanie siku moja akatimba pale ghafla jpili, na akasema wamchongee barabara ya kwenda kansani kwake.
Tangu siku hiyo mzee akabadili gia angani
 
Kitunda Dar, pia Kuna kanisa moja la mtu anayejiita Nabii Uswege, nalo lichunguzwe, lina mambo ya ovyo, wanawake wakiingia kwake wanakuwa kama mazombie, hawajali hata Familia zao
 
Kanisa gani lililopoa kiroho?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]heee!! Ila me ananifurahisha(ga) akiwa anaimba ataimba hiyo amba yawe mpaka mwisho[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]heee!! Ila me ananifurahisha(ga) akiwa anaimba ataimba hiyo amba yawe mpaka mwisho[emoji23][emoji23]
Napenda nyimbo zake amba yawe, na mungu yupo na sayuni.
Nilinunua cd pale kwake nikaipoteza mwaka jana nikarudi nunua tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…