Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] msamehe hakusoma kilichomo ndani ya uzi
 
Una haki ya kushangilia ila umo ukipanda kwenda dar utalipa nauli ila ukifa wewe na familia yako kwa kunywa maji machafu ya mtoni kwa sababu umekosa maji safi na salama yale mabasi mengine ya zamani yatakubeba bure kukupeleka kola ukazikwe.
Ww mluguru wa wap aisee wakati waluguru huwaambii kitu kuhusu Abood utadhani ni mluguru mwenzao,mluguru hapandi basi lingine zaidi ya Abood
 
Una haki ya kushangilia ila umo ukipanda kwenda dar utalipa nauli ila ukifa wewe na familia yako kwa kunywa maji machafu ya mtoni kwa sababu umekosa maji safi na salama yale mabasi mengine ya zamani yatakubeba bure kukupeleka kola ukazikwe.
Taasisi ya kiintelijensia ya uingereza ilifanya utafiti kuhusu watu wanaofaa kuwa viongozi na wenye IQ,Tanganyika, wa morogoro walionekana ni hovyo kabisa, wakapewa kazi ya kukata mkonge
 
Nadhani ni Moro Best ndio walikuwa washindani wa Abood, pia kuna kampuni ya Hood sijui imefia wap
Huyo Bw. Mdogo Francis fares Maro keshanikumbusha...

Basi ambalo nazungumzia lilikuwa Sadiq...

Anyway, inawezekana yalikuwa mengi lakini wakati ule ninayokumbuka zaidi yalikuwa Abood, Islam, Sadiq, pamoja na Hood!!! Ilipoanza kutumika Msamvu siku za mwanzoni, nakuwa napendelea sana Islam kwa sababu walikuwa wanaenda ku-park home kwao, kwahiyo mtu unaunga tela toka Msamvu hadi "town"!
 
Moro best route yake kubwa ilikua Kilombero/Dar Mimi nimepanda Moro best tokea akiwa na DCM wakati huo inatoka Kilombero saa 10 alfajiri inafika Dar saa 4 na inageuka saa 7 mchana!!..
Hizi Moro Best ingawaje ni maarufu sana, binafsi sizikumbuki kabisa sijui nilikuwa napishana nazo wapi kama zilikuwepo by the time!

Anyway, tatizo ni kwamba, Morogoro kwenyewe nimeenda zamani sana... Safari zangu 2 za mwisho zilikuwa 2003 na 2006, kwahiyo nina almost 15 years sijafika pande hizo!!
 
Acheni ujinga watu wanatumia viwanda vyetu kukopea mikopo kwenye mabanki
 
Mhh una uhakika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…