Abood amekiwa favoured na lovation ya biashara zake . Dar moro ni safari ya masaa matatu tu , basi moja inaeza kufanya trip moja tu ya nenda rudi ,Uimara wa gari ni matunzo yako tuu kwani abood ameanza rasmi kutumia yutong 2014 na zinapiga kazi hadi kesho na zipo vizuri na huikuti njiani imefeli
Ni ww umechanganya mambo, bro, mtu anaposema kwa nusu saa inanyannyuka bus 1 , itakuaje ziwe 4 kwa lisaa trip ya upande mmoja? Huon kama ww ndio umechanganya hapo?Rejea comments zako za awali alafu ulinganishe na hii!!
Hawa Tilisho , Esther wao wana survive vipi mkuu,Abood amekiwa favoured na lovation ya biashara zake . Dar moro ni safari ya masaa matatu tu , basi moja inaeza kufanya trip moja tu ya nenda rudi ,
Youtong haina uimara wa kuunguruma masaa 12 plus kwa siku , kwa miaka 2 mfululizo , ndo sababu hata yeye abood hazipeleki mbali gari zake .
Na ulitaka kujua habari ya basi za kichina , mtu sahihi kabisa wa kumuuliza ni superfeo , jamaa amehangaika na basi za kichina toka anaanza biashara, lakini sasa amefanya u turnMabasi 20 aliyo ingiza abood , ni sawa na gharama ya mabasi 6 marcopolo scania aliyo ingiza superfeo.
Watu wanaangalia mzunguko wa pesa watu wanajifanya kuyajua ubora wa mabasi kuliko hata hao wafanya biashara wenyewe. Mtu anapiga kelele humu mchina mchina hayafai lakini hao matajiri wananunua hayo hayo na biashara zao zinaenda na kuongeza hizo hizo mchina.
Hakuna namna basi ya milioni 200 plus inaeza kurudisha pesa kwa miaka miwili, never !Watu wanaangalia mzunguko wa pesa watu wanajifanya kuyajua ubora wa mabasi kuliko hata hao wafanya biashara wenyewe. Mtu anapiga kelele humu mchina mchina hayafai lakini hao matajiri wananunua hayo hayo na biashara zao zinaenda na kuongeza hizo hizo mchina.
Mkuu kuna baadhi ya biashara ukiangalia flow yake unaona zinakosa uhalisia , Sauli anajulikana ni mfanya biashara wa dhahabu, kwake yeye kununua basi zile ilikuwa sahihi kabisa na hata struggle ya kuongeza gari nyingine unaona kabisa kuna connection ya hustling. Esther hana hata miaka 10 kwenye game yet ana magari ya kumwaga , sidhani kama ana gari chini ya namba' D'. Kampuni mpya zinazokuwa kwa kasi ya ajabi mara nyingi zinakuwa na connections za wanasiasa .Hawa Tilisho , Esther wao wana survive vipi mkuu,
Mfano Esther , hii barabara ya Arusha dsm kwa siku hata bus 12 zinatembea (kwenda na kurud) ni Yutong tupu
Ooh ,hapo nimekupata mkuuMkuu kuna baadhi ya biashara ukiangalia flow yake unaona zinakosa uhalisia , Sauli anajulikana ni mfanya biashara wa dhahabu, kwake yeye kununua basi zile ilikuwa sahihi kabisa na hata struggle ya kuongeza gari nyingine unaona kabisa kuna connection ya hustling. Esther hana hata miaka 10 kwenye game yet ana magari ya kumwaga , sidhani kama ana gari chini ya namba' D'. Kampuni mpya zinazokuwa kwa kasi ya ajabi mara nyingi zinakuwa na connections za wanasiasa .
Mkuu , hujapanda basi za uhakika , mchina hana finishing ya maana amini nakwambiaWakati huo superfeo kaingiza scania GX sab.G7 angalau scania wamejitahidi finishing japo mchina bado yupo moto kwenye finishing na comfortability
Biashara kama haiendi ni nani anayethubutu kuendelea kujitisha hasara? Hata ungekuwa wewe ni tajiri je ungekuwa na ujasiri wa namna gani kuendelea kununua mabasi mapya ilihali umeshajua ni pasua kichwa?Hakuna namna basi ya milioni 200 plus inaeza kurudisha pesa kwa miaka miwili, never !
Makampuni mapya yanayonunua basi za mikopo za kichina yanazaliwa kila siku na yanakufa kila siku kimya kimya .
Za wapi hizo kama za zambia au zimbabwe south SAwaMkuu , hujapanda basi za uhakika , mchina hana finishing ya maana amini nakwambia
Miaka 11 iliyopita niliwahi panda marcopolo 2010 , ilikuwa ni full air suspension, na full services lavatory. Hapa nazingumzia choo cha haja zote , pamoja na siki la kunawia uso lenye maji moto na baridi.
140 degrees seat inclination.
Mchina kafanikiwa kujaza Tv tu
Huyo mwamba n expert daraja la kwanza A+ kwenye haya maswala ya magari na usafirishaji[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123] mkuu una piga kwenye mshono kabisa
Na ulitaka kujua habari ya basi za kichina , mtu sahihi kabisa wa kumuuliza ni superfeo , jamaa amehangaika na basi za kichina toka anaanza biashara, lakini sasa amefanya u turn
Mkuu kuna baadhi ya biashara ukiangalia flow yake unaona zinakosa uhalisia , Sauli anajulikana ni mfanya biashara wa dhahabu, kwake yeye kununua basi zile ilikuwa sahihi kabisa na hata struggle ya kuongeza gari nyingine unaona kabisa kuna connection ya hustling. Esther hana hata miaka 10 kwenye game yet ana magari ya kumwaga , sidhani kama ana gari chini ya namba' D'. Kampuni mpya zinazokuwa kwa kasi ya ajabi mara nyingi zinakuwa na connections za wanasiasa .
Ni mchina ipi iyo unapata mbili kwa ela iyo na dhamana juuUnanunua sufuria moja kwa milioni 500 mchina napata bus 2 na moja ya Dhamana, sufuria moja siti 52,mchina zangu tatu siti 156 mara nauli 40000/= miaka 2 nauza mchina nusu bei na faida juu ya kuchukua basi zingine 6 .Hadi uje urejeshe hela ya sufuria ni miaka 6 au 8.
Mfanyabiashara makini afungi ndoa na bus ikirudisha pesa na faida unasukuma unaleta new
tabu tupuUnamjua mumiliki wa Esther? Hakuna biashara pake.. ni utakatishaji wa ngawira
Ila mchina aisee🙌🙌niliwahi kukutana na mabaharia wa kifilipino katika kupiga stori nikawauliza meli mliyopo imetengenezwa nchi gani......china ila wakawa wanalalamika meli nyingi za huko wanatumia substandard metal zinachoka haraka ila ukipata chombo ya mkorea au mjapan hadi unasahau kama unamiliki meli......Mchina tokea lini ameweza kumshinda Scania?!!.. Kwenye urahisi na ubovu Sawa lakini when we speak of quality Mchina hamna kitu!!