Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
Duh! Walikuwa na stand yao kabisa pale bomba mbili kwa mbele kidogo miaka ya 2012 niliwaona kwa mara ya mwisho.Zimekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Walikuwa na stand yao kabisa pale bomba mbili kwa mbele kidogo miaka ya 2012 niliwaona kwa mara ya mwisho.Zimekufa
Mzee wako ndio tajiri wa mabasi tanzania nzima bila shakaNapinga kwasababu miaka hiyo Mzee wangu alikua anafanya biashara Morogoro na alikua ana Mabasi,Taxi,lorry,Garage na hotel Abood hakua na Basi 1980!!...
Sia blue hotel ndio ilikua hapo Morogoro mjini sasa hivi Nadhani Jengo hilo limekua Agent wa BakhressaMzee wako ndio tajiri wa mabasi tanzania nzima bila shaka
Mi sijabisha nimesema huyo mzee atakuwa na mpunga sana sasa hiviNakuelimisha Tu Rafiki Sia lodges (Guest) zilikua karibia Morogoro mjini yote!!...Tena nakuelimisha zaidi Sia Motors ndio alikua anatoa vibali vya kusafirisha Tumbaku kutoka Tabora na Morogoro kwenda Bandari Dar es salaam,Tena ndio alikua anafanya matengenezo ya Gari za serikali na mashirika yake 80% mkoa wote wa Morogoro!!
Sio yule mwenye makatapila pale kimara baruti😀Hapana wa kawaida sana!!..
Hapa usijifanye mjuaji watu ni wadukuzi na wafukunyuku sanaNdio huyo huyo
AloooNakuelimisha Tu Rafiki Sia lodges (Guest) zilikua karibia Morogoro mjini yote!!...Tena nakuelimisha zaidi Sia Motors ndio alikua anatoa vibali vya kusafirisha Tumbaku kutoka Tabora na Morogoro kwenda Bandari Dar es salaam,Tena ndio alikua anafanya matengenezo ya Gari za serikali na mashirika yake 80% mkoa wote wa Morogoro!!
Kabisa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] JF hata ukiwa na frustrations zako ingia huku usome comments unajikuta unacheka tu
We nunu mm nitasimamiaHii ilikua historia Tu!!.. Biashara ya Usafirishaji ni Nzuri ukiwa na Nguvu (usimamizi)...Mimi binafsi nimefanya Town trip Bandari ya salama na biashara ya Daladala ni pasua kichwa!!..
Nilifikiri town trip ina faida zaidi japo sijawahi kuijua undani wake..Hii ilikua historia Tu!!.. Biashara ya Usafirishaji ni Nzuri ukiwa na Nguvu (usimamizi)...Mimi binafsi nimefanya Town trip Bandari ya salama na biashara ya Daladala ni pasua kichwa!!..
Wote wakienda kwenye crypto nani atafanya biashara ya mabasi? wanamchi watapata nini? Wewe umewekeza how much kwenye crypto?Utajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Shukrani sana mkuu!Ukiweza kuwa na Gari 3,Mtu smart anaejua kutafuta kazi!!.. At least kila siku uweze kupiga trip 3 Kwa 6!!..
Za mil 10?Pia Daladala zina fedha sana ukiwa na madereva smart!!.. Daladala ukiweza kuwa nazo 5 hata ukipata za million 10 kila moja ikiweza kufunga 80 Kwa siku!!..
Morogoro anacho kiwanda cha mafuta ya kula.Kiwanda gani tena?
Nimekugundua hutunzi ya kikaoni kupitia picha hii.
Tatizo kubwa waswahil wengi hawachukulii kama Biashara serious, hua n kama kipato cha ziadaWapo waswahili Wanaweza na wanafanya lakini hawajulikani sana!!
Ngoja Charles mandela ajeKuna Mtu atakuja hapa kusema hizo sio zao, kuna kiongozi ana shares huko hii nchi ngumu sana
Ana basi 12 iyo rutiNi nani huyo? Kuna siku korogwe Tanga asubuh nikadamkia mombo, mtu niliekua nakutana nae kwa bahati mbaya akachelewa nikaa kwenye kiosk nikawa namsubiri, zilipita bus 13 za Esther hadi mda naondoka, za kwenda na kurud
Hapo hapo bado zipo za kiomboi huku
Muda uliotumika vs Success n mfupi mno
I think aliwakuta Marangu, Extra Luxury , hata Tilisho pia. Ila kakua kwa speed ya umeme
Unasema mchina hana siti comfortabilityMchina hana confotability, siti ndogo mno na ukiegemea hupati raha yoyote, basi lina siti nyingi mno kwahiyo zipo karibu karibu zinaumiza miguu, sasa usiombe uwe mnene hizo siti ni changamoto,