Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Wakuu kwanza leo ndio nimejua kua nimetimiza miaka 10 jamii forum, mnipigie makofi tafadhaliiii🥳🥳🤣
Okay, nashare na ninyi hadithi hii ya kweli iliyonitokea mimi mwenyewe, hua naumia sana kila nikiwaza kwa ujinga wangu nilivyohatarisha mahusiano yangu na kuharibu maisha ya huyu binti,

Mwaka 2020, nilienda kwenye semina ya vijana juu ya uelewa wa Afya ya Akili, kulikua kuna taasisi nyingi zilialikwa ikiwemo na sisi, basi muda wa kupata chakula cha mchana nikamuona binti mmoja mrembo amekaa meza ya peke yake anakula taratiibu, akilini nikahisi anajitenga kwa hiyo nilibeba chakula changu na kuwaacha wenzangu wanaelekea kukaa meza nyingine nikaenda kukaa na yule binti, nilimsamlimia na kumuuliza kama ninaweza kukaa akanikaribisha kwa tabasamu zuri, basi tukaanza kupiga story za hapa na pale hadi tulipomaliza kula tukaagana na kila mmoja akarejea alipokaa awali, kiukweli mimi sikumtilia maanani tena,
Semina ilivyoisha wakati najiandaa kuondoka yule binti akaja mbio na kuniomba namba ya simu, nilisita kidogo akadai ana shida ya ushauri basi nikampa chap nikaondoka,
Nilivyofika home mida ya saa moja jioni sms ikaingia muhusika akajitambulisha anaitwa LILY (sio jina halisi) tulikutana kwenye semina hapo ndipo mawasiliano yalipoanza rasmi,

Nitajaribu kuifupisha maana sina kipaji cha uandishi,
Mimi na Lily tukawa marafiki sana, mimi nilimchukulia kama mdogo wangu (alikua chuo mwaka wa pili) huku yeye akitengeneza hisia za mapenzi kwangu licha ya kujua nipo kwenye mahusiano,

Siku moja akanipigia simu niende kwake alikua anaumwa sana, nakumbuka jioni baada ya kumaliza kazi nikanunua matunda na mazaga mengine nikaenda kumuona mdogo wangu mgonjwa, ilikua mara ya kwanza kufika kwake, alikua amepanga chumba master na jiko, alifurahi sana kuniona kila mara alisema hakuamini kama ningeenda, nakumbuka alivyoifakamia chocolate niliyomletea, anapenda sana chocolate, nilikaa kama masaa mawili nikaaga, akaniomba aoge kisha anisindikize japo nje tu, nikasema poa, alipotoka kuoga dah! hata sielewi ilikuaje nikajikuta namsaliti babe wangu 😭😭 pia nikanasa kwenye mtego mbaya sana ambao unanitesa hadi leo, just one mistake 🙌🏻.......

Mnisamehe siwezi kuandika yote hapa itakua ndefu sana itawaboa.

Itaendelea
Mhhh kumbe ww hua ni mwanaume
 
Ep 6
Wakati dokta anaendelea mi nlikua nawasoma tu ye na lily ss nasimulia ilivyokua

Baada ya yule kenge kutuma v note kwa shemeji ( anaitwa mamu dokta acha kutuficha had jina) kwanza mamu akashangaa account nyingin tena ya watsap imemtumia voice note ikabidi azisikilize sasa lily alikua ametuma vipande vile nlivyokua nasema nlikua nae kwenye mahusiano huku akiambatanish tena na picha alizonipiga pale pale kwa kificho .Mamu hakulaza dam akanitumia pale pale vitu vyote kama alivyopokea huku akiwa anahitaji maelezo kutokana na kwamb alikua akiniamini sana na haamin kama naweza kumsaliti

Baada ya kupokea zile mambo kwanza nlijuta sana kuonana na lily pili nikoana hapa nkikubali ntakua nimeisha kabisa na ntavunja kabisa uaminifu wangu kwa mamu nlichokifanya kwanza ni kukataa na kusema yule ni mgonjwa wanngu kwanza na Kama anavyojua nahudumia watu wenye changamotoa za akili lily hakuamini kirahis akaniuliza kwa hy wagonjwa wako ndo unawapa namba zangu wanitumie hivi vitu. Mamu ni mtu anajua kureson sana mambo akiangalia umbali wetu na mda tunaokaa bila kudunyuana akawa ameshajua lazima nimejiongeza nilimpa fact sana lakin akawa haelewi na anaona kama najitetea tu ( by the way mi huwa sikubali kosa hasa kuchepuka )
Mamu alionekana kuumia sana japo alikua hana ushahidi ila akaiambia niwe makini na usaliti kwakw ni mwiba .

Nilizidi kumchukia sana lily na kutamani hata kwenda kumzqba makofi nlimpigia lily simu aka pokea kwa hasira nkamuuliza sasa ndo umefanyajw we kichaa lily alicheka sana akasema nataka na wewe upate maumivu nnayoyapata nlikuambia vita ndo imeqnza rasmi huwezi kuja tu kunchezea na kuniacha ghafla lazima na huyo sem wako muachane tu mi ndo lily kichaa .Kiukweli hasira zilinipanda mpaka nkawa nawaza nkamfanyie lily mambo ya ajabu nkawaza au nkamloge kweli hilo wazo likapita basi nkampigia mganga wangu wa bagamoyo amnyooshe .Hilo wazo nkalipiga chini nkaona huyu ntadili nae ana kwa ana nkapanga plan kama tatu .


Itaendelea
Mbna sio mvumilivu mara hii Kwa waganga Tena😀😀😀
 
Back
Top Bottom