[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa wewe[emoji23][emoji23]Delila hawezi kuwa mtuhumiwa wakati alikua kazini,, kazi ya kachero yeyote kunasa magaidi, samson alikua gaidi mmoja hatari sana, akiua watu ovyo ovyo tu,
Delila alikuwa undercover agent wa serikali ya wafilisti,, kipindi hicho waisrael hawakuwa na taifa lao, na waliishi katika nchi ya caanan, chini ya utawala wa wafilisti,,
Samsoni alikuwa kafanya ugaidi wa kuchoma moto mashamba ya watu, pamoja na kufanya mauaji mengi ili ajipatie magovi kwa ajili ya kulipia mahari au betting kama sikosei
Kweli kabisa aliahidiwa kitita huyu mwanamama.Soma Waamuzi 16:5 ahadi na fedha aliyolipwa.
Hadithi hii ni nzuri sanal ila kuna watu wanaamini eti ni kweli kuna mtu alikuwa na moguvu ya kuangusha ghorofa. Hii ni haditji tuNgoja tufanye tafiti ila kuna watafiti huleta ushahidi kuwa hivyo vitu vilitokea.
Ngoja niende OP kidogo. Hivi iyo kitambaa mnawekanga hapo kwa mfuko ya suite ni ya nini?[emoji1]katika kesi hii naomba nikutane na kibatala,yeye akae kwa delila namgaragaza robo saa baada ya shauri kuanza kusikilizwa.View attachment 2040235
Samsoni hakunyolewa na Delila bali Delila amekaa kusingiziwaView attachment 2040992
Imekuwa ikienea kuwa mwanamke kwa jina la Delila ndiye alimunyoa Samsoni kitu ambacho si kweli. Wengi hufikiri kuwa Samsoni alinyolewa na Delila.
Ushahidi unaonyesha katika biblia takatifu Delila yeye alihusika katika kumdanganya Samsoni na kujua siri zilizo zificha katika Nywele zake na Delila yeye alihusika pia wakati Samsoni ananyolewa lakini Delila binafsi yeye hakumunyoa Samsoni kitu ambacho Delila amekaa kusingiziwa.
Ushahidi katika biblia ukisoma Waamuzi 16:19
Imeandikwa "Waamuzi 16:19
[19]Naye akamlaza usingizi magotini pake. Kisha akamwita mtu akavinyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake; akaanza kumsumbua, nguvu zake zikamtoka.
Hivyo ukirejea ushahidi wa biblia Samsoni alinyolewa na mtu mwingine ambaye hakutajwa na wakati huo Samsoni alikuwa magotini mwa Delila.
Bado Delila ni mtuhumiwa namba 1.
Mashtaka ya Delila:
1.Kula njama za kumnyoa Samson
2.Kumlewesha Samson kwa nia ovu ya kumnyoa nywele zake.
3.Kushiriki kumnyoa samson.
4.Kutakatisha pesa(pesa alizolipwa baada kutekeleza huu uhalifu)
5.Uhujumu uchumi
Ngoja niende OP kidogo. Hivi iyo kitambaa mnawekanga hapo kwa mfuko ya suite ni ya nini?[emoji1]
Samsoni aliingia mtegoni zaidi ya mara 3 Delila akiwa anamuandalia mazingira ya kumuweza vyema.
Mwisho wa Siku Samsoni akaisema siri yake na Delila kufanya yake.
Mtoa rushwa na mpokea rushwa wanatofauti gani? Aliye msaliti YESU na aliyetoa vipande vya pesa wote wasliti.Samsoni hakunyolewa na Delila bali Delila amekaa kusingiziwaView attachment 2040992
Imekuwa ikienea kuwa mwanamke kwa jina la Delila ndiye alimunyoa Samsoni kitu ambacho si kweli. Wengi hufikiri kuwa Samsoni alinyolewa na Delila.
Ushahidi unaonyesha katika biblia takatifu Delila yeye alihusika katika kumdanganya Samsoni na kujua siri zilizo zificha katika Nywele zake na Delila yeye alihusika pia wakati Samsoni ananyolewa lakini Delila binafsi yeye hakumunyoa Samsoni kitu ambacho Delila amekaa kusingiziwa.
Ushahidi katika biblia ukisoma Waamuzi 16:19
Imeandikwa "Waamuzi 16:19
[19]Naye akamlaza usingizi magotini pake. Kisha akamwita mtu akavinyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake; akaanza kumsumbua, nguvu zake zikamtoka.
Hivyo ukirejea ushahidi wa biblia Samsoni alinyolewa na mtu mwingine ambaye hakutajwa na wakati huo Samsoni alikuwa magotini mwa Delila.
Ila kama ni story za kutunga basi kuna watu wanajua kutunga maana walijua kuhuzunisha watu.Hadithi hii ni nzuri sanal ila kuna watu wanaamini eti ni kweli kuna mtu alikuwa na moguvu ya kuangusha ghorofa. Hii ni haditji tu
Kama za Shabani Robert ambyo imeandikwa kutukuza mfumo dume wa kiyahudi.
Tuulizane mwanamke anae kupikia chakula unawezaje kuepuja mtego wake ? Siku hizi kuna madawa ya kila aina ya asili na viwandani.
Ule chakula chake halafu uepuke mtego wake kama sio uongo ni nin?
Solution ni kutooa kama yesu ila ukiooa umejisalimisha(death tecket)
Yeye Samsoni alimwambia Delila kuwa siri ya nguvu zake ni kuwa tangu azaliwe hajawahi nyoa nywele hivyo hata walivyo mnyoa walijua hata zikiota hata kuwa na nguvu sababu atakuwa amepoteza asili yake ya kutonyoa tangu azaliwe.Uongo wa hii hadithi ni pale wamemnyoa nywele kisha wameziacha ziote apate nguvu tena.
FBI wanapopanga jambo lao huwa hawaachi nukta.Kwa mantiki hio waliomnyoa nywele walikuwa vilaza wasiojua tabia ya nywele kwamba ukizikata huwa zinachipua upya.
Hapo Samsoni alikuwa tayari kashanyolewa na pia picha hiyo ni picha ya kuchora hivyo ni ngumu kufanana na uhalisia.Sasa Hao Wazungu Kwenye Picha Mbona Ni Tofauti Na Samsoni Wa Kwenye Biblia
Samsoni Alikuwa Na Dredrock Kama inavyo jieleza Biblia Yenyewe Kwenye Huo Mstari; Waamuzi 16;19
Hakika utasema tu na mbaya zaidi aliwekwa mapajani na Chuchu zikiachwa wazi (kwa msaada wa picha) hapo ni ngumu kuchomoa.Jamaaa alikuwa Bwege sana,yaaani majaribio yote yale na Aliona dhamira mbovu ya Mwanamke yule zaidi ya mara 3 lakini akaamua kuropoka siri