Kwani sisi tulisema hiyo picha ni ya jana au juzi? Au unataka kusema 2018 Gwajima alikua hawezi kufwanya?Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Ni backup kutoka goigle photos
Mkuu inaonekana una video mingi...nitumie ya mariam birianHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Basi utasaidia polisiHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Tutakuja kusalia geto kwakoBora msalie majumbani kwenu kama mmekosa makanisa
Ishu sio ni gwajima au la au ni ya muda gani, ishu ni imevuja sasa!Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
...Wasukuma washamba sana!Huu ushamba utaisha lini?
Mkuu nimeedit tu tarehe ya hiyo videoNi backup kutoka goigle photos
1 TIM. 3:2,7 SUV
"Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu...Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi."
Kwa sifa hizi, ameshakosa sifa!
Ukiweza kutuambia uliipata wapi na kwa nanmna gani hoja yako itakuwa na nguvu! Vinginevyo hiyo ya kusema tu kuwa ulikuwa nayo kwenye simu yako na kuweka screen shot haisaidiiiNataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Ipo vile vile mkuu, cheki hapo inaonekana ni urefu ule uke wa dk 1:37, Mtu mweusi na nweupe, style ile ile, mikono ya mwanamke ipo vile vile..hakuna kilichobadilika
Acha uongo kwani wamekuambia imefanyika jana? Tumia ubongo kidogo mkuu au ndiyo kundi mlihongwa na ilimmsafishe kwenye mitandao?Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Kuna watu wengine wenye tabia hiyo. Anajirikodi halafu anakuwa anazipitia baadae na kuangalia alivyokuwa anafanya. Kinachodhihisha kuwa yule ni Gwajima ni ile clip ndogo ya kwanza. Amejimulika vizuri kabisa usoni akawa anajaribu kuset mitambo. Hlafu inasikika sauti ya mguno ya yule mwanamke. Mandhari inaoyoonekana ni ile ile ya clip ndefu!Gwajima yupo live.
Ameshasema sio yeye.
Kasema hajawahi kuona mwanaume ambaye anajirekodi then atume.
Ila kwa logic ndogo tu ukiachana na wasanii wanaotafuta kiki.
Gwajima anajirekodi kwenye simu ili apate nini?
Mimi mwenyewe sina jina na sijulikani ila siwezi kujirekodi kwenye simu.