Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Swali lako zuri sana.. Akili kubwa ndiyo zitaelewa
Hakuna akili kubwaa... Kwamba Video ya gwajima Nguvu gani imetumikaa??[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] Kwendenii hukoo... Uzinzi ni uzinzii tyu awakamate nyie msiojielewaa... Amber ruty...mariam biriani Nyuzi kibao zilianzishwaa
 
Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?

Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Maybe kuwasahaulisha watu mateso anayoyapata Mdude kwa Sasa ili ukifika wakati wamemuachia awe bubu kwa Yale yaliompata kama ROMA, MO nk
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497

Weakest defense ever

Mwenyewe kashasema ni yake alirekodiwa akiwa bado "hajaokoka"!

These motherfuckers are lame!
 
Hiyo video ingekuwa ya akajamba-nani msala ungekuwa wa kwake lakin Kwa gwajima inaonekana imetengenezwa!!!!

Kuna watu bado mnasubiri kuwaona manabii wa uwongo waliotabiriwa Kwenye Bible huku mkiwakingia kifua akina gwajima.....huyo jamaa yenu ni miongoni mwa wachungaji waongo ni tapeli tu
Huyo kajamba nani video ingefikaje kwetu
 
Wewe ndio umeedit sasa!

Kwanini hizo nyingine ziwe na mwezi pekee alafu moja tu ndio iwe na mwezi na mwaka?
 
Kwanini tu ni scandal ya ngonoo ngonoo ngoooooo inamtafuna Gwajima? Yaani mara ya ngapi sijui hii, ni scandal ya ngonooo tu, kwanini
Ngono huwaendea wenye pesa nyingi, fame and power
Hata Mfalme Suleiman alipopewa utajiri akaishia kuwa star wa ngono. Bila shaka hata mimi, nikiwa na pesa hao wakina Sanchi siwaachi, nashukuru kwa kutokuwa na pesa kwa vile ninajijua.
 
Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?

Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Sasa tatizo lako nini
 
Kwahio ikiwa ni ya 2018. Inafuta kuwa si yeye??

Inaweza hata ikawa ya 2000 na bado itabakia kuwa yake.
 
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima

Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa

View attachment 1091497
UNATAKA KUTULISHA MATANGO PORI ILI UFICHE AIBU YA MMEO
 
Back
Top Bottom