Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,311
- 1,297
Hii ndo JFKwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461
[emoji15][emoji15][emoji15] unatutia ujinga wewe!!Nawapenda sana wadada wa JF, ni wa kweli na wawazi mno hasa kwa Wapenzi wao wa JF. Akipewa mimba anasema, anakuja hapa anatutangazia, tunashangilia na kufurahi
Akipata mchumba wa JF tunafurahi. Tunawatakia kila la heri kwenye penzi lla mtandaoni.
Wakimwagana wanakuja kusema, tunafurahi na kuendeleea kuwaombea ili bibie asijejinyonga maana huwa wanamwaga povu balaa.
Hadi sasa kuna Reported Case mbili za JF Males kuwapatia UKIMWI dada zetu, hizi ni reported case huenda kuna nyingine, wadada wa humu ni wa kweli na wawazi sana
Mbona kimya??!! Jamani Kumbe na picha zake unazo? Mbona balaaa hili...humu jf kuna wanawake kibao tunajiuza kimya kimya pm tunatuma picha zetu Video clips za nyuchi zetu kwa wanaume pm... ilhali tunajua hao wanaume wana watu/ wapenzi wao ...tunaomba kumeet na wanaume wa wengine kibao tumejaa humu!!! Unameet nae kutafuta nini kama si kuwashwa??? Kwa staili hii What do you expect my dear?!!!!!!!!!!!!!!!!Soon nakuja na id yake + picha maana naona anajiachia kwenye uzi wangu wkt ni mchepuko tu
Aaah mchepuko wa baba jf, mke mwenzio yani .....pole sanaMchepuko mwingine na upo hapa unajimwambify ila babjf ndomwenye id mbili kwa sasa zilizogundulika
Na Ukute baba jf anamuhakikishia huyo mchepuko kuwa yeye ndio yeye wengine michepuko tu hahahaaa...nahivi hajamuoa mpira waweza geuka hawa ndio wanaume wa jf bana....Aaah mchepuko wa baba jf, mke mwenzio yani .....pole sana
Kabisa mkuu, huyo mwamba anamuonea sana.
unafikiri hata nguvu ya kulambana mtakuwa nayo tena.Unamlamba tu mkuu[emoji3]
kikubwa asiwe na jinsi kama yako tofauti na hapo unalamba tu kwani sura au umbo lake unataka kulifanya mapambo?Wanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
Basi niombee msamaha..sikujua km ningeeleweka vibaya. Ukwelinasema I'm sorry bn Kwa comment yangu hapo juu sikujua ningeeleweka vbyHata kama umemtambua hukutakiwa kuandika ivo
Ati nini?Mbona kimya??!! Jamani Kumbe na picha zake unazo? Mbona balaaa hili...humu jf kuna wanawake kibao tunajiuza kimya kimya pm tunatuma picha zetu Video clips za nyuchi zetu kwa wanaume pm... ilhali tunajua hao wanaume wana watu/ wapenzi wao ...tunaomba kumeet na wanaume wa wengine kibao tumejaa humu!!! Unameet nae kutafuta nini kama si kuwashwa??? Kwa staili hii What do you expect my dear?!!!!!!!!!!!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu kashaachwaMbona kimya??!! Jamani Kumbe na picha zake unazo? Mbona balaaa hili...humu jf kuna wanawake kibao tunajiuza kimya kimya pm tunatuma picha zetu Video clips za nyuchi zetu kwa wanaume pm... ilhali tunajua hao wanaume wana watu/ wapenzi wao ...tunaomba kumeet na wanaume wa wengine kibao tumejaa humu!!! Unameet nae kutafuta nini kama si kuwashwa??? Kwa staili hii What do you expect my dear?!!!!!!!!!!!!!!!!
Jamani hadi huruma na kuzalishwa keshazalishwa.... Wanawake tujifunze jamani tusishobokee wanaume kiivo..mwanzo wa mapenzi utajiona wewe ndio wewe malaika akasome ila 18 zikifika ndio haya...... Wanawake wenzangu tusikurupuke kubeba mimba jamani..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu kashaachwa
Inabidi tuwepo waokoa jahazi wa kujitolea.Kabisa mkuu, huyo mwamba anamuonea sana.
Hili somo kubwa sana mwanzo wapenzi hunoga na mapenzi ka yote Sasa wanawake huwa tunajisahau hapo na kubeba mimba Matokeo yake ni kuachwa single mom ona huyo kijana Sasa anautafta wanawake wengine awazalishe. Kikubwa ukimpata mwanaume kula raha kumubebea mimba ni kiherehere wanaume huwa hawatulizwi na watoto wala kujaliJamani hadi huruma na kuzalishwa keshazalishwa.... Wanawake tujifunze jamani tusishobokee wanaume kiivo..mwanzo wa mapenzi utajiona wewe ndio wewe malaika akasome ila 18 zikifika ndio haya...... Wanawake wenzangu tusikurupuke kubeba mimba jamani..
Asante ntamfikishia ujumbe wakoOgopa sana teknolojia.
Inaonekana ni wewe upo njia panda.
Fanya hivi,
1. Jikaze kikike uongee na mchumba wako
2. Makavu live kuhusu hiyo ID yake
3. Mpe orodha yq madem aliowapitia JF
4. Jadilini future yenu kama ndoa au doa
5. Jipe muda kabla ya kukubali ama kukataa.
6. Akiwa mbishi, karibu sana tukupunguzie machungu