Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikajua umependa ule mguu wa bia na pozzz
onlyalviraAisee una balaa ww
Nifikirie na Mimi Shogaaaa[emoji28]Ngoja nikimbie[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha ...inaachaje kupasuka mtu anatumiwa nyuchi kila leo watu wanameet eti urafiki tu ??!!! Unavumilia hadi maji yanataka kuzidi shingo mwisho unajiona taahira wa kwanza kuendelea na hayo mahusiano!!Image mtu anakwambia Jf nzima we pekee ndo pisiii kali na hakuna kama wewe baadae unagundua mpo wengi lazima roho ipasuke[emoji51][emoji51]
Ajifunze kupitia ww[emoji23][emoji23] umetulia tuliiiiKwa makavu haya... asipojifungua siku si zake sijui.... Ni hatari kwa hali aliyonayo masikini hadi Nimemuonea huruma!
😀😀😀Ndio ana haki shoga angu kulilia tango lakoKumbe nimepitwa
Dyadya jamani[emoji23][emoji23]Hili muvi la mahondaw cha mtoto[emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12] hebu niendelee kusoma nilipoishia miyeeee[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Mimi nakula pension saivi!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ajifunze kupitia ww[emoji23][emoji23] umetulia tuliiii
Abeeeeeee!!!Dyadya jamani[emoji23][emoji23]
Huyu sio shahid ni muhanga nambari wani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimekusoma shahidi nambari one hahahahahahah
Hihihihihihi.. niwacheeeee niwacheeeee.. [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]nipo tu hapa [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Huyu sio shahid ni muhanga nambari wani
Nipe pm nimepitwaNgoja nizoom kwanza zile Picha
Nuzu naomba koneksho ya picha tafwazali😎Shoga angu na wewe unapenda muonekano mzuri wa mtu mbona wa kawaidaaa sanaaaa binafsi Kidume wa disaini ile kuwa muaminifu ni asilimia ndogo sana.
😋😋Kulamba tu kwa ulimi usiongeze mautundu lol!
😂😂😂😂😂😂
Si ndio hapo sasa,kama aliweza kukupata we jf jua kuna wengine walipatikana na wataendelea kupatikana wengineAmenikwaza mpenzi, ebu imagine mpenzi umempatia jf unaanza kumchunga kana kwamba mlicheza wote komborera,
Fanya na mm nimuone[emoji23][emoji23]Shoga angu na wewe unapenda muonekano mzuri wa mtu mbona wa kawaidaaa sanaaaa binafsi Kidume wa disaini ile kuwa muaminifu ni asilimia ndogo sana.
Maisha yenyewe ndio haya haya,stress freeMimi nakula pension saivi!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]