Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dahhh ila pwani sio mbaya sana, mie nlikua Iramba ndaniii huko yani interior Imagine Singida afu bush dahhh ๐น๐น๐น nikapewa shamba nilime alizeti, nkajisemea huu mtego hapa nikilima tu nimekwishaa hapa alizeti hapa mtendaji ananioa bye bye mjiniHahahahaaHa imagine hio ni Wilaya iko mbele kushoto ya Ikwiriri, unapita daraja la mkapa, unafika eneo kuna junction panaitwa Nyamwage unapinda kulia unaacha njia ya Lindi!
Miaka Ile ilikua ni bus la Kampuni ya Tokyo Takara au uende Hadi Kibiti ukifika unaenda kupanda kivuko Ndio unafika hio Nchi!
Evelyn nakupenda bure ๐ซถ๐ฟ๐Dahhh ila pwani sio mbaya sana, mie nlikua Iramba ndaniii huko yani interior Imagine Singida afu bush dahhh ๐น๐น๐น nikapewa shamba nilime alizeti, nkajisemea hapa nikilima tu nimekwishaa hapa alizeti hapa mtendaji ananioa bye bye mjini
Uko wapiiiii ๐นEvelyn nakupenda bure ๐ซถ๐ฟ๐
Weeeee huko Utete ndio kule mauwaji ya Mkiu yalipokuaDahhh ila pwani sio mbaya sana, mie nlikua Iramba ndaniii huko yani interior Imagine Singida afu bush dahhh ๐น๐น๐น nikapewa shamba nilime alizeti, nkajisemea hapa nikilima tu nimekwishaa hapa alizeti hapa mtendaji ananioa bye bye mjini
niko Qatar napambana na mochwari wanapenda kuniweka shift ya usiku ๐Uko wapiiiii ๐น
Nakupigiaaaaa ๐นniko Qatar napambana na mochwari wanapenda kuniweka shift ya usiku ๐
Nasemea kwa mazingira walau pwani si kubaya japo tu watu wake ni wavivu hawapendi kazi.....Weeeee huko Utete ndio kule mauwaji ya Mkiu yalipokua
Hii ni hoja tajirishi, ipokelewe na ifanyiwe utekelezaji haraka sana.Ukiwa huna ajira utatamani nafasi ya huyu mwamba upewe wewe lakini kwa tuliotembea vijijini kuna maisha hata hiyo ajira haina maana yoyote.
Ifike wakati serikali iajili watu kutoka kwenye jamii husika wafanye kazi kwa moyo na mazingira ndio walikozaliwa hayawapi tabu
Ni wewe mwenyewe sio mwana .Unaogopa kujitanabaisha kazi Yako?Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?
Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.
Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya elfu 6 ndio unafika.
Soma Pia: USHAURI: Niliacha kazi Serikalini kutokana na mazingira magumu ya kazi miaka miwili imepita, baada ya mambo yangu kutengemaa nataka kurudi
Maisha popote usiogope. Kupauka ni wewe tu kama ukiwa haujui mambo ya cosmetics na misosi ya kula ukiwa katika mazingira fulani.Nasemea kwa mazingira walau pwani si kubaya japo tu watu wake ni wavivu hawapendi kazi.....
Ila huko singidani unakaa mahali pamepauka automatic nawe unapauka hata ukioga haung'ai ๐น
Sio kwa singida kuna mahali pana vyakula sio hukoMaisha popote usiogope. Kupauka ni wewe tu kama ukiwa haujui mambo ya cosmetics na misosi ya kula ukiwa katika mazingira fulani.
Weeeee baghosha,ogopaaaaaa
Lift za bodaboda ,by the way mwanamke akiwa kwenye umri wa tension yeyote yule anapita nae na ndio Huwa hivyo mwishowe.Kuna dada humu nilisikia analalamika ana bahati mbaya ya kutongozwa na wanaume below standard kumbe mchawi location.
Inasikitisha kwakweli, kuna kabinti mtaani kamepangiwa huko Kibondo Kigoma na ameshazalishwa tayari.
Halafu kinachobowa ni bora mtu wa kuanzisha naye familia lakini wengi wanazaa tu yani wanaume wanakuwa hawana future plan nao.
Mwanangu k
Mwanangu kasomea india udaktari wa moyo kafanya intership jakaya kaona wafanyakazi walivyo na roho mbaya humo jakaya na kujipendelea kaangalia mshahara kaona nayenyewe ovyo, kagoma kumalizia intership hataki kabisa anasema bora akafanye biashara yoyote ile tumebembeleza sana kagoma
Kuna shule nilienda nikakuta Walimu na wanafunzi wanavuka mto Kwa mtumbwi kuifikia shule.Huyu amenyeka, hajakutana na mazingira magumu, hapa tunaongelea vijijini, ukitaka kuangalia mpira kibanda umiza au kunywa bia nauli kwa bodaboda 20,000 kwenda na kurudi
Mwanangu k
Mwanangu kasomea india udaktari wa moyo kafanya intership jakaya kaona wafanyakazi walivyo na roho mbaya humo jakaya na kujipendelea kaangalia mshahara kaona nayenyewe ovyo, kagoma kumalizia intership hataki kabisa anasema bora akafanye biashara yoyote ile tumebembeleza sana kagoma
Ukiacha kazi au ulihonga ukahamishwa?Dahhh ila pwani sio mbaya sana, mie nlikua Iramba ndaniii huko yani interior Imagine Singida afu bush dahhh ๐น๐น๐น nikapewa shamba nilime alizeti, nkajisemea huu mtego hapa nikilima tu nimekwishaa hapa alizeti hapa mtendaji ananioa bye bye mjini
Sijawahi lelewa na Baba yangu kipumbavu na kimayai kama huyo mwanao na Wala mtoto wangu siwezi mlea kijinga hivyo.Mwanangu kasomea india udaktari wa moyo kafanya intership jakaya kaona wafanyakazi walivyo na roho mbaya humo jakaya na kujipendelea kaangalia mshahara kaona nayenyewe ovyo, kagoma kumalizia intership hataki kabisa anasema bora akafanye biashara yoyote ile tumebembeleza sana kagoma
Sikuacha kazi, nilikaa miezi nane nikaomba kuhama.....Ukiacha kazi au ulihonga ukahamishwa?
Ifike mahala Serikali iajiri watu wa mazingira husika tena wapo Wanaojitolea huko huko ambako watu wa Mjini wanasema mazingira magumu.
Ila watu mnadeka aisee,nakumbuka 2009 nilienda Kijijini kujitolea kufundisha ,unatembea km 5 Kwa mguu ndio unaikuta Barabara ambayo unaweza bahatisha bodaboda Hadi mjini,hakuna gari lakini tuliishi vizuri tuu,nyumba za Bati hakuna watu wanaishi na mifugo ndani
Halafu unaambiwa usiache KAZI......Nasemea kwa mazingira walau pwani si kubaya japo tu watu wake ni wavivu hawapendi kazi.....
Ila huko singidani unakaa mahali pamepauka automatic nawe unapauka hata ukioga haung'ai ๐น