Nigger360
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 436
- 1,065
Sawà mkuu ngoja nisome tenaa alafu ntachangiaaTiali mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawà mkuu ngoja nisome tenaa alafu ntachangiaaTiali mkuu.
Unabahati mkuu.Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆🤷♂️
Mke mwema anatoka kwa bwana MUNGU na baada yakupewa huyo mke mwema vile vile ukaambiwa uishi naye kwa AKILI japo n mke mwema aliyetoka kwa bwana MUNGU,hvyo yatupasaa tufatee tulichoelekezwaa ktk bibliaa ,japo n ngumuu coz ya mioyo yetu ilivyo wanadamuMjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."
View attachment 2126063
Mtachunguzana humo humo kwa ndoa - mambo mengine huwa hayajaribiwagi.Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."
View attachment 2126063
Shida hatukuambiwa akili zipi hizo.Mke mwema anatoka kwa bwana MUNGU na baada yakupewa huyo mke mwema vile vile ukaambiwa uishi naye kwa AKILI japo n mke mwema aliyetoka kwa bwana MUNGU,hvyo yatupasaa tufatee tulichoelekezwaa ktk bibliaa ,japo n ngumuu coz ya mioyo yetu ilivyo wanadamu
Nikweli mkuu, na bila Mungu hakika pekeyangu nisingewezaUnabahati mkuu.
Za kichwaa cha juu na c za kichwaa za chini ambazo ndio zinatupelekeshaa putaa.Shida hatukuambiwa akili zipi hizo.
Rational, irrational au zip hizo?Za kichwaa cha juu na c za kichwaa za chini ambazo ndio zinatupelekeshaa putaa.
Vipi kwa sisi ambao hatuna kazi rasmi (hatuja ajiriwa) na tunaishi kwa harakati za kuunga unga. Hii mbinu haituhusu?Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."
View attachment 2126063
Unaweza kui-shape ikaendana na mazingira yako.Vipi kwa sisi ambao hatuna kazi rasmi (hatuja ajiriwa) na tunaishi kwa harakati za kuunga unga. Hii mbinu haituhusu?
Mshukuru Mungu ulimpata aliyekupenda kiukweli,na najua hata yeye pia Sasa anakurahia Sana kwani mambo ni mswanoo.Kupata wa Kweli ni Bahati Karne hii ya sasaBinafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆🤷♂️
Kipimo sahihi ni pale unapougua mke anakukimbia.Hicho sicho kipimo sahihi, we timiza wajibu wako wa kuhudumia familia, usisubirie upendo. Mwanaume ni kama catapila tengeneza barabara lakini utoitumia
Moyo wa mtu msitu na KILA mmoja anatafsiri yakeKipimo sahihi ni pale unapougua mke anakukimbia.
Ndugu mjumbe huyo mkeo ni rare species au tuseme ni endangered species.Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆🤷♂️
Sio kweliKila mwanaume akitumia hiyo trick then all the marriages zitavunjika[emoji23]
Kama ambavyo wanaume wengi ni womanizers c ndio?Ndoa zote zitavunjika. Wanawake wa afrika 99% ndoa kwao wanachukulia ni ajira rasmi na ndio maana wanafuatilia sana kuhusu kipato kama msingi wa kuolewa. Wakipata kazi na kipato huwa hawaoni umuhimu wa ndoa.
Ndo maana Vijana wengi wameamua kuwa watazamaji tu hawataki kuingia katika kiapo cha ndoa maana wanajua mabinti hawapo serious na commitment ya mahusiano ya ndoa.