Ushauri bora kwa wanaume waliooa/wanaotaka kuoa namna ya kumjua mkeo

Ushauri bora kwa wanaume waliooa/wanaotaka kuoa namna ya kumjua mkeo

Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆‍🤷‍♂️
 
Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆‍🤷‍♂️
Unabahati mkuu.
 
Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."

View attachment 2126063
Mke mwema anatoka kwa bwana MUNGU na baada yakupewa huyo mke mwema vile vile ukaambiwa uishi naye kwa AKILI japo n mke mwema aliyetoka kwa bwana MUNGU,hvyo yatupasaa tufatee tulichoelekezwaa ktk bibliaa ,japo n ngumuu coz ya mioyo yetu ilivyo wanadamu
 
Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."

View attachment 2126063
Mtachunguzana humo humo kwa ndoa - mambo mengine huwa hayajaribiwagi.
 
Mke mwema anatoka kwa bwana MUNGU na baada yakupewa huyo mke mwema vile vile ukaambiwa uishi naye kwa AKILI japo n mke mwema aliyetoka kwa bwana MUNGU,hvyo yatupasaa tufatee tulichoelekezwaa ktk bibliaa ,japo n ngumuu coz ya mioyo yetu ilivyo wanadamu
Shida hatukuambiwa akili zipi hizo.
 
Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."

View attachment 2126063
Vipi kwa sisi ambao hatuna kazi rasmi (hatuja ajiriwa) na tunaishi kwa harakati za kuunga unga. Hii mbinu haituhusu?
 
Hicho sicho kipimo sahihi, we timiza wajibu wako wa kuhudumia familia, usisubirie upendo. Mwanaume ni kama catapila tengeneza barabara lakini utoitumia
 
Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆‍🤷‍♂️
Mshukuru Mungu ulimpata aliyekupenda kiukweli,na najua hata yeye pia Sasa anakurahia Sana kwani mambo ni mswanoo.Kupata wa Kweli ni Bahati Karne hii ya sasa
 
Muhimu kuishi kulingana na wakati bila kutegemea kukamilishwa na mwingine, yeye akupende asikupende isiathiri majukumu yako
 
Hicho sicho kipimo sahihi, we timiza wajibu wako wa kuhudumia familia, usisubirie upendo. Mwanaume ni kama catapila tengeneza barabara lakini utoitumia
Kipimo sahihi ni pale unapougua mke anakukimbia.
 
Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆‍🤷‍♂️
Ndugu mjumbe huyo mkeo ni rare species au tuseme ni endangered species.

Inabidi awekewe ulinzi na serikali kama ule wa faru Fausta.
 
Ndoa zote zitavunjika. Wanawake wa afrika 99% ndoa kwao wanachukulia ni ajira rasmi na ndio maana wanafuatilia sana kuhusu kipato kama msingi wa kuolewa. Wakipata kazi na kipato huwa hawaoni umuhimu wa ndoa.

Ndo maana Vijana wengi wameamua kuwa watazamaji tu hawataki kuingia katika kiapo cha ndoa maana wanajua mabinti hawapo serious na commitment ya mahusiano ya ndoa.
Kama ambavyo wanaume wengi ni womanizers c ndio?
 
wanawake tumeumbiwa sisi WANAUME.... so ni kuamua.....get in and lost...or lost bfr you get in.....
 
Back
Top Bottom