Ushauri bora kwa wanaume waliooa/wanaotaka kuoa namna ya kumjua mkeo

Ushauri bora kwa wanaume waliooa/wanaotaka kuoa namna ya kumjua mkeo

Ndugu mjumbe huyo mkeo ni rare species au tuseme ni endangered species.

Inabidi awekewe ulinzi na serikali kama ule wa faru Fausta.
Mh mjumbe, haya mambo yanawezekana sana ujue. Na wapo wanawake wazuri na wenye upendo wa dhati kabisa tena wanye utii kwa waumezao
 
Mke mwema anapimwa kwa heshima na utii kwa mumewe swala la upendo hawakuumbwa nalo hawa wenzetu. Ukitaka kuamini hilo angalia mama zetu kuwasema baba zetu ni kawaida sana,

Tambua hakuna mwanamke anayeweza kumuhudumia mwanaume kwa hali na mali maisha yake yote bila masimango, sababu ni moja tu wao wanahesabu kila wema wakitegemea kupata kitu in return, hii iko tofauti kwa mwanaume.

Wanaume tukiwapenda wake zetu na kuishi nao kwa akili hakika watatuheshimu na kututii. Hapo watazidisha mapenzi ambayo ukitafsiri utahisi ni upendo.
 
Mh mjumbe, haya mambo yanawezekana sana ujue. Na wapo wanawake wazuri na wenye upendo wa dhati kabisa tena wanye utii kwa waumezao
Ni kweli ndugu mjumbe lakini sasa upatikanaji wao ndio adimu mjumbe. Unajua ndugu mjumbe kupata specimen moja katika sample ya 1000 ni kazi sana. Utapembua mpaka utachoka bado hujaipata ile moja yenye kufaa.
 
Hamna na mwanamke mwenye ndoto za kuolewa na maskini

Money can't buy happiness but poverty can't buy anything
 
Yaani uoe halafu ndio umpime, si utakufua kwa kihoro.. Ununue simu Kariakoo uwende kuifungulia chumbani kwako.. Mche wa soap [emoji23][emoji1787]
 
Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."

View attachment 2126063
====================
Tafsiri
Wapendwa Wanaume,
Chukua likizo yako ya siku 21 kutoka kazini, Nenda nyumbani mwambie mkeo kwamba umepoteza kazi, eleza zaidi kwamba kulikuwa na hasara na inabidi utumie akiba yako kutatua, tumia siku 14 zijazo kuchunguza jinsi unavyotendewa na utagungundua mkeo ni mtu wa aina gani.
Jamaa yangu aliwai fanya hivyo siku 3 mbele mke akasema anaenda kusalimia kwao.
Mi sijaoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutakuwa hakuna jipya maana hata maandiko yanasema tutakula kwa jasho nao watazaa Kwa uchungu. Sasa ukafanye kwenye utafiti ambao matokeo yanajulikana?
 
Mjue mkeo.

Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja.. "Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi, Kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.

Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya. Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue ni aina gani ya mke uliyeoa."

====================
Tafsiri

Wapendwa Wanaume,

Chukua likizo yako ya siku 21 kutoka kazini, Nenda nyumbani mwambie mkeo kwamba umepoteza kazi, eleza zaidi kwamba kulikuwa na hasara na inabidi utumie akiba yako kutatua, tumia siku 14 zijazo kuchunguza jinsi unavyotendewa na utagungundua mkeo ni mtu wa aina gani.

Kwani huyo bibi ulimpata ulivyopata kazi?
 
Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆‍🤷‍♂️
Ana mdogo wake ambaye yuko single nifanye utaratibu?

Sometimes kuna tabia za kiasili za ukoo ambazo watoto wanazirithi
 
Back
Top Bottom