nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,814
- 4,781
asili ya uumbaji.....Kama ambavyo wanaume wengi ni womanizers c ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asili ya uumbaji.....Kama ambavyo wanaume wengi ni womanizers c ndio?
asili ya uumbaji.....
Mh mjumbe, haya mambo yanawezekana sana ujue. Na wapo wanawake wazuri na wenye upendo wa dhati kabisa tena wanye utii kwa waumezaoNdugu mjumbe huyo mkeo ni rare species au tuseme ni endangered species.
Inabidi awekewe ulinzi na serikali kama ule wa faru Fausta.
Amen....🙏Mshukuru Mungu ulimpata aliyekupenda kiukweli,na najua hata yeye pia Sasa anakurahia Sana kwani mambo ni mswanoo.Kupata wa Kweli ni Bahati Karne hii ya sasa
factMen are biologically and genetically more agresive than women,, but we don't see ya walking around pickin up fights with everyone unaemuona??
Ni kweli ndugu mjumbe lakini sasa upatikanaji wao ndio adimu mjumbe. Unajua ndugu mjumbe kupata specimen moja katika sample ya 1000 ni kazi sana. Utapembua mpaka utachoka bado hujaipata ile moja yenye kufaa.Mh mjumbe, haya mambo yanawezekana sana ujue. Na wapo wanawake wazuri na wenye upendo wa dhati kabisa tena wanye utii kwa waumezao
Sio kila kitu ambacho ni hard wired as the result of evolution lazima ukifanye,,, so even if unaona ni hali ya kawaida kuwa na 100 ladies,,, na unaweza kuwapata,, sio lazima kuwa naofact
Jamaa yangu aliwai fanya hivyo siku 3 mbele mke akasema anaenda kusalimia kwao.Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja..
"Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi,
kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya.
Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue
ni aina gani ya mke uliyeoa."
View attachment 2126063
====================
Tafsiri
Wapendwa Wanaume,
Chukua likizo yako ya siku 21 kutoka kazini, Nenda nyumbani mwambie mkeo kwamba umepoteza kazi, eleza zaidi kwamba kulikuwa na hasara na inabidi utumie akiba yako kutatua, tumia siku 14 zijazo kuchunguza jinsi unavyotendewa na utagungundua mkeo ni mtu wa aina gani.
matter of choice.....Sio kila kitu ambacho ni hard wired as the result of evolution lazima ukifanye,,, so even if unaona ni hali ya kawaida kuwa na 100 ladies,,, na unaweza kuwapata,, sio lazima kuwa nao
Choices doesn't validate wrong behaviors,,,matter of choice.....
your choice, my choice.....thats it....Choices doesn't validate wrong behaviors,,,
I can't pull ya off from your choices,, because we live and die with the choice we've made,,, but that doesn't change the fact some choices are shittyyour choice, my choice.....thats it....
Mjue mkeo.
Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja.. "Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi, Kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo.
Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya. Jaribu kukaa hom siku hizo 14, angalia namna atakavyo kuwa anaku-treat ugundue ni aina gani ya mke uliyeoa."
====================
Tafsiri
Wapendwa Wanaume,
Chukua likizo yako ya siku 21 kutoka kazini, Nenda nyumbani mwambie mkeo kwamba umepoteza kazi, eleza zaidi kwamba kulikuwa na hasara na inabidi utumie akiba yako kutatua, tumia siku 14 zijazo kuchunguza jinsi unavyotendewa na utagungundua mkeo ni mtu wa aina gani.
Ana mdogo wake ambaye yuko single nifanye utaratibu?Binafsi niliwahi kukosa ajira na nikakaa home mwaka mzima, na kila kitu kilikua sawa na nilikua nina sauti kama mume na bado mke akipata mshahara ananipa taarifa kisha mimi ndie napanga kilakitu kama kawaida na bar nilikua naenda kama kawaida tu.
Binafsi sidhani kama mwanamke mwenye upendo wa dhati anaweza akaweka fedha mbele kama kipaumbele.
Labda sijui wenzangu nyie hua mnakutana wapi na wanawake wa ainahiyo...🙆🤷♂️
whatever.....ishi your life.....I can't pull ya off from your choices,, because we live and die with the choice we've made,,, but that doesn't change the fact some choices are shitty
Aliyepost ni mwanamke....Kwani huyo bibi ulimpata ulivyopata kazi?