Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Kosa la huyo jamaa ni kurudi saa12, ratiba ya kurudi home kwa mwanaume haipo fixed. Ila kusaidiana kazi ni kitu kizuri, kinaleta bond na kuhamasisha mapenzi. Muhimu ni kupangiana, tusupangiwe coz hata wao vipato vyao hatuwapangii.
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Alooh...kuna watu wanafaidi kwenye ndoa
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Wacha niscreenshot hii
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Inategemea ntu na ntu kuna wengine kimoja chali na kukoroma juu, watafute house maid
 
Huwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.

Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.

Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaolewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa chochote.
Wewe umeolewa
 
Huwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.

Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.

Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaolewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa chochote.
Halafu sasa wanaongea kana kwamba ni kazi za kufanya siku mbili au tatu kwa week wakati ni lifetime responsibility wajiulize wakati wanakaa geto au kwao ni mara ngapi wamepiga deki, kufua, kupika au kuosha vyombo. Kujua kitu kuwa ni rahisi au kigumu ni wewe binafsi ukifanye ila sio kutamka kuwa ni rahisi wakati hukifanyi na hutaki kukifanya. There's no award for suffer wanaija wanasema.
 
Back
Top Bottom