Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika kwenye daftari usisahauAnachelewa sasa ntasahau maneno yako kungwi 😹
Alooh...kuna watu wanafaidi kwenye ndoaMi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Mwandiko unadindisha??¿ PoleUmenidindisha Vibaya Mnoo😋😋😋
Eeeeeeh.... Ndoa tamu na Kama umeoa inogeshe iwe tamu, Kama Bado unapitwa yaliyomo ndani ya ndoa ni matamu sanaAlooh...kuna watu wanafaidi kwenye ndoa
Wacha niscreenshot hiiMi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Inategemea ntu na ntu kuna wengine kimoja chali na kukoroma juu, watafute house maidMi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Chukua hiyo ukiongezea vyako inakuwa pambeWacha niscreenshot hii
Kwa style hiii mtu mbona atakufulia hadi kyupi😂Chukua hiyo ukiongezea vyako inakuwa pambe
Yaliyomo Kwenye Huo Mwandiko Ndio Sababu Ya Mimi KudindaMwandiko unadindisha??¿ Pole
Haina haja ya house maid hapo ndoa Bado Sana hiyoInategemea ntu na ntu kuna wengine kimoja chali na kukoroma juu, watafute house maid
Hapo itakua ni full kubebishana sana huku kazi zinaendaKwa style hiii mtu mbona atakufulia hadi kyupi😂
Wewe umeolewaHuwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.
Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.
Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaolewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa chochote.
Ee ndiwo,Hapo itakua no full kubebishana sana huku kazi zinaenda
Hata sijuiWewe umeolewa
Ndo maana!Hata sijui
Ni kweliNdo maana!
Halafu sasa wanaongea kana kwamba ni kazi za kufanya siku mbili au tatu kwa week wakati ni lifetime responsibility wajiulize wakati wanakaa geto au kwao ni mara ngapi wamepiga deki, kufua, kupika au kuosha vyombo. Kujua kitu kuwa ni rahisi au kigumu ni wewe binafsi ukifanye ila sio kutamka kuwa ni rahisi wakati hukifanyi na hutaki kukifanya. There's no award for suffer wanaija wanasema.Huwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.
Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.
Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaolewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa chochote.