USHAURI: Familia ya Hayati Magufuli iende Mahakamani kudai fidia ya picha iliyotumika katika kava kukitangaza kitabu cha 'I Am The State'

USHAURI: Familia ya Hayati Magufuli iende Mahakamani kudai fidia ya picha iliyotumika katika kava kukitangaza kitabu cha 'I Am The State'

Naomba uelewe mambo yafuatayo: rais Ni taasisi inalindwa kisheria ,inaruhusiwa kumkosoa rais akiwa madalakani lakini linapofika suala la tuhuma linamuhusu mtu binafsi ambaye ni mtu anayeongoza taasisi ya urais.

Sasa ikitokea mtu anafanyia biashara picha yako Kwenye kitabu kinachozungumzia mabaya yako TU, basi Pato la kitabu hicho linakuhusu wewe au familia yako,tuhuma zile haziwezi jibiwa Kwa kuwa aliyetuhumiwa ni mtu hivyo ingekuwa busara kueleza au kukifanya kitabu kionekane ni Mali ya umma Kwa kuulezea Kwa ujumla utawala wa magufuli katika Pande zote.

Kwangu Mimi wale wanachuki binafsi na lengo Lao Ni kutaka kutajilika na kupata sifa zisizowastaili Kwa kuupondea utawala uliopendwa na walio wengi.

Naomba ufafanuzi wa neno "Madalakani" maana umenichanganya
 
Tukumbuke chapati haichomwi upande mmoja maana hao waandishi uchwara wameandika upande mmoja ila watu wengine wanajua ukweli upo wapi na wamekaa kimya kuna wakati ukifika hao waandishi uchwara watachoma chapati upande wa pili
 

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimejisikia kukucheka bure. Yaani bado unaangaika na Mwendakuzimu??
 
Legancy = Legacy. Hivi kwanini watetezi wa mwendazake huwa hamna akili na elimu zenu duni?
 
Hao washamba hamna anayehangaika nao kwanza mauzo ya hicho kitabu yanedoda sana
Ila katika hali ya kawaida nani mwenye akili timamu anaweza nunua kitabu chenye picha ya yule mtu tofauti na mazuzu bao hawana pesa pia
 
Loh! na waliotunga kitabu wanaangaika Kwa lengo gani wakati hawezi kuwajibu.
Hao wanasema ukweli juu yake ila wewe uko unalia lia tu kama yatima. Ok nikuulize swali moja dogo tu, je ni nani mtu anayejielewa aliwahi kumkubali huyo mtu?
 
Legancy = Legacy. Hivi kwanini watetezi wa mwendazake huwa hamna akili na elimu zenu duni?
Sidhani kama unaelewa kuwa Kuna tofauti ya uelewa wa ufanyaji Wa mambo ndio maana chombo cha habari kina mtu anaitwa mhariri.

Darasani Kuna wanafunzi wanajua kuandika vizuri Ila hawaelewi wanachoandika ,wapo wanaojua kuongea Ila hawajui kuandika pia wapo wanaojua kunakili kuliko kuandaa wenyewe .

hivyo suala la kukosea neno Ni
Jambo la kawaida sana Kwa mtu yeyote muelewa hawezi kushangaa Ila wajinga na waliokalilishwa mambo hawaamini katika Hilo.

Wenye uelewa wanapenda vitendo kuliko maneno ndio maana JPM aliamini katika matokeo na vitendo kuliko maneno kama tupo kwenye mchakato hata kwenye mambo madogo bado unaitaji ufadhili na wataalamu kutoka nje ya nchi.
 
Hao wanasema ukweli juu yake ila wewe uko unalia lia tu kama yatima. Ok nikuulize swali moja dogo tu, je ni nani mtu anayejielewa aliwahi kumkubali huyo mtu?
Nini maana ya kujielewa ili nikujibi swali lako, Kwa maana kujielewa kunategemeana na mazingira. Kwa mfano: Kuna mtu kama pro:lyeitama Ni muelewa wa masuala ya teaching comedy lakini kwenye masuala ya utulivu na unadhifu yupo zero sasa niambie kwenye lipi.
 
Azidi kupumzika kwa amani.
Tuendelee kuvumila mazuri na mabaya yake yakiwekwa wazi , itachukua muda kidogo kupotea kwenye fikra za watu wengi iwe kwa wema ama ubaya. Ni kwa sababu ni kiongozi wa kipekee kuwahi kuwa kwenye nchi yetu, athari zake zitaendelea kuwa gumzo pengine itagharimu kizazi.

Kwangu mimi alikuwa kiongozi bora sana kwa nyakati zetu hizi na pengine zijazo.
Huyu mbwa hawezi kupumzika kwa amani kamwe . Magufuli alinajisi Ikulu yetu kwa kumwaga damu za wasio na hatia, kunyang'anya fedha za wafanya biashara, kuiba fedha za umma (Tsh 1 5 Trillion as per CAG report) na kuiba uchaguzi wote wa S/Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020.

Ataendelea kuungua na moto wa jehanam milele
 

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Washitakiwe kabisa, huu ni utapeli wa hali ya juu.
 
Sidhani kama unaelewa kuwa Kuna tofauti ya uelewa wa ufanyaji Wa mambo ndio maana chombo cha habari kina mtu anaitwa mhariri.

Darasani Kuna wanafunzi wanajua kuandika vizuri Ila hawaelewi wanachoandika ,wapo wanaojua kuongea Ila hawajui kuandika pia wapo wanaojua kunakili kuliko kuandaa wenyewe .

hivyo suala la kukosea neno Ni
Jambo la kawaida sana Kwa mtu yeyote muelewa hawezi kushangaa Ila wajinga na waliokalilishwa mambo hawaamini katika Hilo.

Wenye uelewa wanapenda vitendo kuliko maneno ndio maana JPM aliamini katika matokeo na vitendo kuliko maneno kama tupo kwenye mchakato hata kwenye mambo madogo bado unaitaji ufadhili na wataalamu kutoka nje ya nchi.
Wewe mtetezi wa mwendazake acha upumbavu. Unatetea hata ushuzi ulioandika badala ya kurekebisha. Hujui kuna maneno ya kiingereza ukikosea tu kidogo linaleta maana tofauti kabisa? Kwa mfano Knight & night au Wright & right..... hebu edit haraka sana huo ushuzi ulioandika.
 

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
JPM anavuna alichopanda. Angekuwa rais mzuri watu wasingeandika mabaya juu yake kwa kiasi hicho. Hilo ni fundisho nawe mleta mada acha udikteta, hatupo kwenye enzi za JPM acha watu watoe maoni yao katika nchi huru.
 

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Acha ushamba. Kwani jiwe ana legacy gani?
 

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Na uwakumbushe kuyadai magazeti na majarida yote yaliyowahi kutumia picha au maneno aliyowahi kuyatumia.Mtunza "regase"!
 
Back
Top Bottom