Ukiona mtu anaomba ushauri ujue sio mtu wa magari.Nimekuekewa vizuri boss
Nili pendekeza hiyo huenda jamaa yake ana gari ingine ya kazi pia.. Kwenye bandiko kasema jamaa yake anataka "gari nzuri" sio gari ya kazi π π π angesema anataka gari ya kazi nisingependekeza hiyo
Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
Alafu hapo unakuta umetoka kuzozana na Wapangaji wenzako ulipe 5000 ya umeme.Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"π
Vipi lile lako unaliuza kwa bei gani nije nitoe nuks ndugu yanguπ€£π€£π€£π€£Mkuu mtafute
Isanga family hutojuta
Vipi lile lako unaliuza kwa bei gani nije nitoe nuks ndugu yanguπ€£π€£π€£π€£Mkuu mtafute
Isanga family hutojuta
Nimeungana na wewe kutafakari mkuu. "Why am i even on earth?? Ila ndio maisha one day utaomba ushauri pia gari gani ukanunue IJN.Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
Nakazia apaNyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
Hapana ndugu wewe ni wathamani kuliko hilo gariNyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"π
Duh haya maisha kuna watu wanayapatia[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pole rafiki ,ila yote maisha wanasemagaNyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
Msukuma Gari ya chini haithamini hata siku 1,hata uje na Benz s-500 coupe yeye atasema yule jamaa alikuja na Taxi.Huyo msukuma tunaweza kumuuzia hata corola kwa million 60 tunachofanya tunaivalisha sticker za Lamborghini alaf inayobaki tunagawana unaonaje hilo wazo?
Kuna hiyo stage yaani kinachopatikana ni cha siku hiyo hiyo ,ππ yaani unakua huna utofauti na mbwa, "ridhiki ya mbwa ipo miguuni mwake"Alafu hapo unakuta umetoka kuzozana na Wapangaji wenzako ulipe 5000 ya umeme.
Mil 60 haitoshiachukue harrier new modelView attachment 2436282