Wakuu, salama?
Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60.
Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri.
Vile mimi sio mtaalamu wa hayo mambo nikaona niombe ushauri humu kwa niaba yake.
Gari anayotaka ni ya kutembelea.
Shukrani sana.
Bwana Yesu mtoto wa Mungu mwenye kila kitu mbinguni na dunia aliishi dunia miaka 33 bila gari, Baba yake ana kila kitu, wewe wasiwasi wako ni nini hasa? Si tumeambia hapa duniani tunapita? Wewe kula vizuri hili ndo la muhimu ongea na watu vizuri๐๐Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"๐
Msukuma hata kiatu tu hathamini saana hivi vya chini ndo maana hawaelewagi kwa nini utakuwa wapo prouuud sana kuvaa magumboots mjini. Kumbe hadi magari!!Msukuma Gari ya chini haithamini hata siku 1,hata uje na Benz s-500 coupe yeye atasema yule jamaa alikuja na Taxi.
Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"๐๐ค๐ค
HahahhhaNyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"๐
Ila ipo njia na namna tunaweza fanya nasi tukafanikiwa zaidi ya hayoUmesema vyema.
Kuna siku nilipita sehemu nikaona vijana waki spend nikasema kumbe inatakiwa niwe napita sana haya maeneo ili kuona ni kiasi gani I am missing out...aisee kuna watu wapo ktk njia ya pesa anyway ni life
Anunue Hilux Vigo ya kuagiza JapanWakuu, salama?
Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60.
Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri.
Vile mimi sio mtaalamu wa hayo mambo nikaona niombe ushauri humu kwa niaba yake.
Gari anayotaka ni ya kutembelea.
Shukrani sana.
Uongo, ni uongo.... Hilux Vigo zenye injini ya D4D niMkuu umeishangaa sana post yangu nilipokwambia umnunulie Depal nikiimanisha gari yakike?
Zingatia mnunuzi ni mtu wa migodini rough road, porini utashaurije anunue gari luxury kama hiyo?
Hiyo ni gari ya mujini.
Wanaume tunanunua gari multi- purpose...utembelee porinini, matopeni, milimani na hata mjini.
Zingatia hili.
Ukiona mwanaume anataka gari lenye low fuel consumption pia ujue ni mtu asiye na maono sahihi.
Low fuel consumption kwa upande mwingine ni gari dhaifu huwezi itumia sehemu zote..eg matopeni, rough road, milimani nk.
Mtu wa migodini mshauri abebe L.C na wanyama wengine.
We umecomment as if kasema Ana pesa ambayo hana kazi nayoNimekuekewa vizuri boss
Nili pendekeza hiyo huenda jamaa yake ana gari ingine ya kazi pia.. Kwenye bandiko kasema jamaa yake anataka "gari nzuri" sio gari ya kazi ๐ ๐ ๐ angesema anataka gari ya kazi nisingependekeza hiyo
Hujui Magari kakaMkuu umeishangaa sana post yangu nilipokwambia umnunulie Depal nikiimanisha gari yakike?
Zingatia mnunuzi ni mtu wa migodini rough road, porini utashaurije anunue gari luxury kama hiyo?
Hiyo ni gari ya mujini.
Wanaume tunanunua gari multi- purpose...utembelee porinini, matopeni, milimani na hata mjini.
Zingatia hili.
Ukiona mwanaume anataka gari lenye low fuel consumption pia ujue ni mtu asiye na maono sahihi.
Low fuel consumption kwa upande mwingine ni gari dhaifu huwezi itumia sehemu zote..eg matopeni, rough road, milimani nk.
Mtu wa migodini mshauri abebe L.C na wanyama wengine.
Sibishanagi na watoto wa mama.Hujui Magari kaka
You are not uselessNyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
Sasa mbona unajieleza sana๐Sibishanagi na watoto wa mama.
Ninachozungumza huwezi elewa kama unashindia lami kutwa.
Nazungumza na wanaume wachakarikaji...
Porini, mashambani na sehemu zenye miundombinu duni
Ili uweze kuelewaSasa mbona unajieleza sana๐
Nimekuelewa, hapo kwenye low fuel consumption ndo umechemka kakaIli uweze kuelewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bwana Yesu mtoto wa Mungu mwenye kila kitu mbinguni na dunia aliishi dunia miaka 33 bila gari, Baba yake ana kila kitu, wewe wasiwasi wako ni nini hasa? Si tumeambia hapa duniani tunapita? Wewe kula vizuri hili ndo la muhimu ongea na watu vizuri[emoji4][emoji16]
Ukikua utanielewa.Nimekuelewa, hapo kwenye low fuel consumption ndo umechemka kaka