Uchaguzi 2020 Ushauri: Gwajima asiposhinda uchaguzi huu astaafu siasa, amefanyiwa kampeni kubwa sana na Dr Magufuli

Uchaguzi 2020 Ushauri: Gwajima asiposhinda uchaguzi huu astaafu siasa, amefanyiwa kampeni kubwa sana na Dr Magufuli

Kiukweli pamoja na kwamba namkubali sana JPM, lakini kitendo cha kumteua tu Gwajima agombee ubunge kimenifikirisha, kimesinikitisha na kunishangaza sana

Gwajima hafai kushika wadhifa wowote ule ktk hii mihimili mitatu ya nchi.

Ni MDINI, MKABILA na TAPELI anaetumia kichaka cha uaskofu kufichia uovu wake

Magufuli umetushangaza sana kututeulia mtu wa kariba hii eti ndio aende bungeni,,,, ni aibu kituko kituko kituko

Ni mara mía ungemteua yule mamá aliyeshika nafasi ya pili kura za maoni hata kama alikuwa ana kashifa ya ufisadi, afadhali ya ufisadi wake kuliko mtu mwenye UKABILA, MDINI, na TAPELI
 
Tatizo ni kwamba idadi kubwa ya wapiga kura wa kawe ni watu wanaojitambua na wanakazi zao, siyo kama ushwahilini ambako mmejazana majobles kama ninyi
Halima Mdee huwa anapata kura nyingi kule Cha simba, maandazi road na pale Tegeta kwa ndevu!

Gwajima ameshadhibiti maeneo hayo!
 
Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.
Nikifurahi sana alivyompigia debe Halima kuhusu miradi ya Maendeleo jimbo la Kawe! Maji kama yote sasa unataka Halima asemeje? Saa 3:30 asubuhi biashara itakuwa imekwisha!
 
Niwe mkweli Gwajima ni mgombea pekee wa CCM " aliyebahatika" kufanyiwa kampeni na Dr Magufuli karibu katika kila kata ya jimbo la Kawe.

Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.

Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.

Maendeleo hayana vyama!
Kampeni yenyewe ndio hiiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANATAKA GWAJIMA AINGIE BUNGENI KWA UDI NA UVUMBA KWAKUA YEYE NDIO KIONGOZI WA KUNDI LINALOJIITA LA KUMLINDA MAGUFULI ..AMBALO HATA USALAMA WANAJUA ...KUNDI HILI LITAKUJA KUZAA KUNDI LA WAASI SIKU MAGUFULI AKIONDOKA MADARAKANI NA IKATOKEA KUWA ATAKAYEINGIA ATAKUWA SIO MTU WAO ....JAPO LENGO LA MKAKATI WAO LA KWANZA NI KUHAKIKISHA WANA MOBILIZE BUNGENI ILI AONGEZEWE MUDA WA KUKAA MADARAKANI

GWAJIMA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
Comment reserved.
 
NI AIBU SANA KUWA HUYU MTUHUMIWA WA JESHI LA MSITUNI ...NDIO MAGUFULI ANATOKWA NA MISHIPA KUMPIGIA KAMPENI KULIKO MTU YEYOTE YULE .....KAMA SIO DALILI YA NIA OVU NI NINI .....TISS MNAMUACHAJE MTU KAMA HUYU?

Dalili za kushindwa hizi, angalia kurusha mateke bila utaratibu usije kujidhuru mwenyewe kwa nguvu, juhudi, maarifa na akili zako.
 
Niwe mkweli Gwajima ni mgombea pekee wa CCM " aliyebahatika" kufanyiwa kampeni na Dr Magufuli karibu katika kila kata ya jimbo la Kawe.

Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.

Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.

Maendeleo hayana vyama!
Hii itakuwa sawa na uonevu , amepigiwa kampeni na mtu asiye na ushawishi wowote kwenye jamii , Amepigiwa kampeni na Magufuli ambaye wananchi wanamchukia sana kwa sababu ya kuleta umasikini wa kutisha nchini .
 
Hii itakuwa sawa na uonevu , amepigiwa kampeni na mtu asiye na ushawishi wowote kwenye jamii , Amepigiwa kampeni na Magufuli ambaye wananchi wanamchukia sana kwa sababu ya kuleta umasikini wa kutisha nchini .
Umeshapanic bwashee!
 
Nmemkumbuka mbunge bilionea wa kawe adamjee
Ngj tuishie hapa

Ova
 
Niwe mkweli Gwajima ni mgombea pekee wa CCM " aliyebahatika" kufanyiwa kampeni na Dr Magufuli karibu katika kila kata ya jimbo la Kawe.

Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.

Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.

Maendeleo hayana vyama!
Msukuma mwenzake asubirie tu atamteua endapo watz watarudia kosa Tena October,
Gwajiboy atakiwi hata na wanyama.
 
Niwe mkweli Gwajima ni mgombea pekee wa CCM " aliyebahatika" kufanyiwa kampeni na Dr Magufuli karibu katika kila kata ya jimbo la Kawe.

Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.

Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.

Maendeleo hayana vyama!
simaind siasa wl nn
 
Hahaha nani ataliamsha dude kule kanisani kwake?!

Gwajima alipaswa akagombee KOROMIJE jimbo letu hatutaki washamba wakisukuma.
 
Back
Top Bottom