Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Dah, CCM mna masnitch wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lord denning nimekumbuka habari ya petro
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sanaaa
BUSH BIN LADEN watu washaanza kukimbiana hapo
Hapana. Niko sawa kabisa. Kwenye mapambano ya kupigania kweli na haki mambo kama haya hayana budi kutokea. Uzuri I’m too matured and well equipped with exposure to be stressed by this.Sawaa mkuu
ila imekua mpole gafla kaka
Tunapokuwa tunasema kuwa hakuna Upinzani Tanzania bali kuna Wanafiki tu muwe mnatuelewa. Usije Kushangaa hata huyo Lissu akaenda CCM.Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.
Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Endelea kuamini unavyoamini na watu genuine tusiokuwa na unafiki wala tusiojali matumbo yetu tutaendelea kupambana kwa njia zote halali ili tupate matokeo chanya kwa mustakabali wa Tanzania bora ya kweliSerikali ni pana sana mkuu
Hawatackle problems kama unavyofikiria wewe
Hawaplan Mambo kama unavyoplan wewe
Wanajua nini wanafanya
Swala la ICC sio la kimzobe zobe tuu
Uwongo mtupu, walijadiliana na kukubaliana juzi, jana Mnyika kupeleka barua na wote kuondoka kuelekea Dodoma.Habari wakuu,
Kutokana na Duru za siasa zinavyoendelea nchini Tanzania, Hasa kwa upande wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Huenda Wabunge wa Viti Maalum kutoka Chadema Ambao Wameenda Bungeni Dodoma leo kwa ajili ya kuapishwa kuwa Wabunge wa Viti maalum, WAKAFUKUZWA ndani ya chama.
Hili Ni nalisema kwamba huenda isifike 2024 Viongozi wakuu wa Chama wakafanya maamuzi magumu. Na Hili linaweza Kuwapa credentials CHADEMA lkn kusiwe na faida ktk suala la ruzuku. Yaan itapungua kuliko wangekuwepo hawa kina Mdee na Wenzake.
Kwani nimesema limekufa??Kwa iyo unaamini kina Mdee kuapa kuwa wabunge ndo suala la Icc limekufa??? Utasubiri sana!!
Wewe ni ndugu yake "Ni yeye"
Umeona siasa zilivyo mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku umenikandia Sana humu..
Leo chadema ona wanavyowaumiza.
Hoja ya kijinga. Unajua kusoma na kuandika lakini hujui kufikiri.Kuwafukuza wabunge ambao wameshaahidiwa kulindwa na sipika kwa chama kilekile cha upinzani hata bila kujali kuwa chama husika kimewafuta uwanachama ni kupoteza muda bure.
Hoja ni kwamba je kama mgombea wa upinzani Tundulissu angeshinda katika nafasi ya urais halafu wabunge wa chama chake wote wakashindwa kwa kudhulumiwa kama ilivyofanyika angesusia kuwa rais kwa kuwa wabunge wa CHADEMA wote wamedhulumiwa ushindi?.
Nyuma ya keyboard na ukuta mkubwa wa ID fakewatu genuine tusiokuwa na unafiki wala tusiojali matumbo yetu tutaendelea kupambana
CHAMA CHA SACCOS KILE KINA NJAA MKUU WALIKUWA WANAKULA RUZUKU KWA IDADI YA WABUNGE WANGEGOMA MNS HATA RUZUKU INGEKUWA HISTORIA NDIOMAANA SPIKA MJANJA KATOA DEADLINE ANGALIA WANAVYOAIBIKA KATIBU AMESAIN NA BARUA KWENDA BUNGENI HAKUNA MB AMEAPA BILA KUPOLELEWA BARUA YAKE JIULIZE WASANII HAWANimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.
Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Kaka ICC! We mtoto mkorofi sana😀Embu toa ufafanuzi kaka ICC
Mkuu i appreciate passion yako ya opposition...Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”
Hahahajajajaaaaaa umeonaampwaaa washenziwaleeeTunapokuwa tunasema kuwa hakuna Upinzani Tanzania bali kuna Wanafiki tu muwe mnatuelewa. Usije Kushangaa hata huyo Lissu akaenda CCM.
Watu genuine tusiokuwa na unafiki wala tusiojali matumbo yetu tutaendelea kupambana kwa njia zote halali ili tupate matokeo chanya kwa mustakabali wa Tanzania bora ya kweli
Jamaa sijui ana undugu naye[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Lord denning ni mfuasi mtiifu wa Tundu yule kibaraka wa amstadam