USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

Sawa kaka ICC
Kila la heri
Wewe na kaka yako"ni yeye" pamoja na mjomba wenu Amsterdam mtatupa mrejesho.
Usisahau kunitag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawasawa!! Inshallah tutakutana humu
 
Sawasawa!! Inshallah tutakutana humu
Endeleeni kupambana kama ulivyokuwa ukimpambania Ni yeye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mlikuja kasi kweli,bahati mbaya hata barabarani hujaingia na wakati ulisema utawasaidia kuwawakilisha wanaosua kuingia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe bwana hebu acha kubwabwaja ujinga huku ukiwa mtaani huna unalolijua, kwa taarifa yako tu ni kwamba kina Halima wamefanya jambo kwa baraka zote kutoka kwa uongozi ndio maana mnaona Dj yupo kimya tu hajatia neno, Mnyika anatumika tu kama gia ya kuzidi kuwaingiza chaka nyie MAJUHA wazee wa AISISII [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawasawa wakati ni jibu
 
Chama kina wenyewe
Hawa kina Lord nani hata kadi hawana,ila wapo kupingana na wenye chama
 
Umeenda mbali kote huko? Sema tu Mbowe, Lema au Sugu..mmojawapo angeshinda tu!! Saivi waala isingejadiliwa
 

Hiyo ndiyo itakuwa political suicide ya chama chenu!

Kila kitu kina msimu wake. Kuna msimu wa kufanya ngonjera na kuna msimu wa kuishi real life. Msimu wa kina Halima kuishi real life umefika. Hawa makamanda wanaujua ukweli wa anguko lao na ndiyo maana wameamua kuanza kuishi real life!
 
Watz wenyewe tumelala usingizi wa pono. Hatujui hata umuhimu wa demokrasia na utawala wa sheria, sasa kwanini akina dada wahangaike kupigania watu wasiojielewa.?!
 
Kumbe Tanzania bara upinzani bado sana, mtu kama Halima mdee anakosa utu kwa vijisent vya bungeni, alifika kuvunjwa mkono leo anageukia upande ule ule. Kuna haja gani kuhangaisha wananchi wengine mpaka wanauliwa kw sababu ya chama leo simply unageuka na kuwa nyoka kwa sababu ya hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…