mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Piga mimba za fasta fasta utakuja kunishukuru. Unakaa na mwanamke miezi miwili na zaidi na bado hashiki mimba si anamuona wewe poyoyo na hujielewi na mwendelezo nae ndo maana anakufanyia hivo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue mkuu nimwamini ,nisimwamini, hazirudi mi nilichoamua ni kutompa hela atunze badala yake nimtunze yeye tu!vipi mkuu wewe umemuamini?
Sasa si umpe tu game kwani game na hayo mambo mbona havihusianiCha ajabu nipo zangu huku JF bado ananiomba game km hamna kilichotokea
Pomoja sana mkuu!
anhaa kumbe ushafanya maamuzi, vizuri. Sasa ushauri unaoomba ni upi?Ujue mkuu nimwamini ,nisimwamini, hazirudi mi nilichoamua ni kutompa hela atunze badala yake nimtunze yeye tu!
Mkuu nikiwa out of mud stimu huwa inakata mkuu wengine tunapata hela kwa kusota kidogo!Sasa si umpe tu game kwani game na hayo mambo mbona havihusiani
Popoma wahedi. Kwani mkeo ni benki? Fungua akaunti benki, tunza mipesa yako huko.Heshima kwenu wana jamvi! Niende moja kwa moja kwenye mada husika,
Niliweka utaratibu kuwa kila siku nikirudi kazini nampa 10000 mwanamke wangu ambaye naishi nae na nilimkuta ana mtoto, mdogo wa kiume mwenye kama miaka minne hivi na tunaishi wote watatu,hiyo hela haitumiwi hadi mwisho wa mwezi ambayo inakuwa 300k
Cha ajabu mwezi wa kwanza tunapiga hesabu nakuta 240k namuuliza ananiambia pacha wake alimwazima akampa,kumbuka hapo hakunishirikisha,nikakausha japo haikurudi, mwezi unaofuata katikati nikiwa kazini ananipigia simu na kuniambia sujui kuna chuma ulete humu ndani maana sioni jela na kuna 20tu sikumjibu kitu nimerudi nyumbani, na kuoga, kula na kuingia kitandani alipokuja na kuanzisha ule mjadala nikamwambia kuanzia kesho sitakupa hela yeyote utunze zaidi y kukupa hela ya kula,kusuka na Ziad, maana kiweka hela wewe naona huwezi,
Cha ajabu nipo zangu huku JF bado ananiomba game km hamna kilichotokea, tuna miezi nae mitatu tangu tuanze kuishi wote, hela ya kula huwa naacha tena ya wiki, kusuka,sijui wi fi vyote najali je wakuu mbele yetu mnaionaje?
Naombeni ushauri bila matusi,kebehi, tupo hapa kujifunza na kuelimishana! Karibuni wakuu;
Mkuu soma vizuri nilichoandika hadi mwisho utaona nachoombea nishauriwe!anhaa kumbe ushafanya maamuzi, vizuri. Sasa ushauri unaoomba ni upi?
Yani kila siku una uwezo wa kupata 10k na zaidi alaf unasema unapata hela kwa kusotaMkuu nikiwa out of mud stimu huwa inakata mkuu wengine tunapata hela kwa kusota kidogo!
HeheheWe hujui kutunza hadi atunze yeye?
Mkuu acc ya benki nayo, ata kwenye simu nna acc hizo niliamua awe anatunza nyumbani tuPopoma wahedi. Kwani mkeo ni benki? Fungua akaunti benki, tunza mipesa yako huko.
Tunaiona kwa machowakuu mbele yetu mnaionaje?
Mkuu unaweza kuwa kila siku unaingiza 50000 na ikawa ni kwa msoto au unapata kirahisi lkn majukumu ni mengi apo ikipungua hata 1000 bila sbb ya msingi utaumiaYani kila siku una uwezo wa kupata 10k na zaidi alaf unasema unapata hela kwa kusota
Maybe........
Kamchakate mkuu wacha kuringa tena kaiomba mwenyewe, kama umshasamehe mambo ya hela.Mkuu soma vizuri nilichoandika hadi mwisho utaona nachoombea nishauriwe!
Stop joks mkuuTunaiona kwa macho
Kwani nyi wenyewe mnaionaje
Ok my niggaStop joks mkuu
Pole Mkuu nasubir feedback ya Aziz Ki nitajumuisha na yakoHeshima kwenu wana jamvi! Niende moja kwa moja kwenye mada husika,
Niliweka utaratibu kuwa kila siku nikirudi kazini nampa 10000 mwanamke wangu ambaye naishi nae na nilimkuta ana mtoto, mdogo wa kiume mwenye kama miaka minne hivi na tunaishi wote watatu,hiyo hela haitumiwi hadi mwisho wa mwezi ambayo inakuwa 300k
Cha ajabu mwezi wa kwanza tunapiga hesabu nakuta 240k namuuliza ananiambia pacha wake alimwazima akampa,kumbuka hapo hakunishirikisha,nikakausha japo haikurudi, mwezi unaofuata katikati nikiwa kazini ananipigia simu na kuniambia sujui kuna chuma ulete humu ndani maana sioni jela na kuna 20tu sikumjibu kitu nimerudi nyumbani, na kuoga, kula na kuingia kitandani alipokuja na kuanzisha ule mjadala nikamwambia kuanzia kesho sitakupa hela yeyote utunze zaidi y kukupa hela ya kula,kusuka na Ziad, maana kiweka hela wewe naona huwezi,
Cha ajabu nipo zangu huku JF bado ananiomba game km hamna kilichotokea, tuna miezi nae mitatu tangu tuanze kuishi wote, hela ya kula huwa naacha tena ya wiki, kusuka,sijui wi fi vyote najali je wakuu mbele yetu mnaionaje?
Naombeni ushauri bila matusi,kebehi, tupo hapa kujifunza na kuelimishana! Karibuni wakuu;
Engo ipi labda sio hela?Laki tatu sio hela mkuu