jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Siyo kigezo cha kuoa Single mother wasichana wamejaa Tele.Mi pia ni single father mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kigezo cha kuoa Single mother wasichana wamejaa Tele.Mi pia ni single father mkuu
Sasa mkuu ulitaka akununie wakati yeye yupo kimaslai kwako ili mtoto wale apate maisha bora, Mwanamke anaweza kukuonyesha ana furaha usoni na moyoni hana furaha.Nimesoma maelezo yanasema, "nipo Jf huku bado ananiomba game, Kama vile hakijatokea kitu"
Naomba kueleweshwa.
Hili neno la bogus ndo limenimaliza kwa kicheko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unaoa mwanamke singo maza umemkosea nini kijana? Umelaaniwa au umerogwa..?
Nyie vijana wa sikuhizi tumieni akili ndogo hata ya kuvukia barabara... Mwanamke kama huyo hakufai hata kuwa mchepuko... Huyo anakutumia tu baada ya muda atakupiga tukio utatamani ufe na utaiona dunia chungu... Huna mwanamke hapo, huyo ni bogus.
Kwa mahesabu haya ata dukani kutakuwa na chuma ulete 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ni bora akagawe mtaji kanisani tuMfungulie duka
Mh hii ngumu kumeza mkuu!Kwa mahesabu haya ata dukani kutakuwa na chuma ulete 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ni bora akagawe mtaji kanisani tu
Huyo dada hakufai mkuu bora ukatuze hela Mkoba au mpawq mwenyewe tuMh hii ngumu kumeza mkuu!
🤣🤣🤭Mwezi wa 3 ametunza 20k