Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!Pole Mkuu nasubir feedback ya Aziz Ki nitajumuisha na yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!Pole Mkuu nasubir feedback ya Aziz Ki nitajumuisha na yako
Aziz k anazidi kutrend tu, naona mmeamua kumpaisha!Pole Mkuu nasubir feedback ya Aziz Ki nitajumuisha na yako
Asante kwa ushauri mkuuHana malengo na wewe huyo,piga chini🙌
Mbona hata na wewe utatrend tu na huyo mke wakoAziz k anazidi kutrend tu, naona mmeamua kumpaisha!
Ah sijajua mi na aziz tunafananaje kwenye huu uziMbona hata na wewe utatrend tu na huyo mke wako
Mi pia ni single father mkuuKwa single mother amna cha kukushauri zaidi ya kukupa pole
Mkuu acc ya benki nayo, ata kwenye simu nna acc hizo niliamua awe anatunza nyumbani tu
Kwa hiyo unaamini ngedere anaweza kukuchungia shamba lako la mahindi?Mkuu acc ya benki nayo, ata kwenye simu nna acc hizo niliamua awe anatunza nyumbani tu
Eti wanasema na Aziz atakuwa anampa mkewe hela atunze halafu mwisho wa siku akimuuliza zipo wapi...................................Ah sijajua mi na aziz tunafananaje kwenye huu uzi
Wewe hamana mtu wa duka hapo. Jama atakufa kwa pressure.Mfungulie duka
Mh mkuu yangu yananishinda ntaweza ya aziz?Eti wanasema na Aziz atakuwa anampa mkewe hela atunze halafu mwisho wa siku akimuuliza zipo wapi...................................
Sio kwa ubaya mie naomba namba ya huyo pacha wake plzMkuu yani mwezi wa kwanza Badala ya kukuta 300k akawa na 240k na mwezi uliofuata katikati ananiambia ana 20k zingine hazioni na alitakiwa kuwa na 150k eti anadhani kuna chuma ulete japo ile ya kwanza alisema pacha wake alimwazima maana ana pacha wake wa kike! Na japo alimpa bila kuniashirikisha
🤝Wewe hamana mtu wa duka hapo. Jama atakufa kwa pressure.
Kwani mbona siku hizi mna malalamiko ya aina mbalimbali kuhusu wake zenu.Mh mkuu yangu yananishinda ntaweza ya aziz?
Nicheki pm ntakutumia mkuu at your own risk lkn!Sio kwa ubaya mie naomba namba ya huyo pacha wake plz
HeheheSio kwa ubaya mie naomba namba ya huyo pacha wake plz
Akaliwe hela zake na yeyeNicheki pm ntakutumia mkuu at your own risk lkn!
Naona lusifa amekazia kipande hiyoKwani mbona siku hizi mna malalamiko ya aina mbalimbali kuhusu wake zenu.
Malalamiko yamekuwa mengi mnoooooooooooooooooo!!!
Mzabzab eti nikunyime ili iweje?Akaliwe hela zake na yeye