Ushauri: Hela ninazompa atunze zinakuwa pungufu bila maelezo ya kujitosheleza, nini kimejificha?

Piga mimba za fasta fasta utakuja kunishukuru. Unakaa na mwanamke miezi miwili na zaidi na bado hashiki mimba si anamuona wewe poyoyo na hujielewi na mwendelezo nae ndo maana anakufanyia hivo.
 
Popoma wahedi. Kwani mkeo ni benki? Fungua akaunti benki, tunza mipesa yako huko.
 
Popoma wahedi. Kwani mkeo ni benki? Fungua akaunti benki, tunza mipesa yako huko.
Mkuu acc ya benki nayo, ata kwenye simu nna acc hizo niliamua awe anatunza nyumbani tu
 
Yani kila siku una uwezo wa kupata 10k na zaidi alaf unasema unapata hela kwa kusota
Maybe........
Mkuu unaweza kuwa kila siku unaingiza 50000 na ikawa ni kwa msoto au unapata kirahisi lkn majukumu ni mengi apo ikipungua hata 1000 bila sbb ya msingi utaumia
 
Pole Mkuu nasubir feedback ya Aziz Ki nitajumuisha na yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…