Ushauri: Hela ninazompa atunze zinakuwa pungufu bila maelezo ya kujitosheleza, nini kimejificha?

Sawa mkuu asante kwa ushauri!
 
We kula mbususu hiyo.acha kudhira..yani mbususu ilivyo tamu unaidhiria?
 
Kwahio unamaanisha
Mwezi wa 1 alitunza 300k yote
Mwezi wa 2 alitunza 240k
Mwezi wa 3 ametunza 20k

Duh! Na vidume tunajitutumua + mahitaji yote unampa + show unapiga kibabe + ulimkuta ana mtoto.
Hebu mkuu soma uzi wa Robert mtibeli wanaume misukule
Nimesoma maelezo yanasema, "nipo Jf huku bado ananiomba game, Kama vile hakijatokea kitu"

Naomba kueleweshwa.
 
Head current kama unampa basi umwambie hiyo hela ni kwa ajili ya nini.
Sijaoa ila familia nyingi pesa ya dharula kuna mahali huwa inawekwa (cash) kwa likitokea jambo na wewe haupo basi itumike hiyo.

Na hiyo ni tofauti na ile unampa mke kwa ajili ya matumizi yake binafsi maana sio kila kitu akuombe na hii ni kwa wale "mama wa nyumbani."

Kikubwa tu unapompa umwambie ni ya nini, kama umempa iwe ya dharula zake basi hata hiyo ya pacha wake kwake ni dharula.
Just kua muwazi, mkeo hawezi kusoma akilini mwako unataka nini mpaka umwambie.
 
🤝🙏
 
Mkuu bahati nzuri nami ni single father kwaiyo ngoma droo japo bado hatujaoana bado japo umetumia maneno makali chief
Duniani popote hakuna mwanaume singo faza... Mwanaume ni mwanaume hajipambanui kwa majukumu kwasababu ni sehemu ya maisha yake...
Ukishakuwa mwanaume rijali hata kama una watoto 10 ila ni marufuku kuoa au kuishi na mwanamke singo maza... Kuoa singo maza ni sawa na kufuga Nzi ukiamini atakuja kuwa Nyuki akupe asali...
 
Yaani uliamua KABISA kuishi na single mother????

HONGERA kwa kutafuta kifo chako mwenyewe.
ENDELEA KUJIUA!!
 
Asante kwa mtazamo wako!
 
Kaka ushauri tu, usiishi na mwanamke ambae hujamuoa. Kama unampenda sali kwa Molah wako kama anafaa uwe nae maisha. Mwanamke ambae hujamuoa hakuonei huruma mali wala pesa zako.
1. Pesa tunza mwenyewe siku hizi kuna hadi mwekeza unampaje mwanamke akutunzie unatafuta tu ugomvi wanawake wana matumizi mengi mno
2. Fungua account ya pamoja weka fedha matumizi ya nyumba huko kama
Mshahara wako ni laki 9 matumizi weka humo hata laki 3 na mwambie mahitaji yako, mama ni kila weekend nataka supu na pilau jpili, hii fedha ni matumizi ya nyumba kama ni umeme, maji chakula
Mtajua nyie . Ila mwanamke ataetimiza hi ni mke sijui kuhusu mtu hamna agano kama atafuatilia kikamilifu
3. Mpe fedha za kujikimu atleast weekly wanawake wana mambo mengi..
4. Mfungulie biashara hata ndogo, iwe inamuingizia pesa ata kidogo kwa
Mwezi kama ni frem imlipe kodi, hio fedha mwambie unahitaji kiasi flani tu kwa mwezi nyingine yake, atapambana
5. Kuwa na mazoea na kujadiliana masuala ya fedha kila mwezi,
 
Huna akili c
 
Asnt kwa ushauri mkuu!
 
Wanaume Misukule ndo hii, ivi nyie wanawake wanawaendeshaje kijinga hivyo? Mm hiyo 60k ya mwanzo tu ningempa jibu ambalo siku ya pili yake angerudi kuniambia "pacha wangu kairudisha mume wangu"

Anyway, wakati naendelea kuandika kwa bahati mbaya jicho limeona neno single mother, imebidi niache kuandika. Nitarudi kusoma nyuzi za matukio makubwa zaidi ya hayo
 
Kweli mkuu Mavijana ya sikuhizi majonga sijui hayajui kutogoza na kuchagua, Yani Mimi nioe Singl mother ni vigumu ninao wengi tu lakini kuoa sijawahi kuwaza, yani Mzee wangu mwenyewe alio wake wawaili na wote hawakua Single mother mimi nitakua mjinga kiasi gani Baba yangu anizidi kuchagua mke, na sikuhizi mabinti wengi sana, kwanza mimi kuchanganyanyiwa Watoto wa koo nyingine sipendi, Baba mmoja watoto wengi na siyo watoto wengi Baba wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…