Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
- Thread starter
-
- #61
Sawa mkuu asante kwa ushauri!Unataka kuoa mtu mwenye akili na mawazo kama yako!! Yeye alikwambia yuko vizuri kwenye kutunza pesa, alisema uwe unampa pesa atunze? Au ni mawazo yako ila unataka doer awe mkeo??
Ndio yaleyale ya kumfungulia duka ambalo lipo akilini mwako na sio akilini mwake, mwisho akizingua unamuona kilaza wakati wewe ndie unalazimisha afit kwenye mawazo yako ambayo hawezi kuyamudu ama la sio vitu vyake.
Take it as her weakness, hawezi kutunza pesa na sio kila mtu anaweza.
😡😡😡😡😡We kula mbususu hiyo.acha kudhira..yani mbususu ilivyo tamu unaidhiria?
Karibu.Sawa mkuu asante kwa ushauri!
HeheheNaona lusifa amekazia kipande hiyo
Nimesoma maelezo yanasema, "nipo Jf huku bado ananiomba game, Kama vile hakijatokea kitu"Kwahio unamaanisha
Mwezi wa 1 alitunza 300k yote
Mwezi wa 2 alitunza 240k
Mwezi wa 3 ametunza 20k
Duh! Na vidume tunajitutumua + mahitaji yote unampa + show unapiga kibabe + ulimkuta ana mtoto.
Hebu mkuu soma uzi wa Robert mtibeli wanaume misukule
Kipi hujaelewa hapo chief?Nimesoma maelezo yanasema, "nipo Jf huku bado ananiomba game, Kama vile hakijatokea kitu"
Naomba kueleweshwa.
Upo Jf unaomba ushauri ufanyeje, halaf mda huo huo mke wako anakuomba mchezo? Mkuu swali hujalielewa?Kipi hujaelewa hapo chief?
🤝🙏Head current kama unampa basi umwambie hiyo hela ni kwa ajili ya nini.
Sijaoa ila familia nyingi pesa ya dharula kuna mahali huwa inawekwa (cash) kwa likitokea jambo na wewe haupo basi itumike hiyo.
Na hiyo ni tofauti na ile unampa mke kwa ajili ya matumizi yake binafsi maana sio kila kitu akuombe na hii ni kwa wale "mama wa nyumbani."
Kikubwa tu unapompa umwambie ni ya nini, kama umempa iwe ya dharula zake basi hata hiyo ya pacha wake kwake ni dharula.
Just kua muwazi, mkeo hawezi kusoma akilini mwako unataka nini mpaka umwambie.
Duniani popote hakuna mwanaume singo faza... Mwanaume ni mwanaume hajipambanui kwa majukumu kwasababu ni sehemu ya maisha yake...Mkuu bahati nzuri nami ni single father kwaiyo ngoma droo japo bado hatujaoana bado japo umetumia maneno makali chief
Yaani uliamua KABISA kuishi na single mother????Heshima kwenu wana jamvi! Niende moja kwa moja kwenye mada husika,
Niliweka utaratibu kuwa kila siku nikirudi kazini nampa 10000 mwanamke wangu ambaye naishi nae na nilimkuta ana mtoto, mdogo wa kiume mwenye kama miaka minne hivi na tunaishi wote watatu,hiyo hela haitumiwi hadi mwisho wa mwezi ambayo inakuwa 300k
Cha ajabu mwezi wa kwanza tunapiga hesabu nakuta 240k namuuliza ananiambia pacha wake alimwazima akampa,kumbuka hapo hakunishirikisha,nikakausha japo haikurudi, mwezi unaofuata katikati nikiwa kazini ananipigia simu na kuniambia sujui kuna chuma ulete humu ndani maana sioni jela na kuna 20tu sikumjibu kitu nimerudi nyumbani, na kuoga, kula na kuingia kitandani alipokuja na kuanzisha ule mjadala nikamwambia kuanzia kesho sitakupa hela yeyote utunze zaidi y kukupa hela ya kula,kusuka na Ziad, maana kiweka hela wewe naona huwezi,
Cha ajabu nipo zangu huku JF bado ananiomba game km hamna kilichotokea, tuna miezi nae mitatu tangu tuanze kuishi wote, hela ya kula huwa naacha tena ya wiki, kusuka,sijui wi fi vyote najali je wakuu mbele yetu mnaionaje?
Naombeni ushauri bila matusi,kebehi, tupo hapa kujifunza na kuelimishana! Karibuni.
Asante kwa mtazamo wako!Duniani popote hakuna mwanaume singo faza... Mwanaume ni mwanaume hajipambanui kwa majukumu kwasababu ni sehemu ya maisha yake...
Ukishakuwa mwanaume rijali hata kama una watoto 10 ila ni marufuku kuoa au kuishi na mwanamke singo maza... Kuoa singo maza ni sawa na kufuga Nzi ukiamini atakuja kuwa Nyuki akupe asali...
Huna akili cHeshima kwenu wana jamvi! Niende moja kwa moja kwenye mada husika,
Niliweka utaratibu kuwa kila siku nikirudi kazini nampa 10000 mwanamke wangu ambaye naishi nae na nilimkuta ana mtoto, mdogo wa kiume mwenye kama miaka minne hivi na tunaishi wote watatu,hiyo hela haitumiwi hadi mwisho wa mwezi ambayo inakuwa 300k
Cha ajabu mwezi wa kwanza tunapiga hesabu nakuta 240k namuuliza ananiambia pacha wake alimwazima akampa,kumbuka hapo hakunishirikisha,nikakausha japo haikurudi, mwezi unaofuata katikati nikiwa kazini ananipigia simu na kuniambia sujui kuna chuma ulete humu ndani maana sioni jela na kuna 20tu sikumjibu kitu nimerudi nyumbani, na kuoga, kula na kuingia kitandani alipokuja na kuanzisha ule mjadala nikamwambia kuanzia kesho sitakupa hela yeyote utunze zaidi y kukupa hela ya kula,usuka na Ziad, maana kiweka hela wewe naona huwezi,
Cha ajabu nipo zangu huku JF bado ananiomba game km hamna kilichotokea, tuna miezi nae mitatu tangu tuanze kuishi wote, hela ya kula huwa naacha tena ya wiki, kusuka,sijui wi fi vyote najali je wakuu mbele yetu mnaionaje?
Naombeni ushauri bila matusi,kebehi, tupo hapa kujifunza na kuelimishana! Karibuni wakuu;
sawa asante kwa ku comment!Yaani uliamua KABISA kuishi na single mother????
HONGERA kwa kutafuta kifo chako mwenyewe.
ENDELEA KUJIUA!!
Nashukuru mkuu!Huna akili c
Asnt kwa ushauri mkuu!Kaka ushauri tu, usiishi na mwanamke ambae hujamuoa. Kama unampenda sali kwa Molah wako kama anafaa uwe nae maisha. Mwanamke ambae hujamuoa hakuonei huruma mali wala pesa zako.
1. Pesa tunza mwenyewe siku hizi kuna hadi mwekeza unampaje mwanamke akutunzie unatafuta tu ugomvi wanawake wana matumizi mengi mno
2. Fungua account ya pamoja weka fedha matumizi ya nyumba huko kama
Mshahara wako ni laki 9 matumizi weka humo hata laki 3 na mwambie mahitaji yako, mama ni kila weekend nataka supu na pilau jpili, hii fedha ni matumizi ya nyumba kama ni umeme, maji chakula
Mtajua nyie . Ila mwanamke ataetimiza hi ni mke sijui kuhusu mtu hamna agano kama atafuatilia kikamilifu
3. Mpe fedha za kujikimu atleast weekly wanawake wana mambo mengi..
4. Mfungulie biashara hata ndogo, iwe inamuingizia pesa ata kidogo kwa
Mwezi kama ni frem imlipe kodi, hio fedha mwambie unahitaji kiasi flani tu kwa mwezi nyingine yake, atapambana
5. Kuwa na mazoea na kujadiliana masuala ya fedha kila mwezi,
Kweli mkuu Mavijana ya sikuhizi majonga sijui hayajui kutogoza na kuchagua, Yani Mimi nioe Singl mother ni vigumu ninao wengi tu lakini kuoa sijawahi kuwaza, yani Mzee wangu mwenyewe alio wake wawaili na wote hawakua Single mother mimi nitakua mjinga kiasi gani Baba yangu anizidi kuchagua mke, na sikuhizi mabinti wengi sana, kwanza mimi kuchanganyanyiwa Watoto wa koo nyingine sipendi, Baba mmoja watoto wengi na siyo watoto wengi Baba wengi.Unaoa mwanamke singo maza umemkosea nini kijana? Umelaaniwa au umerogwa..?
Nyie vijana wa sikuhizi tumieni akili ndogo hata ya kuvukia barabara... Mwanamke kama huyo hakufai hata kuwa mchepuko... Huyo anakutumia tu baada ya muda atakupiga tukio utatamani ufe na utaiona dunia chungu... Huna mwanamke hapo, huyo ni bogus.