Ushauri: Hela ninazompa atunze zinakuwa pungufu bila maelezo ya kujitosheleza, nini kimejificha?

Nimesoma maelezo yanasema, "nipo Jf huku bado ananiomba game, Kama vile hakijatokea kitu"

Naomba kueleweshwa.
Sasa mkuu ulitaka akununie wakati yeye yupo kimaslai kwako ili mtoto wale apate maisha bora, Mwanamke anaweza kukuonyesha ana furaha usoni na moyoni hana furaha.
 
Hili neno la bogus ndo limenimaliza kwa kicheko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umemuoa au sogea tuishi?
Atakuwa ana msupport mzazi mwenzake. Alafu unaoaje single mama ambae mzazi mwenzake yupo hai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…