USHAURI:Kama namna naweza kuzuia na hali hii

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ila wewe
 
Hali ni tete sana inahitaji msaada wa haraka sana fanya wepesi utatue tatizo kwanzaaa mtapendana ado ado mbelee kwa mbelee πŸ˜‚!
Hapo nishakusoma, hebu mpange awe wifi hata kwa weekend moja tu. Kupendana tutajifunza mbele ya safari hukoo,πŸ˜€πŸ˜€
 
Wee babu mjukuu wako ana nyegg huyuuu hebu Fanya wepesi Muokoe na hasira ndogondogo na makasiriko yasiyo na ulazima mtafutie chumaa haraka iwezekanavyoo babuuπŸ˜‚πŸ˜‚!
Mnanisimanga mgonjwa Sijapenda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hayo makasiriko kununa nuna kusiko na tija sio akili yako mdogo unahitaji msaada wa harakaaa sana!! 😁🀭
Nyie sio wazimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nacheka kama chiz huku yaani mmeniweza balaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe bado ni mke wa mtu. Ulijiozesha lakini mlipotengana hukuachika. Ndo maana hao mawifi zako wanakuona hivyo wanabyokuona. Fanya mchakato wa kuachika ili uwe huru, vinginevyo kubali kuwa mtumwa wa hisia za ukweni.
 
Wee babu mjukuu wako ana nyegg huyuuu hebu Fanya wepesi Muokoe na hasira ndogondogo na makasiriko yasiyo na ulazima mtafutie chumaa haraka iwezekanavyoo babuuπŸ˜‚πŸ˜‚!
Kumbe hasira zinasababishwa na nyege, kuna mbinu aliwahi kuitumia Bibi yenu wakati nilipokwenda Kupigana miaka miwili Vita ya Uganda, ile mbinu huwa inasaidia sana kuondoa Hasira za nyege.

Isingekuwa kuna Vijana wadogo hapa ningeisema wazi, ila hopefully akiongea na Bibi yake atamuweka wazi πŸ™ˆπŸ€ͺ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ya kutumia ugoroπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…