USHAURI:Kama namna naweza kuzuia na hali hii

USHAURI:Kama namna naweza kuzuia na hali hii

Aaliyyah

Mental healthcare is all you need for now🧕

Sorry for your Parents disapproval..Jiweke sawa mentally uweze kumpa room Mwanaume mwingine..Inauma sana lakin Jitahidi kumsahau na Samehe Wazazi wako 🧕🤝

I know it sucks..but this is the truth..It wouldn't be valid as per religion..Usiolewe na asiekua wa Imani yako..What religion will you raise your children in ?

You sound like a good daughter who genuinely cares for your family..they're lucky to have you.. Your intentions seem quite noble..but take a breath utampata alie sahihi na bora kwako🤗


Being in love is one thing.. but staying in love is a whole other.. Before anyone even thinks about marriage.. there are few things that they should always discuss with their intended partner:-

1 - Make sure that you are fully and willingly committed to one another

2 - When/how many kids you and your partner want.. Is adoption an option? Is either one of you infertile?

3 - Levels of religiosity..Dini/Imani kipengele kikubwa cha kuzingatia

4 - Anger management issues/Psycho /Bipolar (Do one or both of you struggle)?

Are you in therapy for it or do you lash out at others? Ili ata ukiolewa na Mheshimiwa design Mh@litutumbwe unajua how to managed him 🤣🤣🤣👋

5 - Energy..Does it match? You have to gauge this..Follow your gut instinct 🧕

IMPORTANTLY..LOVE is not what keeps a relationship going..An active commitment to love..despite the downfalls and hardships is what keeps it going..You need to look past the king-queen-happily-ever-after dynamic to know if you're going to make it

NOTE: The pain of marrying the wrong person is worse than your present fear 😧 😧 😧

Wish you luck Sisy🙏🍀 🍀 🍀
Thank you sis
Maranying tukipenda Huwa hatujiuliz sana lkn nakumbuka wakat ananiaproach niliwahi kugusia hili akasema hakunashida sio tatizo na nilikuwa mdogo pia nafikir sikuweza kulielewa ugumuwake
 
Mtafute wa mwanzo mwambie muhame mji mkaanze kwingine maisha!!

Msomi unapangiwa mwenzi awe wa dini gani!!?

Ulisoma kozi gani!!? psychology inasema dhahiri kua kukomaa ni KUONA jambo katika nyuso tatu tofauti!!

Mtafute mpenzi wako mwambie mwende mkazae huko na kuishi mkijitegemea pekee yenu!

Chukua sheria mkononi acha uoga maisha ni YAKO sio ya baba wala Mama!!wala NDUGU!!

Umenisikia!!!?!!??

Ndoa zipo HADI za serikali kama Dini ni tofauti!!!

Mimi ni me!!fuata nilichokuambia kabla jamaa hajaoa
Ni ngumu sana japo hawez kukataa😀 lakini niliamua kukaa nae sababu kwanza ya ajali aloipata japo njua Ilikuwa mipango ya Mungu lakini nilishaonekana Mimi ndio tatizo
Pili tulishaamua tusiwe pamoja nami Nina mahusiano pia Kwa Sasa nafikir nae anayo japo hajaoa Bado rasmi
Upendo umeisha simfikirii kama.zamani nitamsumbua tu siwez tena
 
Ni ngumu sana japo hawez kukataa😀 lakini niliamua kukaa nae sababu kwanza ya ajali aloipata japo njua Ilikuwa mipango ya Mungu lakini nilishaonekana Mimi ndio tatizo
Pili tulishaamua tusiwe pamoja nami Nina mahusiano pia Kwa Sasa nafikir nae anayo japo hajaoa Bado rasmi
Upendo umeisha simfikirii kama.zamani nitamsumbua tu siwez tena
Ulikosea sana kuruhusu kuamliwa hatma ya mahusiano yako!!

Wewe ulipaswa kukomaa na kile unachoamini!hata kama kwenu no wahhabi,answarisunah au shia hata suni!

Ungeamua kwenda tu!kudumu KWA MAHUSIANO kuna tegemea SANA msimamo wa muolewaji yaani mwanamke na sio sisi wanamme!!!!



Chukua hiyo!!
 
Natumaini wazima
Naomba niwashirikishe hili jambo linanisumbua sana
Miaka ya nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na kijana mmoja tulikuwa tunapendana sana,nilikuwa Niko chuo nae alikuwa anafnya kazi kwenye private sector tulivumiliana baadae nikamaliza nae akapata kazi serikalini tukaanza kuweka mipango ya Kuishi pamoja akanitambulisha Kwa ndugu zake familia Ile ilinipenda sana nae akatuma watu waje kwetu kijitambulisha hatua zingine zifate wakat huo Mimi nilikuwa sijapata kazi Bado

Kilichotokea familia yangu ikakataa kupokea mahali kwasabbu ya utofaut wa kiimani wakasema watupe mda tujadiliane namna gani tutaoana Lilikuwa jambo gumu sana kulielewa,nakumbuka Ilikuwa mara kwanza kwenye maishayangu kuliq barabarani [emoji24]
nanhata nduguzake hasa babaake alikuwa mkali mno hakuridhika na maamuzi yale mzozo ukaanza mwisho ukaibuka ugomvi uliodumu Kwa muda

Baada ya mwez hivi Mpenz wangu akapata ajali ya gari lakn hakuumia sana,ikaonekana sabbu alikuwa na stress, ugomvi ukaanza upya hakuna alietaka kumuelewa mwenzie kati ya familia zetu finally tukaamua tuvunje mahusiano.

Tangu wkat huo ni miaka mingi imepita kilamtu akaamua Kuishi maishayake lakini baadhi ya nduguzake Bado walikuwa wananisupprt sana hasa dadazake
Kwa upandewangu
Sijawahi Tena kukubali mwanaume aje kunichumbia kwetu licha ya kuwa nimekuwa na mahusiano mar kadhaa Nina uoga kupita kiasi na marazote ikitokea najihis kukosa amani kabisa

Kuna wakati napuuzia mawazo yangu lakini akitokea mtu kwaajili ya Hilo napata presha mno na naweza nikapata hata homa nikianza kufikiria kumruhusu mtu awe mchumba then tuonane
Nikaamua nijipe mda wa miez sita nichange akiliyangu lakin kusema ndio hata kwa nilienae kwenye mahusiano nimekuwa siwez napiga tu kalenda mwisho tunaishia kugombana na kuachana
Sijawahi chagua wanaume maybe wa hali flani sabbu mm mwenyew nimezaliwa kwenye familia ya kawaida tu lkni linanishinda

Kiukweli nakutana na wanaume wema na wenye Nia ya dhati kabisa na nilifikiria Sion kasoro zao lakni nimekuwaje sijui Nina uoga Nina presha ambayo nashindwa kuimanage
Kunawkat nafikiria kuhus familia na naamini sana kuwa ndoa ni kitu kizuri likija sualla likija mezani hali inabadilika kabisa Kilasiku nasema kesho

Pia nimekuwa mtu wa hasira sana Kwa vitu vidogo Yani naweza kukasirishwa na kitu ambacho badae nikifikiria Huwa sioni sabbu ya kwanini nilikuwa na hasira nacho lakin Inakuwa imeshatokea hili nalo linanitesa sana

Sina mahusiano Tena na yule wa mwanzo kilamtu na maishayake Kwa Sasa

Hebu mnisaidie mdogowenu
NB,naomba nishauriwe Kwa staha pia sitafuti mume,
Tuliza akili,fanya kazi kwa bidii,jitahidi kushiriki ibada kwa dini yako na jitahidi kutoka out wikiendi na mkabidhi Mola wako jambo hili atalitatua
 
Mi Sijaelewa vizuri hapo..kwahio shida ulonayo saivi ni ipi hasa
Ni hasiraaa , ni bado mnawasiliana nahuyo bwana au ni Kwamba ukiingia katika mahusiano mapya bado unajiona ni mchumba wa huyo alokataliwa au ninini hasa??

Nahizo hasira zinaingiaje hapo??

Nina hofu sana naweza nikapendasana tu nikazama sana tu mapenzini lakini linapokuja suala la kusogeza mahusiano mbele napata presha na Huwa siwezi kufanya maamuzi kabisa

Hasira ni jambo lingine linanisumbua naweza nikapat hasira Kwa kitu kidogo baada ya muda naona Kabisa nimefeli nashindwa kujizuia ila kwenye uhalisia napenda kufurahi sana kucheka Yan naweza kusmile all time
 
Dear kama ujuavyo watu wafupi hatunaga dogo 😀😀
Nina hofu sana naweza nikapendasana tu nikazama sana tu mapenzini lakini linapokuja suala la kusogeza mahusiano mbele napata presha na Huwa siwezi kufanya maamuzi kabisa

Hasira ni jambo lingine linanisumbua naweza nikapat hasira Kwa kitu kidogo baada ya muda naona Kabisa nimefeli nashindwa kujizuia ila kwenye uhalisia napenda kufurahi sana kucheka Yan naweza kusmile all time

Utakua sawa tu halafu inaonekana ulimpenda sana huyo na bado unampenda ndio stress zinapoanzia!

relaxxx Uambie moyo ukubaliane nahio hali na with time utakua sawa tu mamy na Mungu akusaidie!!
 
Nina hofu sana naweza nikapendasana tu nikazama sana tu mapenzini lakini linapokuja suala la kusogeza mahusiano mbele napata presha na Huwa siwezi kufanya maamuzi kabisa
Kubali lililopita lilipita kwa sababu ya utofauti wa imani.
Ruhusu maisha mengine yaendelee,, usiogope kwa mwingine unless kama bado umeendeleza mchezo wa kudate na mtu asiye wa imani yako.
Ila kama ni wa imani yako sioni cha kukufanya uhofie.
 
Unataka ushauri gani urudiane na yule wa kwànza au unataka mwingine? Au unataka ushauri wa kuondoa stress? Be specific.
Natumaini wazima
Naomba niwashirikishe hili jambo linanisumbua sana
Miaka ya nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na kijana mmoja tulikuwa tunapendana sana,nilikuwa Niko chuo nae alikuwa anafnya kazi kwenye private sector tulivumiliana baadae nikamaliza nae akapata kazi serikalini tukaanza kuweka mipango ya Kuishi pamoja akanitambulisha Kwa ndugu zake familia Ile ilinipenda sana nae akatuma watu waje kwetu kijitambulisha hatua zingine zifate wakat huo Mimi nilikuwa sijapata kazi Bado

Kilichotokea familia yangu ikakataa kupokea mahali kwasabbu ya utofaut wa kiimani wakasema watupe mda tujadiliane namna gani tutaoana Lilikuwa jambo gumu sana kulielewa,nakumbuka Ilikuwa mara kwanza kwenye maishayangu kuliq barabarani [emoji24]
nanhata nduguzake hasa babaake alikuwa mkali mno hakuridhika na maamuzi yale mzozo ukaanza mwisho ukaibuka ugomvi uliodumu Kwa muda

Baada ya mwez hivi Mpenz wangu akapata ajali ya gari lakn hakuumia sana,ikaonekana sabbu alikuwa na stress, ugomvi ukaanza upya hakuna alietaka kumuelewa mwenzie kati ya familia zetu finally tukaamua tuvunje mahusiano.

Tangu wkat huo ni miaka mingi imepita kilamtu akaamua Kuishi maishayake lakini baadhi ya nduguzake Bado walikuwa wananisupprt sana hasa dadazake
Kwa upandewangu
Sijawahi Tena kukubali mwanaume aje kunichumbia kwetu licha ya kuwa nimekuwa na mahusiano mar kadhaa Nina uoga kupita kiasi na marazote ikitokea najihis kukosa amani kabisa

Kuna wakati napuuzia mawazo yangu lakini akitokea mtu kwaajili ya Hilo napata presha mno na naweza nikapata hata homa nikianza kufikiria kumruhusu mtu awe mchumba then tuonane
Nikaamua nijipe mda wa miez sita nichange akiliyangu lakin kusema ndio hata kwa nilienae kwenye mahusiano nimekuwa siwez napiga tu kalenda mwisho tunaishia kugombana na kuachana
Sijawahi chagua wanaume maybe wa hali flani sabbu mm mwenyew nimezaliwa kwenye familia ya kawaida tu lkni linanishinda

Kiukweli nakutana na wanaume wema na wenye Nia ya dhati kabisa na nilifikiria Sion kasoro zao lakni nimekuwaje sijui Nina uoga Nina presha ambayo nashindwa kuimanage
Kunawkat nafikiria kuhus familia na naamini sana kuwa ndoa ni kitu kizuri likija sualla likija mezani hali inabadilika kabisa Kilasiku nasema kesho

Pia nimekuwa mtu wa hasira sana Kwa vitu vidogo Yani naweza kukasirishwa na kitu ambacho badae nikifikiria Huwa sioni sabbu ya kwanini nilikuwa na hasira nacho lakin Inakuwa imeshatokea hili nalo linanitesa sana

Sina mahusiano Tena na yule wa mwanzo kilamtu na maishayake Kwa Sasa

Hebu mnisaidie mdogowenu
NB,naomba nishauriwe Kwa staha pia sitafuti mume,
 
Natumaini wazima
Naomba niwashirikishe hili jambo linanisumbua sana
Miaka ya nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na kijana mmoja tulikuwa tunapendana sana,nilikuwa Niko chuo nae alikuwa anafnya kazi kwenye private sector tulivumiliana baadae nikamaliza nae akapata kazi serikalini tukaanza kuweka mipango ya Kuishi pamoja akanitambulisha Kwa ndugu zake familia Ile ilinipenda sana nae akatuma watu waje kwetu kijitambulisha hatua zingine zifate wakat huo Mimi nilikuwa sijapata kazi Bado

Kilichotokea familia yangu ikakataa kupokea mahali kwasabbu ya utofaut wa kiimani wakasema watupe mda tujadiliane namna gani tutaoana Lilikuwa jambo gumu sana kulielewa,nakumbuka Ilikuwa mara kwanza kwenye maishayangu kuliq barabarani 😭
nanhata nduguzake hasa babaake alikuwa mkali mno hakuridhika na maamuzi yale mzozo ukaanza mwisho ukaibuka ugomvi uliodumu Kwa muda

Baada ya mwez hivi Mpenz wangu akapata ajali ya gari lakn hakuumia sana,ikaonekana sabbu alikuwa na stress, ugomvi ukaanza upya hakuna alietaka kumuelewa mwenzie kati ya familia zetu finally tukaamua tuvunje mahusiano.

Tangu wkat huo ni miaka mingi imepita kilamtu akaamua Kuishi maishayake lakini baadhi ya nduguzake Bado walikuwa wananisupprt sana hasa dadazake
Kwa upandewangu
Sijawahi Tena kukubali mwanaume aje kunichumbia kwetu licha ya kuwa nimekuwa na mahusiano mar kadhaa Nina uoga kupita kiasi na marazote ikitokea najihis kukosa amani kabisa

Kuna wakati napuuzia mawazo yangu lakini akitokea mtu kwaajili ya Hilo napata presha mno na naweza nikapata hata homa nikianza kufikiria kumruhusu mtu awe mchumba then tuonane
Nikaamua nijipe mda wa miez sita nichange akiliyangu lakin kusema ndio hata kwa nilienae kwenye mahusiano nimekuwa siwez napiga tu kalenda mwisho tunaishia kugombana na kuachana
Sijawahi chagua wanaume maybe wa hali flani sabbu mm mwenyew nimezaliwa kwenye familia ya kawaida tu lkni linanishinda

Kiukweli nakutana na wanaume wema na wenye Nia ya dhati kabisa na nilifikiria Sion kasoro zao lakni nimekuwaje sijui Nina uoga Nina presha ambayo nashindwa kuimanage
Kunawkat nafikiria kuhus familia na naamini sana kuwa ndoa ni kitu kizuri likija sualla likija mezani hali inabadilika kabisa Kilasiku nasema kesho

Pia nimekuwa mtu wa hasira sana Kwa vitu vidogo Yani naweza kukasirishwa na kitu ambacho badae nikifikiria Huwa sioni sabbu ya kwanini nilikuwa na hasira nacho lakin Inakuwa imeshatokea hili nalo linanitesa sana

Sina mahusiano Tena na yule wa mwanzo kilamtu na maishayake Kwa Sasa

Hebu mnisaidie mdogowenu
NB,naomba nishauriwe Kwa staha pia sitafuti mume,
si sawa kuolewa na mtu wa imani nyingine, fuata ushauri wa wazazi. la sivyo badili imani kwanza kama hutaki dini yako
then huku kwenye imani mpya ndo uolewe sasa. na usibadili dini kisa kuolewa
 
Wewe umerogwa sio bure.Nakusihi urudi kwa yule aliyekuwa mchumba wako wa kwanza ukamuombe msamaha muachane kwa amani.

Tofauti na hapo utazeekea kwenu dada
 
Bado
Wewe umerogwa sio bure.Nakusihi urudi kwa yule aliyekuwa mchumba wako wa kwanza ukamuombe msamaha muachane kwa amani.

Tofauti na hapo utazeekea kwenu dada
Sawa
Lkn suala kuzeeka nyumbni labda niamue au iwe ulivosema nilogwe kwanza haipo kwenye ukoo wetu
 
Pole sana Mkuu, I feel your pain 😢

Mambo ya Imani huhitaji watu wenye ujasiri kuyashinda, Waziri Mkuu wetu ni Muislamu lakini ameoa Mkatoriki. Wapo wengine wengi, jaribu kufuata moyo wako unachoona kinafaa.

Kila la kheri Mjukuu
 
Back
Top Bottom