Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
hatuwezi kuangaika kutibu kichwa au homa kwa panadol pekee,Tusichoshane 😀sijaleta mada ya Imani usitoke nje ya mada
wakati tunajua una Malaria lazima tukupe na mseto 😅😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatuwezi kuangaika kutibu kichwa au homa kwa panadol pekee,Tusichoshane 😀sijaleta mada ya Imani usitoke nje ya mada
hivi na wewe unakuwaga serious na kutoa ushauri mzuri hivi [emoji28]hapa inabidi utafute msaada wa kitaalam wa afya ya akili ili uweze kurekebisha madhara uliyopata baada ya kuachana na mpenzi wako wa mwanzo....
mda mwingi nafanya utani, ila mimi ni binadamu wa kawaida😂hivi na wewe unakuwaga serious na kutoa ushauri mzuri hivi [emoji28]
[emoji28][emoji28] sawa binadamu wa kawaidamda mwingi nafanya utani, ila mimi ni binadamu wa kawaida[emoji23]
Anasubir vyote au shoo anapewa anasubir hyo ndoa😂😂Ananifahamu sana na ndo anasubir Zaid ya mwaka Sasa
Km anasubir vyote kw mwaka mzima ajengewe sanamuAnasubir vyote au shoo anapewa anasubir hyo ndoa
Unapitaje vipindi vigumuNi muda hata sijui anafananaje Kwa Sasa
Unaweza somewa mara nyingi na akajificha au akiskia kisomo kinakuja anasepa.Nimeshasomewa mara kadhaa walihis Nina iyoshida
Hatuhesabiwi wapi?..una changamoto ya akili?Kwa mwanamke sioni ubaya kwasababu kwa dini yangu nyie watu hamuhesabiwi wanahesabiwa wanaume pekee kwahiyo kubadili dini naona ni sawa kwa mwanamke.
💯Kuhusu hasira sana huenda una matatizo ya afya ya akili yaliyosababishwa na hali unayopitia.
Waone wataalamu wa afya ya akili watakusaidia.
Jaribu onana na wanasaikolojia uwaeleze huenda wakakusaidia.
Au jaribu omba kwa imani yako
*Usiolewe na asiye wa imani yako