Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Kwa mwanamke sioni ubaya kwasababu kwa dini yangu nyie watu hamuhesabiwi wanahesabiwa wanaume pekee kwahiyo kubadili dini naona ni sawa kwa mwanamke.Usibadili dini kisa ndoa nasema USILOGWE..
Una mapepo njoo nikupe upako bureNatumaini wazima
Naomba niwashirikishe hili jambo linanisumbua sana
Miaka ya nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na kijana mmoja tulikuwa tunapendana sana,nilikuwa Niko chuo nae alikuwa anafnya kazi kwenye private sector tulivumiliana baadae nikamaliza nae akapata kazi serikalini tukaanza kuweka mipango ya Kuishi pamoja akanitambulisha Kwa ndugu zake familia Ile ilinipenda sana nae akatuma watu waje kwetu kijitambulisha hatua zingine zifate wakat huo Mimi nilikuwa sijapata kazi Bado
Kilichotokea familia yangu ikakataa kupokea mahali kwasabbu ya utofaut wa kiimani wakasema watupe mda tujadiliane namna gani tutaoana Lilikuwa jambo gumu sana kulielewa,nakumbuka Ilikuwa mara kwanza kwenye maishayangu kuliq barabarani 😭
nanhata nduguzake hasa babaake alikuwa mkali mno hakuridhika na maamuzi yale mzozo ukaanza mwisho ukaibuka ugomvi uliodumu Kwa muda
Baada ya mwez hivi Mpenz wangu akapata ajali ya gari lakn hakuumia sana,ikaonekana sabbu alikuwa na stress, ugomvi ukaanza upya hakuna alietaka kumuelewa mwenzie kati ya familia zetu finally tukaamua tuvunje mahusiano.
Tangu wkat huo ni miaka mingi imepita kilamtu akaamua Kuishi maishayake lakini baadhi ya nduguzake Bado walikuwa wananisupprt sana hasa dadazake
Kwa upandewangu
Sijawahi Tena kukubali mwanaume aje kunichumbia kwetu licha ya kuwa nimekuwa na mahusiano mar kadhaa Nina uoga kupita kiasi na marazote ikitokea najihis kukosa amani kabisa
Kuna wakati napuuzia mawazo yangu lakini akitokea mtu kwaajili ya Hilo napata presha mno na naweza nikapata hata homa nikianza kufikiria kumruhusu mtu awe mchumba then tuonane
Nikaamua nijipe mda wa miez sita nichange akiliyangu lakin kusema ndio hata kwa nilienae kwenye mahusiano nimekuwa siwez napiga tu kalenda mwisho tunaishia kugombana na kuachana
Sijawahi chagua wanaume maybe wa hali flani sabbu mm mwenyew nimezaliwa kwenye familia ya kawaida tu lkni linanishinda
Kiukweli nakutana na wanaume wema na wenye Nia ya dhati kabisa na nilifikiria Sion kasoro zao lakni nimekuwaje sijui Nina uoga Nina presha ambayo nashindwa kuimanage
Kunawkat nafikiria kuhus familia na naamini sana kuwa ndoa ni kitu kizuri likija sualla likija mezani hali inabadilika kabisa Kilasiku nasema kesho
Pia nimekuwa mtu wa hasira sana Kwa vitu vidogo Yani naweza kukasirishwa na kitu ambacho badae nikifikiria Huwa sioni sabbu ya kwanini nilikuwa na hasira nacho lakin Inakuwa imeshatokea hili nalo linanitesa sana
Sina mahusiano Tena na yule wa mwanzo kilamtu na maishayake Kwa Sasa
Hebu mnisaidie mdogowenu
NB,naomba nishauriwe Kwa staha pia sitafuti mume,naheshimu watu Hawa ila nitaiweka chat hamchelew kusema ni chai
😃😃😅 alafu hayo yote chanzo ni Dini / imani yake.Una shida ya Post Traumatic Stress Disorder.
People with PTSD have intense, disturbing thoughts and feelings related to their experience that last long after the traumatic event has ended
Kwa sisi tunaoamini katika MWENYEZI MUNGU tunaamini mwenyezi Mungu hamuonei wala habagui mtu na kila kinachoendelea katika maisha yako ni QADARI . QADARI ndio kheri kwako ko unapolikosa jambo ndio kheri kwako ikiwa kama si uzembe wako na unapolipata jambo ndio kheri kwako ikiwa kama si dhuluma kwako.Natumaini wazima
Naomba niwashirikishe hili jambo linanisumbua sana
Miaka ya nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na kijana mmoja tulikuwa tunapendana sana,nilikuwa Niko chuo nae alikuwa anafnya kazi kwenye private sector tulivumiliana baadae nikamaliza nae akapata kazi serikalini tukaanza kuweka mipango ya Kuishi pamoja akanitambulisha Kwa ndugu zake familia Ile ilinipenda sana nae akatuma watu waje kwetu kijitambulisha hatua zingine zifate wakat huo Mimi nilikuwa sijapata kazi Bado
Kilichotokea familia yangu ikakataa kupokea mahali kwasabbu ya utofaut wa kiimani wakasema watupe mda tujadiliane namna gani tutaoana Lilikuwa jambo gumu sana kulielewa,nakumbuka Ilikuwa mara kwanza kwenye maishayangu kuliq barabarani [emoji24]
nanhata nduguzake hasa babaake alikuwa mkali mno hakuridhika na maamuzi yale mzozo ukaanza mwisho ukaibuka ugomvi uliodumu Kwa muda
Baada ya mwez hivi Mpenz wangu akapata ajali ya gari lakn hakuumia sana,ikaonekana sabbu alikuwa na stress, ugomvi ukaanza upya hakuna alietaka kumuelewa mwenzie kati ya familia zetu finally tukaamua tuvunje mahusiano.
Tangu wkat huo ni miaka mingi imepita kilamtu akaamua Kuishi maishayake lakini baadhi ya nduguzake Bado walikuwa wananisupprt sana hasa dadazake
Kwa upandewangu
Sijawahi Tena kukubali mwanaume aje kunichumbia kwetu licha ya kuwa nimekuwa na mahusiano mar kadhaa Nina uoga kupita kiasi na marazote ikitokea najihis kukosa amani kabisa
Kuna wakati napuuzia mawazo yangu lakini akitokea mtu kwaajili ya Hilo napata presha mno na naweza nikapata hata homa nikianza kufikiria kumruhusu mtu awe mchumba then tuonane
Nikaamua nijipe mda wa miez sita nichange akiliyangu lakin kusema ndio hata kwa nilienae kwenye mahusiano nimekuwa siwez napiga tu kalenda mwisho tunaishia kugombana na kuachana
Sijawahi chagua wanaume maybe wa hali flani sabbu mm mwenyew nimezaliwa kwenye familia ya kawaida tu lkni linanishinda
Kiukweli nakutana na wanaume wema na wenye Nia ya dhati kabisa na nilifikiria Sion kasoro zao lakni nimekuwaje sijui Nina uoga Nina presha ambayo nashindwa kuimanage
Kunawkat nafikiria kuhus familia na naamini sana kuwa ndoa ni kitu kizuri likija sualla likija mezani hali inabadilika kabisa Kilasiku nasema kesho
Pia nimekuwa mtu wa hasira sana Kwa vitu vidogo Yani naweza kukasirishwa na kitu ambacho badae nikifikiria Huwa sioni sabbu ya kwanini nilikuwa na hasira nacho lakin Inakuwa imeshatokea hili nalo linanitesa sana
Sina mahusiano Tena na yule wa mwanzo kilamtu na maishayake Kwa Sasa
Hebu mnisaidie mdogowenu
NB,naomba nishauriwe Kwa staha pia sitafuti mume,naheshimu watu Hawa ila nitaiweka chat hamchelew kusema ni chai
Nimeshasomewa mara kadhaa walihis Nina iyoshidaAaliyyah Sababu zipo kadhaa, kwanza unavuka mipaka fulani na automatically baraka ya kuiendea ndoa inaondoka, secondly inawezekana una dalili ya jini mahaba kuna faida anapata kwako so anakuvuruga ubaki single muda wote ili asikukose.
Ukiwa hujaelewa utaniPM nikiingia ntakupatia ushauri inshaallah.
Na Mimi naamini hivo ndo maana sikulazimisha jambo hiliKwa sisi tunaoamini katika MWENYEZI MUNGU tunaamini mwenyezi Mungu hamuonei wala habagui mtu na kila kinachoendelea katika maisha yako ni QADARI . QADARI ndio kheri kwako ko unapolikosa jambo ndio kheri kwako ikiwa kama si uzembe wako na unapolipata jambo ndio kheri kwako ikiwa kama si dhuluma kwako.
Nahisi kama nimeongea vitendawili sana kama hutaelewa ruhuksa kuniuliza.
By the way acha ZINAA MUOGPE MOLA WAKO mbwa ww
Hali hii insondokaje pia hasira vitu vidogo kwenye mahusiano vinanikwaza sana lkn kwenye maisha ya kawaida hunikuti nimefanyiwa jambo nikakasirika Kwa kiwango hiko hta Liwe kubwa vipiUna shida ya Post Traumatic Stress Disorder.
People with PTSD have intense, disturbing thoughts and feelings related to their experience that last long after the traumatic event has ended
"Hakika mwenyezi Mungu habadirishi yaliyo katika umma mpaka wabadirishe yaliyo katika vifua vyao".. ukitaka matokeo tofauti fikiria tofauti fanya tofauti na ambatana na watu tofauti. Namaanisha ukitaka Mungu akuongoze lazima ubadirike kuanzia fikra hadi matendo. Sasa we bado una kabwana afu unatafuta mchawi kwanini hutaki kuolewa?[emoji24][emoji24] Acha zinaa piga chini wanaume wote uishi mwenyewe mwaka uone kama hutajikuta kwa mumeo tena kwa ndoa ya faster " CHEZEA UPWIRU WEWE"Dah[emoji3]mbwa Mimi nimekuelewa
😀Dah sawa"Hakika mwenyezi Mungu habadirishi yaliyo katika umma mpaka wabadirishe yaliyo katika vifua vyao".. ukitaka matokeo tofauti fikiria tofauti fanya tofauti na ambatana na watu tofauti. Namaanisha ukitaka Mungu akuongoze lazima ubadirike kuanzia fikra hadi matendo. Sasa we bado una kabwana afu unatafuta mchawi kwanini hutaki kuolewa?[emoji24][emoji24] Acha zinaa piga chini wanaume wote uishi mwenyewe mwaka uone kama hutajikuta kwa mumeo tena kwa ndoa ya faster " CHEZEA UPWIRU WEWE"
Shukrani nimelikubali hili nitajitahid inawezekana itakuwa sikuliacha Kwa asilimia zote nitajitahidiMungu huwa anasema nasi kupitia kwa matukio, watu, na kadhalika.
Especially juu ya ndoa mara nyingi ukiona ndugu wamkataa mtu jua si halali yako,wapo waliolazimisha wakaenda kuzisoma namba, shukuru Mungu, futa machozi songa mbele, fungua milango kwa opportunity nyingine.
oooh!!! unajisikia Vibaya Kuusikia ukweli ??Unatak kuniharibia Uzi wakija watu wa upako