Pre GE2025 Ushauri kwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS Kuhusu Kero Sugu ya Uhalifu wa Kiuchaguzi Unaofanywa na Wanasiasa Matapeli Wakati wa Chaguzi tangu 2010 hadi 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna ushahidi wa CCM kuiba uchaguzi? We una akili kweli?

Nilidhani nazungumza na mtu mwenye akili kumbe naongea na mjinga na chawa.

Haya kakojoe ukalale.
Akili unazo wewe mwenye ushahidi wa kupika na kutengeneza ukihusisha wataalam wasio na nia njema na taifa hili na wanaotumika kutokea nje ya nchi.....
 
Akili unazo wewe mwenye ushahidi wa kupika na kutengeneza ukihusisha wataalam wasio na nia njema na taifa hili na wanaotumika kutokea nje ya nchi.....
Endeleza ujinga wako. Najuta kutumia muda wangu kumjibu mtu kumbe ni mjinga, chawa asiyejielewa.

Tafuta clip ya Nape akiwa jimboni kwa Byabato akielezea kuwa sio kura za wananchi zinazoamua mshindi wa uchaguzi ila mtangaza matokeo waliyemweka alafu ukimaliza tafuta clip ya aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Longido akielezea namna gani CCM wanafanya kwenye chaguzi.

Ingawa najua umeziona ila fanya hivyo tu alafu kakojoe ukalale.
 
Kwani utawala wa majimbo upo Ethiopia tu? Mbona Afrika Kusini upo, Mbona Kenya upo? Mbona Marekani upo?

Kama CCM wanaiba uchaguzi kwa kupindua matokeo halali wana tofauti gani na Mobutu?
Yanayoendelea Kenya na SA si ya kujifunza....

Kenya bado ina siasa za KIKABILA....Tanzania haina hayo!

Afrika Kusini wanaendelea kupambana na athari za "apartheid"....wewe huoni misimamo ya akina Elon Musk na boss wake mh.Trump juu ya yale maeneo ya "ardhi"?!!

Bado hoja yangu haijapata kuota kutu ; watanzania hatutaki katiba yenye vipengele vya MAJIMBO ya kiutawala kwani hakuna faida ya kuiga kutoka kwa Kenya ,SA na US.....
 
Huyo DC wa Longido ni mropokaji tu....ni aina ya viongozi wasiojitambua na kutambua nafasi zao kwa kufurutu ada ya kujiamini juu ya vyeo vyao na ufurahishaji genge kwa maslahi binafsi anayoyajua mwenyewe.....

Mh.Nape Nnauye ni mpenda sifa na mropokaji tu....simshangai kwa maneno hayo aliyotamka.....

Bado huo si ushahidi kwani haikutamka tume ya uchaguzi.....
 
Itakayoamua nani ashinde Dola na apewe ni dola yenyewe!

Kama Dola itaona mambo yalivyo ndivyo yanavyopaswa kuwa basi yataendelea kuwa yalivyo!

Kama ikiona hayana tija kwa taifa bas watarekebisha wenyewe hali!
 
Uchaguzi ni nini?

Viongozi wa dini mfano Mufti na Askofu hata Pope wanachaguliwaje?

Nimekaa pale 🐼
 
Mkuu wakati mwingine vaa viatu vya wananchi wa Tanzania, unaona busara kwa wananchi kumchagua kiongozi wao wanaemwoka anafaa then kiongozi huyo asitangazwe kisa mwenyekiti anamtaka kiongozi mwingine asiyewafaawananchi?
Tunapompata mtu mwenye uwezo wa kusema tusitishe uchaguzi wa namna hiyo ili kurekebisha kasoro hizo tunatakiwa kumuunga mkono siyo kutoa kejeli.
 
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusitisha UCHAGUZI MKUU...nchi haiko katika "taharuki na machafuko....".
 
Mwisho wa Kunukuu
 
A veru nice, brave report
 
Bado tuna imani Dr Samia ni Mwislam safi hatapenda kupata vitu visivyo halali hivyo anaweza kuufanyia kazi Ushauri wako Murua kwa manufaa ya Watanzania wote.

Ni jambo linalowezekana njenya hapo ni visingizio tu
Muislamu safi ila amezungukwa na mashetani kila kona kwa kifupi ni mateka wa mfumo...inabidi awe mpole vinginevyo wanaweza kumfanya kitu kibaya
 
Huna akili
 
Umeandika vitu vingi ila mimi nauliza swali moja tu , wewe kama wakili na kada wa CCM kwanini hamtaki kuwepo na tume huru ya uchaguzi kama ile IEBC ya majirani?
 
Nilitamani CCM iungane na CHADEMA kudai reforms; maana ni dhahiri marekebisho hayo yanafaida zaidi kwa CCM kuipa uhalalali kuliko kung'ang'ania mazoea ambayo yanao ukomo.

4R's zithibitike kivitendo!
Duuuh
 
Bara la Afrika ni mahali pekee kabisa hapa duniani ambako kuna Watu na Watawala wengi zaidi ambao hawajastaarabika kabisa katika maisha yao. That's why unaona kwamba sauti za milio ya risasi au milio ya mitutu ya bunduki haikomi kusikika barani Afrika.

The only suitable method of dealing with African Regimes is by means of Guns. Ndio maana unaona kwamba Wazungu wamewekeza pakubwa Sana katika masuala ya kutoa Misaada ya silaha za kupigania Vita ndani ya Ardhi iliyopo katika nchi za bara hili la Afrika.

So you are wasting your time and resources for nothing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…