Pre GE2025 Ushauri kwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS Kuhusu Kero Sugu ya Uhalifu wa Kiuchaguzi Unaofanywa na Wanasiasa Matapeli Wakati wa Chaguzi tangu 2010 hadi 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapana usimkatishe tamaa mleta mada. Ingawa ushauri wake kapeleka kwa Mkurugenzi wa TISS ila tuna uhakika uko TISS bado wapo wazalendo kweli ambao wako tayari kusimamia maslahi mapana ya taifa na kusema No kwa CCM na ufedhuli wake.

I believe ipo siku hawa wazalendo waliopo TISS na hata JWTZ watafanya jambo kubwa la maana sana.
 
Huwezi kuwatenga TISS na madudu ya ccm kila nyanja, wanahusika, na, wanafaidika(kama taasisi, na, mmoja mmoja, baadhi),
Kufikria wizi unafanywa na Hawa jamaa hawajuhi, ni kututukana matusi,au kujaribu kujenga taswila kwamba kuna wana ccm wanaiba kura,samia, ikulu haijuhi,! Na, inafanya kila linalowezekana kuwakamata! Ni matusi ya nguoni kwa wa bongo, kuna methali yq kisomali inasema, "ngamia walioibiwa na mwenyewe, hawa wezi kupatikana! "
Ccm ndio wezi wa kura, harafu wanatafuta mwizi wamfunge! Hatapatikana milele!
 
Andiko nzuri sana...hongera mkuu.
 
Mwiko kusema ukweli katika bara la Afrika,maana watu hawaangalii nguvu ya hoja bali nani kaleta hoja.

Uko kwenye serikali kumujaa wachumia tumbo hivyo mageuzi ya kimfumo ni adui wa taifa kwa tafsiri Yao.
 
Naam Kuna siku uchaguzi mkuu ulishawahi kusogezwa mbele, labda wakati huu wewe ulikuwa hauishi Tanzania, ulikiwa ile nchi uliyofanyia Fungate honeymoon.

Alipokufa DR Omary Ali Juma uchaguzi ulisogezwa mbele.
 
Nimekuja hapa kupongeza na kushukuru sana Mungu kwa kukuumba na kukupa uwezo mzuri sana lakini zaidi kukushukuru Dr. Mama Amon kwa kutumia vizuri uwezo wako na muda wako. Wewe ni mzalendo kweli kweli. Pamoja na kuipenda CCM naipenda Tanzania zaidi. Na andiko hili watalielewa zaidi wanaoipenda Tanzania na wanaoona kesho yenye mashaka tusipoutizama ukweli ulivyo na kulazimisha ukweli tunaoutaka. Anyway, Ubarikiwe,ujaliwe afya njema na wanaopaswa kutekeleza hili wajaliwe unyenyekevu na ujasiri wa kufanya haya.
 

Kupiga kura ni kitendo cha aina gani na mpiga kura makini ni nani?

Ndugu, umekaa hapo bado?

Naona umeandika:

“Nimesoma andiko na kulielewa. Labda mleta hoja utufafanulie:
  1. Kupiga kura ni kitendo cha aina gani na mpiga kura ni nani?
  2. Je, Tanzania tunao Wapiga Kura kwa maana halisi ya kupiga kura?
Katika kunijibu unaweza kutumia mfano wa uchaguzi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chadema, ambapo akina Yeriko na Ntobi ndio sample ya wapiga Kura (ambao ninaowafikiria).”

Majibu yangu:

Kulingana na “sample ya wapiga Kura” uliyoitaja, nahitimisha kwamba tatizo lako ni kuona kuwa watu waliodhaniwa watakuwa “rational” wameonekana wakifanya maamuzi ambayo ni “irrational,” kwa kuchukulia kwamba wapiga kura rational ni wale ambao maamuzi yao yalishinda.

Kwa hiyo, unaonekana kujiuliza: Tunatoa jawabu gani kwa kituko hiki?

Napendekeza kwamba jawabu ni ugonjwa wa akili uitwao “dogmatism” maana walisikika wakisema kwa ujasiri mkubwa habari ya MBOWE NI ALFA NA OMEGA.

Kwa mujibu wa Professor Saul Kripke (2011), kwenye Makala yake iitwayo “On Two Paradoxes of Knowledge,” kama ilivyochapishwa kwenye kitabu, Philosophical Troubles: Collected Papers, Vol I (Oxford: Oxford University Press), ugonjwa wa akili uitwao “dogmatism” ni tatizo sugu katika ulimwengu wa leo. Anasema:

“A paradox or contradiction is an argument whose elements, including explicit premises, implicit premises and conclusion, constitute an incoherent set, meaning that, they cannot be true simultaneously.

"Based on how contradictions are generated in a given set of claims, we can identify three types of contradictions, namely: explicit contradiction, formal contradictions and implicit contradictions.

"A set of assertions is explicitly contradictory if and only if at least one member of the set is the direct negation of at least one member of the same set. For example: "Africa has 54 countries including Tanzania"; 'therefore, Tanzania is in Africa'; and 'Tanzania is not in Africa'." The second and third statements are contradictory.

"A set of assertions is formally contradictory if and only if at least one member of the set is an indirect negation of at least one member of the same set, where an explicit contradiction can be derived from its members by using the rules of ordinary logical inference only. For example: "'All Tanzanians speak Kiswahili', 'Juma is a Tanzanian', 'Juma does not speak Kiswahili.'"

"A set of assertions is implicitly contradictory if and only if at least one member of the set is an indirect negation of at least one member of the same set, where an explicit contradiction or implicit contradiction can be derived from its members by using the rules of ordinary logical inference after adding some necessarily true propositions to it.

"For example:

(1) The God is Triune;
(2) Neither the Son nor the Holy Spirit is Triune;
(3) Thus, neirhwr the Son nor the Holy Spirit is God."

This set has neither explicit nor formal contradictions.

But, if the set is expanded by adding the following orthodoxy statement, a contradiction emerges:

“(4) Each of the Son and the Holy Spirit is God.” Now, the third and fourth claims are contradictory.

"Another example of a paradox is "the paradox of dogmatism," which is relevant here, and is explained next.

“Person A is dogmatic with respect to a proposition that P is true if and only if person A believes that proposition P is true, and, moreover, person A has resolved not to be influenced by any future evidence against the proposition that P is true. Formally stated, the paradox of dogmatism has the following structure:

“(1) At time T1 I know that proposition P is true.

(2) At time T1 I know that if evidence E is against proposition P, then evidence E is misleading.

(3) At time T1 I know that evidence E is against proposition P.

(4) Therefore, at time T1 I know that evidence E is misleading.

(5) At time T1 misleading evidence must be avoided.

(6) Thus, I must avoid evidence E at time T2, at time T3 and at any future time Tn.

“The fallacy in this sort of reasoning emerges once an explicit reference to time is analyzed. Specifically, the conclusion at No (6) does not follow from premises. Here is the reason:

"If I know at time T1 that proposition P is true, then I know at T1 that any evidence against proposition P is misleading. However, if at a later time T2 I acquire new evidence E against proposition P, I may well not have known at T1 that E is misleading. For, given my new body of total evidence accumulated between T1 and T2, I may be justified in believing that proposition P is true at T1 and that proposition P is false at T2, and vice versa.

“Thus, knowledge and justified belief may shrink, as well as grow, with the acquisition of new evidence. Despite our finite mind, deciding when we chose dogmatism and when we chose skepticism is what matters most for the modern mind in the third millennium where human knowledge is changing daily.”


Hivyo basi, sasa hebu tuone jinsi majibu ya kitendawili hiki yanavyohusika kwenye uchaguzi.

Kupiga kura ni uamuzi wenye pande mbili kama shilingi. Kuna upande wa “Ndiyo” na upande wa “Hapana.”

Yaani Kupiga kura ni uamuzi wa kusema “Ndiyo na Hapana” kwa mpigo.

Mfano, waliomchagua Lissu walimkataa Mbowe. Na waliomchagua Mbowe walimkataa Lissu. Kila aliyeamua alikuwa na sababu zake.

Baadhi, wakiwemo kina sie, tuliukataa “ukale” na kukumbatia “usasa,” baada ya kupima sababu za kuunga mkono ukale na kuzikataa, na hatimaye tukashinda.

Wengine, wakimwemo kina Yeriko na Ntobi, waliukataa “usasa” na kukumbatia “ukale,” bila kujali uzito sababu za kuunga mkono usasa, na hatimaye wakashindwa.

Kwa mujibu wa “kitendawili cha Kripkian dogmatism,” walioshindwa waliponzwa na tatizo la “unwarranted dogmatism.”

Waliamini kuwa Mbowe ni “Alfa na Omega” bila kuzingatia uzito wa Ushahidi mpya, maana walikwishazifunga akili zao. Kiakili hawakuwa tayari kwa mabadiliko.

Walihitaji “shock-therapy” ili kuuona ukweli mpya.

Yaliyotokea kwenye uchaguzi wa Chadema hutokea kwenye kila uchaguzi. Nasi wenye kukataa ugonjwa wa akili uitwao “dogmatism” tusichoke kuwakomboa wagonjwa hawa kwa kuwapa dozi stahiki.
 
Mkuu, nakushauri usome Sir. Isaac Newton's second law of motion, ni lazima kitu kifanyike ili kuwe na mabadiliko ya aina yoyote, external force ni lazima. Mkuu, wewe ulifikia hitimisho kuwa TAL hawezi kushinda uenyekiti CDM, akashinda! Watu wengi wana underestimate uwezo wa TAL. Wanamwona yuko peke yake, sio hivyo.

Sujui kama ni Mungu au ni 'mfumo', ila kuna nguvu kubwa tena tukufu nyuma ya TAL. Mimi ningekuwa mwenyekiti wa CCM nisingeweza kupata usingizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…