SIYO UPIGAJI, sababu ya kunufaika na BarrickHivi huyu jamaa si ndio alikuwa Barrick/Acacia?
Akaandamwa na JPM kwa sababu za upigaji?
SIYO UPIGAJI, sababu ya kunufaika na Barrick
Kwa maana yenu kupiga ni kuiba hela ya umma, huyu hjawahi kuwa mtumishi wa umma sasa kapiga wapi?Kunufaikaje ambako hakukuwa na upigaji?
Mbona wewe hujajitaja mkuu?Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
Mkuu comte, thanks for this, kuna vitu najifunza. Hoja ya bandiko hili ni kumshauri Mama asishobokee macheti Ph.Ds kwenye key ministries, ateue wenye experience with track record of delivery. Tuna mtu wa benki, apewe fedha, tuna mtu wa madini, sasa ni mfabiashara mkubwa, apewe biashara, unampa biashara mtu ambaye hajawahi hata kuuza genge!, unategemea nini?.Nakubaliana na wewe, ila walitwaliwa miongoni mwetu, watanzania wote without exceptional tuko kwenye level ya umaskini na ushahidi unaupta ukiona rais, waziri katibu mkuu anawaza kujenga nyumba. Kwenye Maslow Pyramid of need utaona shida yetu iko wapi- wengi tuko bado kidato cha chini kabisa, wachache wamefika kidato cha pili
View attachment 2806986
Kwa upande mwingine, tunahitaji mtu muelewa wa mambo bila kujali ni mchumi au fedha
Finance is about how individuals, businesses, and organizations manage and allocate their financial resources. It involves analyzing and making decisions about using money, investments, and financial instruments such as stocks, bonds, and derivatives.
Modern societies require the use of finance. It is crucial in determining the overall health and development of economies and businesses. The demand for professionals with financial knowledge is strong across many industries, including banking and investment management.
Economics is about how people, organizations, and societies distribute and employ resources, such as capital, labor, and land, to create goods and services. It examines how economic agents choose what to produce, how, and for whom.
Economics is critical in shaping public policy and guiding public and private decision-making. It analyzes and addresses various economic issues, including income inequality, environmental sustainability, international trade, and economic development.
Kwa hayo machache bora waziri wa fedha mchumi kuliko wa finance
Ile issues aliimaliza kwa plea bargain. Ukimaliza issue kwa plea bargain, criminal liabilities inafutika!.Anatakiwa awe jela mkuu
Mkuu Kinoamiguumbona wewe hujajitaja mkuu?
Mkuu katika nchi hii hao watu hatuna, tuna watu toka waanze shule hawajatoka nje ya kuta nne na meza. HAWAJUI kinaendlea nini duniani, wanalipwa mshahara hawajui unatoka wapi. Nchi za wenzetu wana watu wamefanya kila kitu hapa duniani ndo wanaenda serikali ama kama watumishi au wanasiasa na watengeneza sera. Hicho ndicho tunachokikosa. Siyo dhambi, tatizo ni nyakati itafika tutawapata watu kama hao.Mkuu comte, thanks for this, kuna vitu najifunza. Hoja ya bandiko hili ni kumshauri Mama asishobokee macheti Ph.Ds kwenye key ministries, ateue wenye experience with track record of delivery. Tuna mtu wa benki, apewe fedha, tuna mtu wa madini, sasa ni mfabiashara mkubwa, apewe biashara, unampa biashara mtu ambaye hajawahi hata kuuza genge!, unategemea nini?.
P
Mkuu, huogopi kulaumiwa kuwa unataka kutia mchanga vitumbua vya watu?Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
Kimei hapana, alikuwa na CRDB akaja kupitwa na NMB iliyokuja baadayeMkuu, huogopi kulaumiwa kuwa unataka kutia mchanga vitumbua vya watu?
1. Dr. Charles Kimei ana uzoefu wa masuala ya fedha. Huenda akawa msaada kwenye Wizara husika akipewa nafasi.
2. Kalemani akifanya vizuri sana kwenye Nishati. Sijui kwa nini mama aliamua kumwengua!
3. Wizara ya biashara wangepewa watu wenye uzoefu wa ujasirimali: Shabiby, Abood, Shigongo, n.k.
NimekuelewaHuu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
Mama alianza vizuri Pascal Mayalla: Tanzania sasa inajenga Mifumo na sio kujenga watu kama enzi za Hayati MagufuliKinachotakiwa sasa ni kubadilisha mfumo si watu.
Mimi niko ki maslahi ya taifa zaidi na sio personalities, kama hata Mama Samia mwenyewe tunamshauri asigombee 2025, apumzike!, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke itakuwa hawa mburu matata!.Mkuu, huogopi kulaumiwa kuwa unataka kutia mchanga vitumbua vya watu?
1. Dr. Charles Kimei ana uzoefu wa masuala ya fedha. Huenda akawa msaada kwenye Wizara husika akipewa nafasi.
2. Kalemani akifanya vizuri sana kwenye Nishati. Sijui kwa nini mama aliamua kumwengua!
3. Wizara ya biashara wangepewa watu wenye uzoefu wa ujasirimali: Shabiby, Abood, Shigongo, n.k.
Duh, bonge la CV!, she is 77!. Huku kwetu age ya mwisho kwenye public service ni 65!.Soma hii ya US Secretary of Treasury
Mkuu hii akili ya kudhani rais ana mamlaka makubwa ni ya AJABU SANA. Nitajie ni wapi mkuu yeyote hana mamlaka makubwa- anzia na kwako kwenye familiaKwa mfumo wa kiutawala na kiutendaji katika Nchi za Ulimwengu 3 ulivyo hata umlete Mchumi Mkuu wa World Bank au IMF hawezi badilisha chochote.
Mtaongea miaka na miaka mtawalaaumu Watendaji na Mawaziri na hata Wabunge but tatizo kuu ni Utahira wa Watanzani.
Narudia kusema tena tatizo kubwa la tulilonalo ni ujinga wa Watanzania,hasa kwa kumpa full mandatory Rais wa Nchi-na hawa ndio Adui namba 1 wa Taifa.
Kama mtu mnamchagua na hamjui hata mashahara wake unategemea utamfanya nini hata asipotekeleza kile anachotakiwa kufanya?
Hii ya UKDuh, bonge la CV!, she is 77!. Huku kwetu age ya mwisho kwenye public service ni 65!.
P
Wizara hazifanani, huku kwetu ukiondoa uteuzi wa PM, ambao ndio pekee huidhinishwa na Bunge, teuzi nyingine zote ameachiwa mtu mmoja!. Nimeshauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?More reading
Who Is Janet Yellen?
Janet Yellen served as the U.S. Treasury Secretary and as chair of the Federal Reserve Board. She is the first woman to hold either post.www.investopedia.com