The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
So watu waoe jobless
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wote duniani hawawezi kuolewa.Ushauri wako upo general sana umewaza ndani ya boksi 😏😏
Mtu amemaliza Chuo, chap ameajiriwa mkoani, anajitegemea tayari amekosa sifa??
Sio mikoani tu siku hizi watu wanatoka nnje kusaka maisha kwa kasi.
Watu wanatoana jela, bar wanaoana na wanaishi vizuri tu.Lazima aelewe mfumo umebadilika
Punguza hasira😁😁😁😁Na msioe, kwani kuna mtu kawashikia panga 😁
Hasira anazo aliyeleta hii madaPunguza hasira😁😁😁😁
Nimekumbuka kale ka video kako ka punguza hasira tu😊Hasira anazo aliyeleta hii mada
sijaelewa, video yangu? 😳Nimekumbuka kale ka video kako ka punguza hasira tu😊
Walikutana akiwa na miaka 19...Si kweli, Beyonce alishakuwa na wanaume wengine kabla
Mbona kuna jamaa anaitwa Lyndall locke inasemekana alikua mpenzi wake kabla ya jigga?Lakini jay z ndiye alimtoa bikira huyo beyonce..
Kuna kavideo kalitumwa huku jamaa anasema hataki wanawake , kuna mdada yupo pembeni anamwambia punguza hasira ,nikajua niwewe uliweka ,huwa kanafurahisha sana.sijaelewa, video yangu? 😳
Labda kama wali date tu...Mbona kuna jamaa anaitwa Lyndall locke inasemekana alikua mpenzi wake kabla ya jigga?