Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Hebu angalia Watanzania walivyo wa ajabu mimi nilijua ile by election ya Mkoani Mbeya Watanzania badala ya kuonesha hisia zao kwenye Ballot kwa kuiadhibu CCM wameenda kuipa landslide.

Hawa watu hawako tiyari kwa ukombozi unaweza ukajikuta unakufa pekee yako.
Mim binafsi sisupport mahandamano hatuna watu wakupambana watanzania walisharidhika na hali zao

Kama lissu alipigwa risasi na hakuna kilichotokea, uchaguz wa 2020 ulifanyika uharamia wa wazi wazi na watu wakawa wanashangaa kama mazoba usitegemee waje kuandamana

Siku Mungu akiamua ccm watatoka madarakani lakin tofauti na hapo ni ngumu sana watanzania wamelala usingizi wa pono
 
Maandamano yanaendana na kutoa uovu uliokaidi kwa mtutu na sio mbinu ya kulambishana pipi hii unayotaka CCM ikufanyie.

Nikweli nasupport uasi dhidi ya CCM kwa 100% hii ndio njia pekee ya kweli ya kuwaondosha wala sijawahi kulificha hili.

Hutujaja kulinda dunia tunazaliwa ili tufe.

CCM huyo ataungaje mkono uasi dhidi yake?
 
Kwa tume ipi sasa? Mbona mnaota mchana hivyo?

Kisa hamtaki kufa au kuumia ila wale siyo?

Ndiyo maana kucha mkisema watanzania waoga. Nyie siyo watanzania?
Nani apiganie huo ujinga wa tume kama sio watanzania ambao literall wamelala usingizi wa pono

Any struggle au movement inahitaji support ya wananchi tofauti na hapo ni kazi bure haijalishi una maono makubwa kiasi gani
 
Wakina Mwakubusi wanajaribu kuratibu maandamano na civil disobedience na hiyo ndio lugha CCM wanaelewa na kuogopa. Hivi nyie mnawezaje kuwa waastarabu kwa watu wanaoiba kura mchana kweupe huko Zanzibar na mkaamini watabadilika na kuwa waastarabu? Eti unaongelea vyuo vya Uongozi, Diplomacy una akili kweli wewe? Unapambana na mhuni wa Mbagala kwa technique za Oysterbay.
Una hoja..
Ila kinachoongelewa hapa ni kuwa hasimu wa wote ni mmoja, ccm. So, hakuna tija kwenye kushambuliana wao kwa wao, mashambulizi yaelekezwe kwa hasimu tu.

Na kuhusu wizi wa kura, wanaiba kote siyo Zanzibar pekee
 
Maandamano yanaendana na kutoa uovu uliokaidi kwa mtutu na sio mbinu ya kulambishana pipi hii unayotaka CCM ikufanyie.

Nikweli nasupport uasi dhidi ya CCM kwa 100% hii ndio njia pekee ya kweli ya kuwaondosha wala sijawahi kulificha hili.

Hutujaja kulinda dunia tunazaliwa ili tufe.
Wewe mbona umejificha kwenye jina bandia watanzania ni bora sana wakiwa nyuma ya keyboard
Hivi unajua army struggle
 
Nani apiganie huo ujinga wa tume kama sio watanzania ambao literall wamelala usingizi wa pono

Any struugle au movement inahitaji support ya wananchi tofauti na hapo ni kazi bure haijalishi una maono makubwa kiasi gani

Wewe lala sisi na kina Mwabukusi Mdude Lissu Slaa na wa namna hiyo tutapigana. Taabu Iko wapi?

Furaha yako ni pia sisi kuungana nawe kwenye usingizi?

CCM wee! Looh!
 
Kwa tume ipi sasa? Mbona mnaota mchana hivyo?

Kisa hamtaki kufa au kuumia ila wale siyo?

Ndiyo maana kucha mkisema watanzania waoga. Nyie siyo watanzania?
Kama ingekuwa ni tofauti ya kura 1000 tungesema CCM imeiba lakini tifauti ilikuwa ni almost 30,000.

Kuna Jamaa humu anasemaga moshi wa mwenge unamambo ua kupumbaza.

Watanzania huenda wamelogwa, trust me.
 
Kama ingekuwa ni tofauti ya kura 1000 tungesema CCM imeiba lakini tifauti ilikuwa ni almost 30,000.

Kuna Jamaa humu anasemaga moshi wa mwenge unamambo ua kupumbaza.

Watanzania huenda wamelogwa, trust me.

Kwani mwizi wa kura ulitaka aseme kashinda kwa kura ngapi?

Mtasema mengi Mwabukusi katoa majibu. Kuamka na kupambana nao ni Sasa. Nyie laleni. Kwani Kuna taabu gani?
 
Hiyo tume si ndiyo ile iliyowatangaza akina Sugu Lema Lissu nk.

Tukipiga kura nyingi za kuzidi hata wao kuiba kunakuwa kugumu.

Hiyo tume Unaweza iwekea dhamana wewe?

Kwani hata formula yao ya wizi wewe unaijua?

Nani alikwambia wizi wao
hata siyo inversely proportional na kura mlizopiga?

Au hukusikia kuwa Kuna watu na vifua vyao kwenye chaguzi?

Kwa mentality zenu hizi, namwelewa sana Mwabukusi!
 
Hawa wanywa kahawa wa pwani kuwakomboa ni kazi ngumu sana Nyerere aliweza lakini mpaka leo bado wanamtukana.😁
 
Hiyo tume Unaweza iwekea dhamana wewe
Kwa hiyo ilwezekanaje kuingiza Wabunge wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2015.

Yes nakubali tume ni Ovyo lakini hata tuionyeshe Dunia kuwa tumepiga kura tumefanyiwa ubabe hata UN inaweza kutuma fact finding mission kujua ukweli lakini kila wakiangalia runinga zetu Wananchi wako very happy wamevaa Majezi ya YANGA na SIMBA wengine wanakata viuno kwa utamu wa singeli wanaona mambo yako shwaari
 
Hawa wanywa kahawa wa pwani kuwakomboa ni kazi ngumu sana Nyerere aliweza lakini mpaka leo bado wanamtukana.😁

Ninadhani kuwakomboa hao ni rahisi kuliko nyie.

Nyie on the contrary ni opportunists, wasaka ubunge, ruzuku, madaraka na vya namna hiyo.

Ndiyo maana mnaweka mabodigadi uchwara nyuma kama ma CCM tu. Mkiingingia madarakani bila shaka mtataka misafara mirefu kama ma CCM tu.

Yumkini itakuwa makodi haya haya, polisi hawa hawa nk.

Hamjui kuwa wananchi tunahitaji mabadiliko kamili. Hatutaki ruzuku za vyama. Tunataka katiba mpya na wagombea binafsi.

Upo ndugu yangu?
 
Kwa hiyo ilwezekanaje kuingiza Wabunge wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2015.

Yes nakubali tume ni Ovyo lakini hata tuionyeshe Dunia kuwa tumepiga kura tumefanyiwa ubabe hata UN inaweza kutuma fact finding mission kujua ukweli lakini kila wakiangalia runinga zetu Wananchi wako very happy wamevaa Majezi ya YANGA na SIMBA wengine wanakata viuno kwa utamu wa singeli wanaona mambo yako shwaari

Mawazo yako kwenye ubunge na ruzuku... Inasikitisha!

Zanzibar 2020 waliuawa watu. UN wakifanya Nini?

Hatma ya nchi hii Iko mikononi mwetu siyo UN ndugu.

Sadly, Mwabukusi yuko right huko mko peke yenu.
 
Ninadhani kuwakomboa hao ni rahisi kuliko nyie.

Nyie on the contrary ni opportunists, wasaka ubunge, ruzuku, madaraka na vya namna hiyo.

Ndiyo maana mnaweka mabodigadi uchwara nyuma kama ma CCM tu. Mkiingingia madarakani bila shaka mtataka misafara mirefu kama ma CCM tu.

Yumkini itakuwa makodi haya haya, polisi hawa hawa nk.

Hamjui kuwa wananchi tunahitaji mabadiliko kamili. Hatutaki ruzuku za vyama. Tunataka katiba mpya na wagombea binafsi.

Upo ndugu yangu?
Sisi tuna strategy tofauti na sasa maridhiano yanaonekana yanasuasua ni wakati wa kwenda ubalozi wa Marekani na Uaya wao ndio wenye Mabunduki makubwa kuliko haya ya CCM wao watasikilizwa.
 
Back
Top Bottom