Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Mkipanga siku ya Maandamano wao wanapanga siku hiyo mechi ya YANGA na SIMBA.

Kwa hiyo unatushauri tuwaombe kutuhurumua wasipange hiyo mechi? Ukombozi huo upi mnaouongelea ninyi?

Ukombozi una gharama na hata kifo ni sehemu ya malipo yake.
 
Nani alikuambia Watanzania hawapo serious ? Hao Watanzania wa Arusha ulio watolea mifano wao ni misukule tofauti na wengine ?
Maandamano ya kuitoa ccm huwezi tegemea arusha na mbeya tu in fact ni mpaka dodoma mwanza na dar.... sasa kama hao raia hasa wa dar wako busy kujadili shepu ya zari unadhani kuna wa kuunga mkono radicalism anayotaka Mwabukusi?
 
Kumbe chama ni mali ya wanachama sio mali ya mtu binafsi ? Anhaa

Kwa nini sasa unataka mwambukusi aanzishe chama chake binafsi wewe utakuwa mkewe mtunza hadhina ?
Kwa sababu sio mwanachama wa chadema na amesema tumechokaa..
... sasa basi si aanzishe cha kwake ambacho kitakua better than chadema.
 
Kwamba mambo yanakwenda kombo:

"Umeme hamna, mafuta bei kama hivyo, ajira hakuna, wizi wa kura kama kazi, katiba subirini kozi ya miaka 3, kodi lipeni na nyongeza za tozo juu, bambikiziweni kesi, uliweni, nk nk ushauri Kwa chama chako: tujikite kwenye manifesto."

Hii ndugu itakuwa akili au matope?
Wewe mwenye akili timamu anzisha chama chako ufanye hayo upendayo ila sio uanze kushurutisha wengine wafanye unachopenda
Msajili yupo na ofisi yake ipo wazi jumatatu mpaka ijumaa
 
Narudia tena wakomunisti wa uchina walianza kupambana na KMT na imperial Japan kutoka mwaka gani kwa njia ya maandamano, mapambano ya msitu mpaka uhuru wao walichukua baada ya miaka mingapi kupita ?
Kumbe unataka tuanzishe vikundi vya waasi..... sasa kumbe unakiri hata maandamano hayakuzaa matunda hadi walipobeba silaha?
 
Maandamano ya kuitoa ccm huwezi tegemea arusha na mbeya tu in fact ni mpaka dodoma mwanza na dar.... sasa kama hao raia hasa wa dar wako busy kujadili shepu ya zari unadhani kuna wa kuunga mkono radicalism anayotaka Mwabukusi?

Kwanini polisi wamefanya mazoezi na vifaa yakiwamo mawasha washa hadharani?

Unadhani si haya ya Mwabukusi?

Tulio na Mwabukusi na wengine ndani ya chadema si wachache.
 
Hawa wajinga wanapaswa kufahamu kuwa ule ushenzi wa wapinzani kusema tunaunga mkono juhudi chini ya jiwe na kuhamia CCM uliwavunja moyo Watanzania wengi sana.
walikua wananuniliwa hii imeonyesha wazi hujui siasa za Tanzania
 
Kwani wapi unamwona anawaongelea au ana pressure na chadema?

Hoja za Mwabukusi zimeporwa na kupotoshwa na ma CCM.

Tulipo sasa Kuna vibaraka na wengine Kwa kutojitambua walio team up na CCM dhidi ya Mwabukusi.

Kwamba Unaweza vipi kuungana na CCM hata dhidi ya shetani?
Kwa hiyo ulitegemea ccm wakae kimya wasimjibu mwakubusi na slaa pole sana kwa hizi fikra yaani ulitaka ccm wamsupport slaa na mwakubusi aiseeee
Hakuna kitu rahisi kwenye maisha
 
Maandamano ya kuitoa ccm huwezi tegemea arusha na mbeya tu in fact ni mpaka dodoma mwanza na dar.... sasa kama hao raia hasa wa dar wako busy kujadili shepu ya zari unadhani kuna wa kuunga mkono radicalism anayotaka Mwabukusi?
Raia wote wa dar hawawezi kuwa wanajadili matako ya wanawake wa mitandaoni linahitajidi kundi maalumu la kulengwa.

Raia hao hao wachache wa dar wanauthubutu wa kufunga mtaa na kulaza watu ndani 12 jioni maana yake uthubutu kwa njia ngumu wanao utakao amsha wengine mbele ya safari.

Waasia dhidi ya mifumo ya uovu hawaanzi millioni huanza moja moja mwisho huzalisha kundi kubwa litakalo enda kinyume na matakwa na watawala washenzi kama CCM
 
Wewe mwenye akili timamu anzisha chama chako ufanye hayo upendayo ila sio uanze kushurutisha wengine wafanye unachopenda
Msajili yupo na ofisi yake ipo wazi jumatatu mpaka ijumaa

Wapi umeshurutishwa ndugu?

Pili kwani vyama vilivyopo ni vya mtu au hata una kimoja?

Usinishurutishe kuanzisha chama kwani wewe ni nani katika nchi Hii?

Bure kabisa!
 
Kwa hiyo ulitegemea ccm wakae kimya wasimjibu mwakubusi na slaa pole sana kwa hizi fikra yaani ulitaka ccm wamsupport slaa na mwakubusi aiseeee
Hakuna kitu rahisi kwenye maisha

Wapi Nina taabu na majibu ya CCM au vibaraka wake wakiwamo zitto junior.

Majibu wameyapata ukiwamo wewe:

Mwabukusi, Slaa, Lissu na wa namna hiyo Wana hoja nzito.

Walipo tupo!
 
Kumbe unataka tuanzishe vikundi vya waasi..... sasa kumbe unakiri hata maandamano hayakuzaa matunda hadi walipobeba silaha?
Ile ile hoja ya kigogo kuwataka chadema kuingia msituni kinachofuata ni msajili kukifuta chama mawazo mengine ya hovyo kabisa
 
Kwa hiyo unatushauri tuwaombe kutuhurumua wasipange hiyo mechi? Ukombozi huo upi mnaouongelea ninyi?

Ukombozi una gharama na hata kifo ni sehemu ya malipo yake.
Hebu angalia Watanzania walivyo wa ajabu mimi nilijua ile by election ya Mkoani Mbeya Mbarali Watanzania badala ya kuonesha hisia zao kwenye Ballot kwa kuiadhibu CCM wameenda kuipa landslide.

Hawa watu hawako tiyari kwa ukombozi unaweza ukajikuta unakufa pekee yako.
 
Wapi Nina taabu na majibu ya CCM au vibaraka wake wakiwamo zitto junior.

Majibu wameyapata ukiwamo wewe:

Mwabukusi, Slaa, Lissu na wa namna hiyo Wana hoja nzito.

Walipo tupo!
Hoja ni kwanin mwakubusi anawalaumu chadema hawajaunga maandamano yako
Jibu ni kwamba mwabukisi ni mpumbavu afanye movenent zake kama anajiamini asilaumu wapinzani
 
Kumbe unataka tuanzishe vikundi vya waasi..... sasa kumbe unakiri hata maandamano hayakuzaa matunda hadi walipobeba silaha?
Maandamano yanaendana na kutoa uovu uliokaidi kwa mtutu na sio mbinu ya kulambishana pipi hii unayotaka CCM ikufanyie.

Nikweli nasupport uasi dhidi ya CCM kwa 100% hii ndio njia pekee ya kweli ya kuwaondosha wala sijawahi kulificha hili.

Hutujaja kulinda dunia tunazaliwa ili tufe.
 
Hebu angalia Watanzania walivyo wa ajabu mimi nilijua ile by election ya Mkoani Mbeya Watanzania badala ya kuonesha hisia zao kwenye Ballot kwa kuiadhibu CCM wameenda kuipa landslide.

Hawa watu hawako tiyari kwa ukombozi unaweza ukajikuta unakufa pekee yako.

Kwa tume ipi sasa? Mbona mnaota mchana hivyo?

Kisa hamtaki kufa au kuumia ila wale siyo?

Ndiyo maana kucha mkisema watanzania waoga. Nyie siyo watanzania?
 
Labda tuwekeze kwenye next generation kabla na yenyewe kupumbazwa kwa YANGA SIMBA VIGODORO na BETTING.
 
Back
Top Bottom