CCM ni wapuuzi sana wamewapumbaza Watanzania kwa vitu vya kijinga kijinga wewe ukitaka kuwakomboa wanakuona wewe ndio msaliti.
CCM imeua elimu halafu inashinikiza watu wawe machinga.
Nchi inaendeshwa Kiswahili swahili wanaambiwa ndio uzalendo kuwa masikini.
Zaidi sana naona tuko hapa:
Muhimu sana kuona nje ya box ndugu.
Mwabukusi, Slaa na wa namna hiyo si wajinga.