USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

Kuna eneo nililiona ndani ya ndoto miaka mingi.Basi jana nimebahatika kufika urambo kwa mara ya kwanza,lile eneo nimeliona vile vile kama nishawahi kufika.
Na weweza ona miaka kalibia kumi imepita tokea uote hiyo ndoto. Hapo ndo utambue kuwa ulifika hapo kabla ya muda kufika yaani ulisafiri miaka mbele kabla. Bila ya shaka ulitumia time travel.
 
Na kama nje ya simulation hakuna time hivyo kila kitu hubaki kama kilivyo, ukirudi ndani ya simulation utakuta time inaendelea kama ilivyo.
Lakini hata hapo nje ya simulation bado muda unakuwa unaenda kama ambavyo wadau wametoa shuhuda hapo juu.

Ama ulikusudia unaenda kidogo kidogo ?
 
Lakini hata hapo nje ya simulation bado muda unakuwa unaenda kama ambavyo wadau wametoa shuhuda hapo juu.

Ama ulikusudia unaenda kidogo kidogo ?
Nilichosema ni kwamba.
Nje ya simulation hakuna time kabisa. Time inapatikana ndani ya simulation tu.
 
Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo unapofikia ukomo wake sema mimi sijui na sina nilijualo katika jambo hilo wala usiseme halipo wala haiwezekani..mf ulioutoa wa watu wa pangoni.(ahlul kahfi),sio muda ulicheleweshwa ni miaka halisi ya usingizi waliolala vijana wale...katika maelezo yangu ya post ulioniomba ushahidi...nenda katika suratul aala..aya 1 mpaka ya 4, Ama kutokea time travel ni safar ya miraj...huoni kua alisafiri katika future? Aliona mpaka watu wanaoadhibiwa motoni..mbali na hio maisha ya Dajali yote aliyaona na mpaka sehemu atakapouwa na kuzikwa alipaona....sio njozi.. alifika kiuhalisia.
Nenda kakitafute kitubu kinachoitwa "Hayatu alkuburat Qubra." utapata mambo ya kukushangaza na kukustajaabisha. Kipo kisa cha swahaba alimuuliza Nabii Abal Kasim.kati ya m/mke na m/me nani anafaid katika jimai. Huyu swahaba aliuliza swali lake baada ya swala ya alfajir siku ya ijumaa..abal kasim akamwambia atampa jibu baada ya swala ya ijumaa.
Swahaba huyu muda wa kwenda kwenye swala ya ijumaa alijiandaa na kwenda mtoni kuoga na kuchukua udhu.Muda ambao anaingia mtoni kuoga na adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa ilikua ina adhiniwa.
Alipojutupa mtoni alipoibuka aliibuka sehemu nyingine asioifahamu na akiwa na jinsia ya kike...alikaa huko mika mingi akaolewa na akazaa watoto 3,,,siku moja akapata hamu ya kwenda mtoni kuoga na alipo jitupa ndani ya maji alipoibuka akatokea palepale alipojitosa mara ya kwanza akiwa m/me na adhana ndio ilikua inamalizika...huyu jamaa hakusafiri katika muda.? Na yeye mwenyewe ndio alietoa jibu kua M/mke ndio anaefaidi zaid jimai kuliko m/me...unaposema jambo halipo .isemee nafsi yako.kama hujui jambo kaa kimya..!
 
Thana ya siku moja mbinguni Ni sawa na miaka 1000 Ni Thana inayopingana na ukomo wa kuishi kwa MUNGU chochote chenye mwanzo na mwisho lazima kiwe ndani ya mda ,kwa hiyo ukisema miaka 1000 mbinguni bas mbingu lazima ziwe na mwanzo na mwisho pia na viumbe vyote vinavyoishi mbinguni lazma viwe na mwanzo na mwisho ikiwa pamoja MUNGU
 
Naomba niingie kwenye maada mojakwamoja,

Ni baada ya kupitia mijadala kadhaa ya kitu kinachoitwa time travel nimeona watu wengi wakipingana na hii kitu, mimi binafsi bila ya lengo ya kujinufaida na faida yeyote ile napenda nikupe shuhuda na kukuomba pia uamini na ufanyie kazi kuwa hii kitu IPO.

Nakumbuka wakati nikiwa mdogo huko kijijini kwetu (....) Mkoa wa pwani. "Kijiji kimezungukwa na mito, vichaka mabonde na misitu mikubwa.
Kulikuwa na kawaida ya kupotea kwa watu mara kwa mara huku imani ya wengi ikiwa ni wachawi ndo wahusika wa kupotea kwa watu. Na hii nahisi wenda si kijijini kwetu tu bali hata kijijini kwenu wenda kuna haka ka tabia ka kupotea kwa watu ila niseme tuu sio watu wote wanapotelea kwa wachawi ila baadhi yao ni time travel. kwanini nasema ni time tlavel iliwahi nitokea pia ilikuwa hivi;-
(Shuhuda ya kwanza)::;
mimi na vijana wenzangu tulikuwa tunakwaida ya kusaka wanyama wadogowadogo kwa kutumia mbwa. Siku moja shambani kwetu waliingia ngedere kama kawaida nikafungulia mbwa na kuanza kimbiza ngedere (tumbili) kimbiza yangu ikaishia kwenye msitu mdogo ulioko mbali kidogo. Nikafika mahali na kupumzika nakumbuka ilikuwa kama majila ya saa saba mchana kwendea saa nane nikakaa chini ya mti mmoja aina ya mtopetope na kuanza kula matunda ya mti huo. Hada kufika saa 11 jioni ndio safari ikaanza ya kurudi home ile nafika home napata taarifa kuwa nilikuwa nimepotea tena siku mbili na watu walishapiga mpaka nyanga.
nikaanza kuwaelezea na hakuna aliyeniamini kuwa nimetumia kama masaa manne tu hivi kuwa msituni wala sio siku mbili nikaenda shambani kuhakiki baadhi ya mazao waliyokuwa wameharibu ngedere siku ile ni kweli nilikuta ni mazao yaliyoalibiwa kama siku mbili zilizopita nyuma. Kwa wakati ule niliamini kweri wenda ikawa ni wachawi ila baada ya kufika JF na kukutana na hii kitu time travel. Imenifanya niamini kuwa hata hapa dunianibkuna maeneo ukifika ukitoka hapo unaeza ona umetumia dakika mbili ila ukitoka kwenye hilo eneo unakuta hata masaa saba yameahapita. Na hata kama unasaa ya kimwekumweku itakulazimu uilekebishe.
(Shuhuda ya pili)
Wakati nasoma pia shule ya msingi ilikuwa inanilazimu nilekebishe saa yangu kila ninapopita njia flani yaani saa yangu imekuwa imechelewa hata dakika tano na saa wenzie.
HITIMISHO
time travel ni yakweli na ipo na hata kuna baadhi ya maeneo hapa hapa ndani ya dunia.



Asante kaka ka makala yako. Lakini upo pointless Sana
Endelea kufanya uchunguzi zaidi bado hoja zako hazina uzito kabisa kusimama Kam mgombea.
 
Yaani haya ni mawazo yako alafu unablock watu na unaweka hitimisho kweri shekh unajielewa!!
Hakuna wazo langu hapo hata moja, labda huijui Time Travel na Time Dilation, na hili la mtoa mada, japo linataka ushahidi wa hakika ila lipo tukio lililotokea zama za zamani sana, ambalo ushahidi wake tunao.
 
Hakuna wazo langu hapo hata moja, labda huijui Time Travel na Time Dilation, na hili la mtoa mada, japo linataka ushahidi wa hakika ila lipo tukio lililotokea zama za zamani sana, ambalo ushahidi wake tunao.
Time dilation ipi wakati time imeenda kwa utaratibu kabisa.?

Imedelay time au kumedelay kuzeeka kwa watu ?

Time inadelay vipi mkuu wakati hawa watu ambao sio wa pangoni walikufa na wakazaliwa wengine kwa maana muda kwao ulifanya kazi na athari zikaonekana ?
 
Time dilation ipi wakati time imeenda kwa utaratibu kabisa.?

Imedelay time au kumedelay kuzeeka kwa watu ?

Time inadelay vipi mkuu wakati hawa watu ambao sio wa pangoni walikufa na wakazaliwa wengine kwa maana muda kwao ulifanya kazi na athari zikaonekana ?
Ngoja nikupe ushauri,huu ushauri uufanyie kazi. Kabla ya kuhoji juu ya jambo fulani na kuonyesha ujuaji, hakikisha una elimu juu ya jambo hilo. Maana unachokiuliza hakihusiani na Time Dilation. Nani amekwambia Time Dilation ni ku delay kwa Time ?

Sasa kuna vitu mna hoji mpaka tunashindwa kujibu sababu unahoji jambo ambalo halipo.

Katika maelezo yangu huko juu wapi uliona nimeandika kuna kudelay kwa muda au kuna kusimama kwa muda ? Nilipotolea mfano wa Vijana wa Pangoni wapi kumeonyesha kuna kudelay kwa muda ? Sasa acha kukurupuka.

Ahsante.
 
Ngoja nikupe ushauri,huu ushauri uufanyie kazi. Kabla ya kuhoji juu ya jambo fulani na kuonyesha ujuaji, hakikisha una elimu juu ya jambo hilo. Maana unachokiuliza hakihusiani na Time Dilation. Nani amekwambia Time Dilation ni ku delay kwa Time ?

Sasa kuna vitu mna hoji mpaka tunashindwa kujibu sababu unahoji jambo ambalo halipo.

Katika maelezo yangu huko juu wapi uliona nimeandika kuna kudelay kwa muda au kuna kusimama kwa muda ? Nilipotolea mfano wa Vijana wa Pangoni wapi kumeonyesha kuna kudelay kwa muda ? Sasa acha kukurupuka.

Ahsante.
Sawa nimechukua ushauri wako.

Time dilation inakuwaje nipe faida
 
Sawa nimechukua ushauri wako.

Time dilation inakuwaje nipe faida
Kasome huko juu nimeielezea kwa mfano , usipoelewa nenda kagoogle, na usome nadharia ya Albert Einstein katika Relativity theory.
 
Hii kitu nilishawahi kusema kuwa haiwezekani kwa mwili wetu huu labda nafsi tu, chukulia mfano wa ndoto unaweza kuota mambo yaliyo pita au yajayo kupitia usingizi na nafsi yako jiulize ni kwann mwili wote hauhusiki katka hili
 
Kasome huko juu nimeielezea kwa mfano , usipoelewa nenda kagoogle, na usome nadharia ya Albert Einstein katika Relativity theory.
Naona ulitoa mfano wa watu wa pangoni pale kuhusu time dilation ile time dilation inaingiaje kwa watu wa pangoni ?
 
Ukiangalia vizuri hiki ulichokiandika ni Time Dilation na si time Travel. Hakuna Time Travel na haiwezekani.
Kwa hiyo time dilation inaweza kutokea ndani ya moja kama duniani duniani tu. ?
Mathalani kuhusu Time Dilation, una kuta muda wa hapa ardhini si sawa na muda mbinguni,
Huu mfano wako ndo umenifanya niulize,kwa sababu hapa kana keamba unaashiria kuwa time dilation lazjma ihusishe maeneo tofauti mawii,yaani duniani na huko mbinguni.

Sasa tukiangalia mfano uliotoa wa watu wa pangoni pale tukio lilitokea hapa hapa duniani na wala halikuhusisha maeneo mengine ya ulimwengu.

Lakini pili tukio lile muda ulienda kwa utaratibu wake kama ulivyopangwa na miaka ikaenda,ila tu wale watu ndo hawakuathiriwa na uwingi wa muda,,l lakini muda ulienda vizuri kabisa.

Hapo sijaelewa kuwa watu wa pangoni wanahusiana vii na time dilation wakati ambapo mifano uliyotoa imefungamanisha MUDA na eneo zaidi ya moja ya ulimwengu ?
 
Back
Top Bottom