Uchaguzi 2020 Ushauri: Makonda chukua fomu ugombee Urais kupitia upinzani hasa UDP, una nguvu kubwa sana na ushawishi kwenye jamii, utashinda kwa kishindo

Uchaguzi 2020 Ushauri: Makonda chukua fomu ugombee Urais kupitia upinzani hasa UDP, una nguvu kubwa sana na ushawishi kwenye jamii, utashinda kwa kishindo

usimdanganye mwe
Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja.

Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa kwenye kura za maoni,kumkataa kwao walikuwa wanatimiza tu injili ya "jiwe kuu la pembeni".

Kwa kuwa akibaki CCM, kifo chake cha kisiasa ki dhahiri na mkuu wetu ameshajiapiza kwamba wenye tamaa hatawarudisha.

Namshauri ndugu makonda ajiunge UDP upendo apeperushe bendera yao akigombea urais. UDP kina mizizi mirefu nchini kote na has a kanda ya ziwa, akija makonda ni kumalizia tu na ataingia ikulu kiurahisi kama anamsukuma mlevi.

Makonda amua sasa au kaa kimya milele

Ndimi
Mjumbe
usimdanganye mwenzio....hapendwi huyo kabisa.
 
Kigezo cha elimu hana.. kwa urais lzm awe na shahada ya chuo kikuu, yeye naskia ni Kama kibajaj na msukuma
We jamaaa una hakika na ukisemacho? Makonda kasoma Certificate ya uvuvi Nyegezi alipomaliza akaenda kusoma Diploma hiyo hiyo ya uvuvi Bagamoyo kabla ya kwenda kung'ang'ania nyumbani kwa marehemu Sita
 
Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja.

Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa kwenye kura za maoni,kumkataa kwao walikuwa wanatimiza tu injili ya "jiwe kuu la pembeni".

Kwa kuwa akibaki CCM, kifo chake cha kisiasa ki dhahiri na mkuu wetu ameshajiapiza kwamba wenye tamaa hatawarudisha.

Namshauri ndugu makonda ajiunge UDP upendo apeperushe bendera yao akigombea urais. UDP kina mizizi mirefu nchini kote na has a kanda ya ziwa, akija makonda ni kumalizia tu na ataingia ikulu kiurahisi kama anamsukuma mlevi.

Makonda amua sasa au kaa kimya milele

Ndimi
Mjumbe
Yaani watu wengine akili mgando kweli kweli ,yaani unampoteza mwenzio kiasi hicho kweli.Tayari ameshavurugu mambo,halafu unataka avuruge zaidi.Huyu anatakiwa kubaki CCM,ajitakase,aanze upya,sio kuanza kutanga tanga tena.
Akianza kutanga tanga atakuwa amejimaliza kisiasa kabisa.Upinzani Hanna kitu,hivi hamuoni?
 
Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja.

Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa kwenye kura za maoni,kumkataa kwao walikuwa wanatimiza tu injili ya "jiwe kuu la pembeni".

Kwa kuwa akibaki CCM, kifo chake cha kisiasa ki dhahiri na mkuu wetu ameshajiapiza kwamba wenye tamaa hatawarudisha.

Namshauri ndugu makonda ajiunge UDP upendo apeperushe bendera yao akigombea urais. UDP kina mizizi mirefu nchini kote na has a kanda ya ziwa, akija makonda ni kumalizia tu na ataingia ikulu kiurahisi kama anamsukuma mlevi.

Makonda amua sasa au kaa kimya milele

Ndimi
Mjumbe
Unamdanganya. Mwache abaki kulekule. UDP ilikwisha jifia zamani sana.
 
Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja.

Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa kwenye kura za maoni,kumkataa kwao walikuwa wanatimiza tu injili ya "jiwe kuu la pembeni".

Kwa kuwa akibaki CCM, kifo chake cha kisiasa ki dhahiri na mkuu wetu ameshajiapiza kwamba wenye tamaa hatawarudisha.

Namshauri ndugu makonda ajiunge UDP upendo apeperushe bendera yao akigombea urais. UDP kina mizizi mirefu nchini kote na has a kanda ya ziwa, akija makonda ni kumalizia tu na ataingia ikulu kiurahisi kama anamsukuma mlevi.

Makonda amua sasa au kaa kimya milele

Ndimi
Mjumbe
Unataka avunjwe miguu?
 
We jamaaa una hakika na ukisemacho? Makonda kasoma Certificate ya uvuvi Nyegezi alipomaliza akaenda kusoma Diploma hiyo hiyo ya uvuvi Bagamoyo kabla ya kwenda kung'ang'ania nyumbani kwa marehemu Sita
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Muwe na huruma jamani...Mwenzenu yupo kupigania nafasi ya wazee wa kanisa nyie mnataka kumpotosha kwa kumshawishi aingie ktk majukumu mazito kiasi hiko
 
Muwe na huruma jamani...Mwenzenu yupo kupigania nafasi ya wazee wa kanisa nyie mnataka kumpotosha kwa kumshawishi aingie ktk majukumu mazito kiasi hiko
Kanisa gani hilo nimwambie Lissu na Roma mkatoriki wakasali hapo huku wanamwangalia usoni.
 
Back
Top Bottom